
GAMONDI APIGA MKWARA, YANGA HAO NUSU FAINALI
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa licha ya kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Tabora United bado hajafurahishwa na viwango vya wachezaji wake. Kwenye mchezo huo uliochezwa Mei Mosi 2024 Yanga ilipata ushindi na kutinga hatua ya nusu fainali ndani ya CRDB Federation Cup ambapo wao ni mabingwa watetezi. “Tumecheza vizuri na…