AZIZ KI BALAA ZITO YANGA

MWAMBA Aziz Ki ana balaa ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kuzidi kuwa imara katika uwanja kila wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa amefunga jumla ya mabao 30 ndani ya ligi tangu alipotua Yanga msimu wa 2022/23 na sasa ni 2023/24. Ni mabao 9 alifunga msimu wake wa kwanza na msimu wa 2023/24 katupia mabao 21…

Read More

ORODHA YA NYOTA YANGA WANAOTAJWA KUPEWA THANK YOU

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 Yanga inayodhaminiwa na SportPesa ipo kwenye hesabu za kuwaacha baadhi ya mastaa ambao hawajafanya vizuri na wengine watasepa baada ya kandarasi zao kugota mwisho. Miongoni mwa wale ambao wanatajwa kwamba hawatakuwa ndani ya kikosi hicho ni Metacha Mnata, Skudu, Joyce Lomalisa.

Read More

KASI YA MWAMBA SAIDO FUNGA KAZI NOMA

KWENYE funga kazi ya msimu wa 2023/24 ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda mwamba wa kazi Saido Ntibanzokiza alikiwasha. Pengine kazi yake ingekuwa hivyo tangu mwanzo wa msimu alikuwa na nafasi ya kuvunja rekodi yake ya msimu wa 2022/23 kwa kutupia mabao 17 lakini upepo ulikuwa tofauti. Kiungo mshambuliaji wa…

Read More

SHINDA MAMILIONI NA 20 IMPERIAL CROWN KASINO!!

20 Imperial Crown Deluxe ni mchezo wa kasino mtandaoni unaohusu matunda, mchezo huu una safu tano zilizopangwa katika mistari mitatu yenye mistari 20 ya malipo. Ili kushinda, lazima uunganishe alama tatu au zaidi zinazofanana kwenye mstari wa malipo. Alama ya Lucky 7 ndiyo isiyofuata sheria hii na huleta malipo popote inapoonekana kwenye safu zilizopangwa. Kila…

Read More

JKT TANZANIA MWENDO MDUNDO, WACHEZAJI WAPEWA TANO

MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa JKT Tanzania amesema kuwa ushindi kwenye mchezo wa kwanza wa play off dhidi ya Tabora United ni matokeo ya wachezaji kufanyia kazi makosa yaliyopita. Timu hiyo inapambana kujinusuru kubaki ndani ya ligi ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ukisoma Tabora United 0-4 JKT Tanzania. Kwenye mchezo ni Said…

Read More

HII HAPA AHADI YA PACOME YANGA

KIUNGO mchezeshaji wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua amepanga kuwa na msimu mzuri katika msimu ujao, ikiwemo kuendelea kuipa mataji timu hiyo. Nyota huyo ni kati ya wachezaji walitoa mchango mkubwa katika kikosi hicho, ikiwemo kutetea Ubingwa wa Ligi Kuu Bara na kuifikisha timu katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa msimu huu….

Read More

HIVI NDIVYO VITA ILIMALIZWA KWA AZAM FC NA SIMBA

VITA ile iliyokuwa ikisaka mshindi mmoja ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24 imebaki gumzo baada ya kugota mwisho na mshindi kupatikana. Kwenye mechi 30 ambazo ni dakika 2,700 kila kona walikamatana jambo ambalo liliongeza ushindani ndani ya uwanja kwa wababe hao wawili Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu Yusuph Dabo na Simba…

Read More

SIMBA WATAJIWA BEI YA FEISAL KUTOKA AZAM

UONGOZI wa Azam FC umekubali kumuachia kiungo wake mshambuliaji, Feisal Salum kwenda katika klabu itakayomuhitaji katika msimu ujao kwa dau la Sh 5Bil. Kiungo huyo anatajwa katika usajili wa Simba ambayo imepanga kufumua kikosi chao na kukiimarisha ili kirejeshe makali yake msimu ujao. Simba ndani ya misimu mitatu mfululizo imeshindwa kubeba ubingwa wa Ligi Kuu…

Read More

ODDS KUBWA na Machaguo Zaidi ya 1000 Yapo Hapa

Mabingwa wa ubashiri Tanzania, Meridianbet inakwambia kuwa usiwaze kutafuta chimbo la kusuka jamvi lako leo hii. Mechi kibao za pesa zinachezwa kuanzia kule Brazil mpaka Argentina. Unasubiri nini? Ingia na usuke jamvi lako sasa. Argentine Liga Profesional kuendelea kwa michezo kadhaa saa 3:00 usiku Barracas Central atakuwa nyumbani kusaka pointi tatu dhidi ya CA Huracan…

Read More

REAL MADRID YATHIBITISHA KUMSAINI MBAPPE

Baada ya kuachana rasmi na Klabu ya Paris Saint-Germain akiwa mchezaji huru, Kylian Mbappe (25) amejiunga na kikosi cha Real Madrid baada ya kusaini Mkataba wa Miaka Mitano Real Madrid imethibitisha kumsaini Mbappe ikiwa ni siku chache baada timu hiyo kutwaa Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League) kwa kuichapa Borussia Dortmund kwa…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA KABEBA TUZO MEI

KATIKA mechi 7 ambazo ni dakika 630 Koch Mkuu wa Simba Juma Mgunda alikomba jumla ya pointi 19 ndani ya uwanja. Ni ushindi katika mechi sita na aliambulia sare moja ugenini ilikuwa Uwanja wa Kaitaba alipokomba pointi moja. Mechi zake ilikuwa ni Simba 2-0 Mtibwa Sugar, Simba 2-0 Tabora United, Azam FC 0-3 Simba, Simba…

Read More