Piga Pesa na Mechi za Kirafiki leo Junamosi

Je unajiuliza unaanzaje Jumamosi yako?. Ni rahisi sana ukiwa na akaunti ya Meridianbet kwani hapa unaweza kutengeneza jamvi lako na kuweka mechi uzitakazo na baadae kuibuka mshindi. Beti sasa leo. Portugal atakiwasha dhidi ya Croatia saa 1:45 usiku ambapo timu zote zimetoka kushinda mechi zao zilizopita za kirafiki. Mchezo huo utachezwa kule Ujreumani huku takwimu…

Read More

UCHEBE WA SIMBA AULA SINGIDA BLACK STARS

Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa klabu ya Simba SC Patrick Aussems ametambulishwa ndani ya kikosi cha Singida Black Stars SC kwa mkataba wa mwaka mmoja wa kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo msimu wa 2024/25. Patrick Aussems alifahamika kwa utani jina la (UCHEBE) wakati anaitumikia klabu ya Simba na aliitumikia klabu ya Simba SC kuanzia…

Read More

SLOTI YA FORTUNE FARM! USHINDI NI RAHISI

Meridianbet Kasino ya Mtandaoni inakukaribisha kwenye Shamba la Furaha! Furahia wakati mzuri ambao haujawahi kuwa nao kabla. Kutana na mkulima mwenye furaha na wanyama wake na upate bonasi za kasino za kustaajabisha! Ni wakati wa kuanza safari isiyo na mipaka! Fortune Farm ni mchezo mzuri wa kasino ya Mtandaoni kutoka Expanse Studios! unapocheza mchezo huu…

Read More

SIMBA MPYA INAKUJA HUKO

BAADA ya Simba kugotea nafasi ya tatu msimu wa 2023/24 na pointi zake 69 kibindoni benchi la ufundi limebainisha kuwa kuna maboresho makubwa yanakuja hivyo timu mpya inasukwa kwa ajili ya kurejea kwenye ushindani. Ikumbukwe kwamba ni Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba alibeba mikoba ya Abdelhak Benchikha aliyebwaga manyanga huku mchezo wake wa mwisho…

Read More

AZAM FC YAMALIZANA NA MTAMBO WA MABAO

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Yusuph Dabo wamemalizana na mtambo wa mabao kutoka Mashujaa kwa ajili ya changamoto mpya ndani ya timu hiyo. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Azam FC ilimaliza ligi ikiwa nafasi ya pili na pointi 69 baada ya kucheza mechi 30 itapeperusha bendera…

Read More

KITAWAKA LEO MECHI ZA KUFUZU KOMBE LA DUNIA LEO, SENEGAL, DR CONGO, MALI, EGYPT MAMBO NI MOTO!

Leo hii Senegal, DR Congo, Mali, Egypt na timu nyingine kibao zinashuka dimbani kusaka pointi tatu kwaajili ya kujiandaa na Kombe la Dunia 2026. Nani unamdhamini kukupatia maokoto?. Suka jamvi lako na merdiainbet sasa. Senegal yenye kikosi cha ushindi kitakuwa dimbani kukiwasha dhidi ya DR Congo. Timu hiyo ina wachezaji wazoefu na ambao wanacheza ligi…

Read More

FEI TOTO MGUU WAKE WA BAHATI HUU HAPA

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Azam FC mguu wake wa dhahabu ni ule wa kulia kutokana na kasi yake kuwa katika ubora ndani ya uwanja. Nyota huyo alikuwa akipambana na mwamba Aziz Ki kwenye kutupia mabao uwanjani na mwisho msimu wa 2023/24 ikajulikana kuwa mkali ni Aziz Ki ambaye alitupia mabao 21 akiwa ni…

Read More