
MGUNDA NA HESABU NDEFU SIMBA
JUMA Mgunda Kocha Mkuu wa Simba amesemaamesema kuwa kikubwa ambacho kinahitajika katika mechi zilizobaki ni kupata matokeo mazuri. Ni hesabu ndefu kwa Mgunda kupambaniakupambania nafasi ya pili dhidi ya Azam FC zote zikiwa na pointi 60 kibindoni baada ya kucheza mechi 27 msimu wa 2023/242023/24. Mchezo uliopita wa ligi Simba ilipata pointi tatu dhidi ya…