
RHULAN MOKWENA MAISHA YAKE NDANI YA KIKOSI CHA MAMELODI SUNDOWNS YAMEFIKIA TAMATI
Rhulan Mokwena Maisha yake ndani ya Kikosi Cha Mamelodi Sundowns yamefikia tamati baada ya mabosi wa timu hii tajiri hapa Afrika kuamua kuachana naye wakati huu wapo Kwenye mazungumzo ya kusitisha mkataba wake. Ugomvi mkubwa wa Rhulan Mokwena na Viongozi wa Mamelodi ni Staili yao ya uchezaji …. Fleming Berg ambaye ni Sporting Director wa…