KIPA HUYU WA KAZI KWENYE RADA ZA SIMBA

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa wa kimataifa kuungana na timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki. Yanga mlinda mlango namba ni raia wa Mali ambaye anaitwa Djigui Diarra hivyo Simba ikipata saini yake anakwenda kuwa namba mbili. Namba moja kwa Simba ni mzawa Manula tofauti na Yanga ambapo namba moja…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA SIMBA

INAELEZWA kwamba, Kocha Mkuu wa APR ya Rwanda, Mohammed Adil Erradi, ametua Dar kimyakimya kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Simba huku akiwa ameomba ruhusa ya mapumziko katika klabu yake. Simba imekuwa katika kipindi cha kufanya mabadiliko makubwa ndani ya timu hiyo kutokana na kutokuwa na matokeo mazuri ikishindwa kutetea mataji yake yote…

Read More

MWAMBA ALIYEWATIKISA AL AHLY NDANI YA YANGA

KATIKA Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi Al Ahly Waarabu wa Misri walikuwa ni imara kwenye upande wa ulinzi kutokana na ukuta wao kutoruhusu mabao mengi ya kufungwa katika mechi za ushindani. Rekodi zinaonyesha kuwa mabingwa hao ambao walimenyana na Simba kwenye hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika walifugwa bao moja pekee…

Read More

MILIONI 10 ZA MAMA KUIBUKIA AFL

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa zawadi ya Tsh. 10 milioni kwa kila bao ambalo litafungwa na Simba. Huo ni mchezo wa African Football League ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 20,2023. Samia ameahidi kuwa kwa bao moja ambalo litafungwa katika mchezo wa African Football League dhidi ya…

Read More

AZAM YAPOTEZA MBELE YA DODOMA JIJI

DODOMA Jiji wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma. Bao pekee la Azam FC limefungwa na Ayoub Lyanga ambaye alipachika bao hilo dakika ya 60 na kumfanya afikishe mabao mawili kwenye ligi. Ni Muhsain alipachika bao dakika ya 27 na Collins Opare…

Read More

YANGA YAINYOOSHA JKT TANZANIA 3-2

KIKOSI cha Yanga kimeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya JKT Tanzania kwenye mchezo wa kirafiki wa kuweza kujiweka sawa. Mchezo wa leo ni maalumu kwa ajili ya timu hiyo kujiweka sawa kuelekea mchezo wao wa ligi ujao. Juni 15,2022 Yanga inatarajiwa kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa…

Read More

KOCHA WA SIMBA KUJA NA MASHINE MPYA

IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco anahitaji kuja na watu wake wa kazi kwa ajili ya kupata matokeo chanya kwenye mechi zake ambazo atacheza. Pablo ambaye amepewa dili la miaka miwili anatarajiwa kutua nchini muda wowote kuanzia sasa baada ya kutangazwa kuwa mrithi wa mikoba ya Didier Gomes ambaye alibwaga manyanga. Habari kutoka…

Read More

PRESHA YA UBINGWA IPO YANGA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuna presha kubwa katika kusaka ushindi uwanjani ambao utawapa ubingwa kutokana na kila timu kupiga hesabu za kuifunga Yanga.   Yanga ni vinara wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 36 kibindoni baada ya kucheza mechi 14, ndani ya ligi hiyohawajapoteza mchezo msimu huu, huku Jumatano ijayo wakitarajiwa kupambana na Ruvu Shooting. Akizungumza na Spoti Xtra, Nabi alisema: “Presha inakuwa kubwa hasa timu inaposaka ushindi,…

Read More

WAJUE WAWAKILISHI WA KIMATAIFA

PAZIA la Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 limefungwa kwa kila timu kujua ilivuna nini baada ya kupanda kwenye mechi 30 ambazo ni dakika 2,700 za jasho kuvuja kupata matokeo chanya ndani ya uwanja. Hakuna ambaye alikuwa hana mpango wa kutwaa taji la ligi ila ipo wazi ni lazima mshindi awe mmoja katika timu 16…

Read More

NAHODHA MANCHESTER UNITED MAGUIRE KUPIGWA BENCHI

INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Manchester United, Eric ten Hag anafikiria kumpiga benchi nahodha wa timu hiyo, Harry Maguire. Itakuwa ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Liverpool unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Old Trafford. Mchezo huo ambao utakuwa na ushindani mkubwa unatarajiwa kuchezwa Jumatatu ijayo. Nyota huyo ameanza kwenye mechi mbili ambazo timu…

Read More

SIMBA YAKOMBA POINTI TATU ZA WAJELAJELA

SAIDO Ntibanzokiza, kiungo mshambuliaji wa Simba amefungua akaunti ya mabao kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine umesoma Tanzania Prisons 1-3 Simba. Ni Edwin Balua kwa Prisons alianza kufunga dakika ya 16, Clatous Chama dakika ya 34 alipachika bao la kwanza kisha John…

Read More

USAJILI WA RUVU SHOOTING NI WA MKAKAKATI

 UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa usajili wa msimu ujao utakuwa ni wa kimkakati kwa kuwa awali walikuwa wanasubiri ligi kuisha. Ruvu ina uhakika wa kucheza ligi msimu ujao wa 2022/23 baada ya kukamilisha ligi ikiwa na pointi 34 baada ya kucheza mechi 30. Masau Bwire,Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa walisitisha mpango…

Read More

JEMBE LA KAZI HILI HAPA SIMBA

NYOTA Pa Omar Jobe ni mnyama mwingine baada ya kutambulishwa rasmi Januari 15 2024 ikiwa ni usajili wa kuboresha kikosi hicho kilichogotea nafasi ya pili Mapinduzi 2024. Ipo wazi kwamba Januari 13 ubao wa Uwanja wa New Amaan baada ya dakika 90 kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi ulisoma Mlandege 1-0 Simba. Joseph Akandwanao aliwakanda…

Read More

SIMBA KUWA TIMU YA KWANZA KUTUMIA VAR BONGO

WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye mashindano ya kimataifa wanakwenda kuandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutumia mfumo wa msaada wa VAR kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Tokea VAR ianze kutumika katika mchezo wa soka duniani, haijawahi kutumika kwenye Uwanja wowote nchini na Simba iliyofikia hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho…

Read More