
HAPA NDIPO ILIPO NGUVU YA MWAMBA AZIZ KI
MWAMBA Aziz KI ndani ya kikosi cha Yanga ni namba moja kwa wakali wa kucheka na nyavu akiwa ametupia mabao 15 na pasi 8 za mabao ambapo nguvu yake kubwa kwenye mguu wake wa kushoto katika kufunga mabao.
MWAMBA Aziz KI ndani ya kikosi cha Yanga ni namba moja kwa wakali wa kucheka na nyavu akiwa ametupia mabao 15 na pasi 8 za mabao ambapo nguvu yake kubwa kwenye mguu wake wa kushoto katika kufunga mabao.
FT: LIGI Kuu Bara Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Dodoma Jiji 0-1 Simba Goal Michael Fred dakika ya 7 DODOMA Jiji wapo nyumbani Uwanja wa Jamhuri, Dodoma wakisaka pointi tatu mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda. Simba ikiwa ugenini nayo hesabu zake ni kupata pointi tatu muhimu kwenye mchezo ambao una ushindani mkubwa….
LEGEND kwenye upande wa uandishi wa Habari za Michezo na Burudani Bongo, Saleh Ally, Jembe ameweka wazi kuwa timu ya taifa ya Tanzania ya Taifa Stars inazidi kuimarika taratibu na mechi za kirafiki zitakuwa na faida hapo baadaye kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa. Jembe amebainisha kuwa licha ya Stars kuanza kwa kuchechemea kwenye mchezo…
BENCHI la ufundi la Dodoma Jiji limebainisha kwamba limefanya maandalizi mazuri kukabiliana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Ipo wazi kwamba mchezo wa leo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote kusaka pointi tatu muhimu kutokana na nafasi ambazo timu hizo zipo. Simba inapambana kujinasua kutoka…
MABINGWA watetezi wa taji la CRDB Federation Cup wana kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Ihefu katika mchezo wa hatua ya nusu fainali, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi, Yanga ilianza raundi ya pili kwa kushuhudia ubao ukisoma Yanga 5-1 Hausing, Yanga 5-0 Polisi Tanzania, Dodoma Jiji 0-2 Yanga…
Karibu kwenye burudani ya kasino ya mtandaoni isiyozuilika yenye kutawaliwa na alama za matunda! Ukipanga alama hizi kwa mfululizo kamili wa ushindi, utashinda zawadi za kushangaza. Ni wakati wa kuanza safari hii isiyosahaulika kupitia Meridianbet kasino ya mtandaoni! Jisajili Meridianbet hapa. Maelezo ya Msingi Fruit O Rama ni kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet wenye safu…
MWAMBA wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba kiungo chaguo la kwanza Fabrince Ngoma anatajwa kuwa kwenye hesabu za kusepa ndani ya kikosi hicho msimu wa 2023/24 itakapogota mwisho wa msimu.
CHINI ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kushuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kuwania tiketi ya kutinga hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Hesabu kubwa za Azam FC ni kupata ushindi kwenye mchezo huo ili kutwaa taji la CRDB Federation Cup ambalo lipo mikononi mwa Yanga. Ikumbukwe kwamba…
KUNA mastaa ambao walikuwa wanatajwa kupigiwa hesabu na mabosi wa Simba na wengine walikuwa ndani ya Simba lakini wakapewa mkono wa asante kisha wakaibukia ndani ya kikosi cha Yanga ambapo huko wanapeta na maisha yanandelea kama kawaida
DEAR msomi ni zawadi ya mwamba Nacha A Sound From Nyasubi anakwambia mafanikio na elimu haviusiani unajikuta unajikuta dalali na ulisomea urubani, nyumbani huwezi kaa sio vimbetwa. Kazi kubwa ya ubongo wa mwamba anayefanya vema katika muziki wa kizazi kipya akiwa na mkali kutoka Morogoro Stamina halafu kiitikio ni sauti ya Mkwawa. Stamina anasema shepu…
INAELEZWA kuwa kocha Mkuu wa Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge anatajwa kuja kuchukua mikoba ya Abdelhak Benchikha ambaye amebwaga manyanga ndani ya kikosi hicho. Kwa sasa Simba inanolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda akishirikiana na Seleman Matola ambapo mchezo wao ujao ni dhidi ya Dodoma Jiji unatarajiwa kuchezwa Mei 17 2024 Uwanja wa Jamhuri,…
Rise of the Genie ni mchezo wa kasino ya mtandaoni KUTOKA Meridianbet wenye kusisimua kutoka kwa mtoa huduma iSoftBet, ambapo jukumu kuu linashikiliwa na jini mchawi. Mchezo huu unatoka kwenye hadithi za Aladin na visa vyake vya uchawi ambapo unapoucheza unakuwa kwenye sehemu ya kushinda mkwanja. Ushindi kwenye sloti ya Rise of the Genie unakuwa…
Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said ameweka wazi kuwa ndani ya miaka saba wakiwa na udhamini wa SportPesa wamefanya mengi ambayo yanaingia katika sehemu ya mafanikio. Rais huyo amebainisha kuwa kampuni ya SportPesa imewatoa Yanga kwenye wakati mgumu ambapo hawakuwa na mdhamini yoyote hivyo wakafanya mengi makubwa ndani ya miaka mitano na mkataba ulipoisha kampuni…
ANAITWA Jabir Seif Mpanda ameandika rekodi ya kuitumikia timu ya soka ya taifa ya Tanzania Taifa Stars akiwa amekamilisha miaka 17 na siku 98. Rekodi inayoonyesha kuwa mchezaji mdogo zaidi kuitwa kwa mara ya kwanza na kupata nafasi ya kucheza katika kikosi cha Taifa Stars. Jabir anayekipiga katika timu ya U17 ya Getafe ya Hispania…
Manchester United na Chelsea zimeibuka na ushindi kwenye mechi zao huku Chelsea ikisogea mpaka nafasi ya sita kufuatia ushindi huo wakati Manchester United ikiendelea kusalia nafasi ya 8 kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. FT: Man United 3-2 Newcastle United ⚽ Mainoo 31’ ⚽ Diallo 57’ ⚽ Højlund 84’ ⚽ Gordon 49’ ⚽ Hall 90+2’…
PASI milioni shabiki wa Simba amefungukia ishu ya usajili wa timu ya Simba huku akibainisha kuhusu mtu wa kazi Henock Inonga na usajili wake Simba pamoja na kocha mpya
Klabu zinazoshiriki Premier League zimeombwa kuunga mkono hoja iliyowasilishwa na Klabu ya Wolverhampton Wanderers inayopendekeza azimio la kupiga Kura ya kufuta Matumizi ya ‘VAR’ kuanzia Msimu ujao – Pendekezo hilo ambalo linadaiwa kupingwa na Bodi ya Ligi Kuu linatarajiwa kusikilizwa Juni 6, 2024 ambapo imeelezwa Bodi inatambua haki ya Wolves kutoa pendekezo hilo, lakini inadhani…