
HARRY KANE, RODRI, BARELLA WOTE DIMBANI KUKUPA PESA
Unaweza kupiga mkwanja na Meridianbet leo hii ambapo wachezaji wakali wapo uwanjani leo, huku Uingereza, kule Itali weka dau lako sasa ubashiri na uibuke bingwa sasa. Watoto wa Mfalme, England watakuwa na kibarua cha kuwakabili Denmark katika dimba la Deutsche Bank Park huku mechi ya mwisho kukutana ikiwa ni kwenye EURO 2020 na Southgate na…