ERLING HAALAND, NICO WILLIAMS KUTUA BARCELONA

TETESI za usajili zinasema Barcelona inatarajia kuongeza wachezaji wawili maarufu katika madirisha mawili yajayo ya uhamisho ya kiangazi, Nico Williams mwaka huu na kisha Erling Haaland mwaka 2025. Barcelona imeonyesha nia ya kuwasajili Erling Haaland na Nico Williams, lakini kuna changamoto kubwa za kifedha na kiutaratibu zinazohusika. Kwa Erling Haaland, hatua hii inategemea klabu hiyo…

Read More

MBAYA WA SIMBA ATUA YANGA

MABOSI wa Yanga wamekamilisha dili la kuinasa saini ya mshambuliaji mwenye kupenda kufunga akiwa ndani ya uwanja jambo ambalo linaongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji ya mabingwa wa ligi Yanga msimu wa 2023/24. Nyota huyo alikuwa akiwapa tabu makipa wengi Bongo ikiwa ni pamoja na wale wa Simba ikiwa ni pamoja na Aishi Manula, Ayoub…

Read More

KOCHA WA MAKIPA AIPA MKONO WA KWAHERI SIMBA

Aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Daniel Cadena ameipa mkono wa kwaheri klabu hiyo huku akieleza kuwa ulikuwa ni wakati mzuri kuhudumu ndani ya viunga vya Wekundu hao wa Msimbazi. “Siku kama ya leo Julai 6, 2023, nilifika nyumbani kwa SIMBA SC na kupokelewa kwa furaha. Leo, Julai 6, 2024, kwa sababu za kitaaluma, ninaondoka…

Read More

Namba 7 ya Maajabu, Cheza Kasino Ushinde

Unataka kuwa Milionea na hujui pa kuanzia? Nisikilize mimi leo nakuletea mchezo wa kasino unaosifika kwa tabia yake ya kutoa mikwanja kwa majokeri. Kabla ya yote embu jisajili hapa kisha twende kazi mtu wangu wa nguvu.   Sloti ya 777 Super Strike inapatikana kwenye Kasino Mtandaoni ya Meridianbet ikiwa na safu tano zilizowekwa katika mistari…

Read More

SIMBA YATHIBITISHA KUKAMILISHA UHAMISHO WA KIUNGO DEBORA

Klabu ya Simba Sc imethibitisha kukamilisha uhamisho wa kiungo Debora Fernandes Mavambo (24) kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Mutondo Stars ya Zambia. Debora ambaye ana uraia pacha wa Congo Brazaville lakini anachezea timu ya taifa ya Gabon anamudu pia kucheza kama kiungo mkabaji ingawa anapendelea zaidi kucheza kama kiungo wa kati (namba 8).

Read More

MWAMBA HUYU ATAMBULISHWA SIMBA

KIUNGO mkabaji Augustine Okejapha ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba kwa ajili ya kupata changamoto mpya kwa msimu ujao unaotarajiwa kuanza Agosti. Nyota huyo ni raia wa Nigeria anatarajiwa kuwa kwenye changamoto mpya kwa msimu wa 2024/25 ndani ya Simba. Julai 5 2024 Simba ilimtambulisha kocha mpya ambaye ni Fadlu Davis ambaye atafanya kazi na…

Read More

KIUNGO WA KAZI NGUMU KUSEPA SIMBA, KOCHA MPYA KAZI IPO

INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ngumu ndani ya Simba Sadio Kanoute huenda akasepa ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu wa 2024/25. Kanoute ni mtaalamu kwenye kutembeza mikato ya kimyakimya licha ya sura yake ya upole anatimiza majukumu yake kwa umakini mwanzo mwisho. Inaelezwa kuwa Kanoute raia wa Mali anahitaji kupata changamoto mpya na anahitaji maboresho…

Read More

USHINDI RAHISI WA KASINO CHEZA SASA

Moja kati ya biashara nzuri na yenye mtaji mdogo ni uuzaji wa matunda, huhitaji kuwa na mamilioni ufanye uwekezaji bali unahitaji akili tu ya namna ya kuweka dau lako. Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna huu mchezo wa Matunda unaitwa Sticky 777. Shinda Mamilioni kwa kujisajili na Meridianbet. Alama kubwa zaidi kwenye sloti hii ya kasino…

Read More

YANGA YATANGAZA RASMI KUMUONGEZA MKATABA MSHERY

KLABU ya Yanga imetangaza rasmi kumuongeza mkataba wa mlinda mlango wao namba (2), Aboutwalib Mshery (23). Mshery kwa msimu wa 2023/24 hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza kutokana na kutokuwa fiti mwanzo wa msimu lakini mwisho wa msimu alikuwa akipewa nafasi ya kuonyesha uwezo wake. Anaingia kwenye orodha ya wachezaji waliocheza hatua ya robo fainali…

Read More

SIMBA YAMTANGAZA FADLU DAVIDS KUWA KOCHA MPYA

Klabu ya Simba Sc imemtangaza Fadlu Davids (43) kuwa kocha wao mkuu klabuni hapo akichukua mikoba ya Abdelhak Benchikha aliyeondoka kabla ya kumalizika kwa msimu uliopita . Msimu uliopita kocha huyo alihudumu kwenye kikosi cha Raja Casablanca kama kocha msaidizi chini ya kocha mkuu Josef Zinnbauer Raia wa Germany,huku wakiisaidia timu hiyo kutwaa ubingwa wa…

Read More

PIGA PESA NA MECHI ZA ROBO FAINALI ZA EURO LEO

Robo Fainali ya michuano ya EURO kuanza leo mapema kabisa saa moja ambapo timu nne kusaka nafasi ya kwenda nusu fainali leo. Ingia meridianbet weka jamvi lako na ubashiri nani kushinda leo. Vijana wa Luis Spain wataumana dhidi ya Germany ambao ndio wenyeji wa michuano hii majira ya saa moja usiku ambapo wakali wa ODDS…

Read More

WAZIRI MKUU AZINDUA KAMATI YA KITAIFA AFCON 2027

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) na kuahidi kuwa Serikali itafanya nayo kazi kwa karibu ili iweze kufanikisha malengo ya Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo kwenye hafla iliyofanyika katika hotel ya…

Read More

MTAMBO WA MABAO WATAMBULISHWA SIMBA

WAKIWA kwenye maboresho ya kikosi kuelekea msimu wa 2024/25 wamemtambulisha nyota mwingine ambaye ni mtambo wa mabao. Ni Simba iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo msimu wa 2023/24 kwa sasa inafanya maboresho ambapo kwenye eneo la kiungo ipo wazi haitakuwa na Clatous Chama ambaye kaibukia ndani ya Yanga. Mchezaji mpya ambaye ametambulishwa Julai 5 ndani…

Read More

VIDEO: GERSON MSIGWA AFICHUA ZA NDANI KABISA – “RAIS SAMIA AMETOA MILIONI 100 KWA TAIFA STARS….

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa @gersonmsigwa amesema kama taarifa kwamba Ligi Kuu ya Tanzania imeshika nafasi ya tano kwa ubora Afrika ni uhakika, basi sio jambo dogo hata kidogo. Msigwa amesema anawapongeza wanamichezo na wadau wote kwa jinsi walivyoweza kuiboresha ligi yetu na kuifanya kuwa ya ushindani mkubwa. Ameyasema…

Read More