YANGA INAUWAZA UBINGWA

BAKARI Mwamnyeto, nahodha wa Yanga ameweka wazi kuwa mipango ya timu hiyo kwa msimu wa 2021/22 ni kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Yanga ni namba moja kwenye msimamo ikiwa na pointi 19 baada ya kucheza mechi 7 na imekusanya jumla ya mabao 12 ambayo yamefungwa na timu hiyo. Safu ya ulinzi imekuwa imara…

Read More

KUBEBA MATOKEO MFUKONI KUTAWAPOTEZA KIMATAIFA

KILA timu imeshatambua mpinzani wake kwenye  Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kupangwa. Kila timu imetambua ni wapinzani wa aina gani ambao itakabiliana nao kwenye mechi za kimataifa. Kufika kwenye hatua hiyo ni muhimu kuwapa pongezi wahusika kwa kuwa walipambana kufikia malengo. Yanga na Simba kazi kubwa walifanya katika kupata matokeo. Kwa yaliyotokea mpaka kuwa…

Read More

YANGA KUIKABILI SINGIDA BIG STARS

KIKOSI cha Yanga kesho kina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa pili wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Singida Big Stars. Katika mchezo wa kwanza wa mwaka 2023 Yanga ilisepa na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMKM. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar ambapo dakika 90 zilikuwa ngumu kwa timu zote mpaka…

Read More

Jumamosi Hii Ni Kupiga Mkwanja Tu Na MeridianBet

Jumamosi hii Meridianbet inataka kuhakikisha unapiga mkwanja wa kutosha kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa leo katika ligi tofauti tofauti barani ulaya na hata hapa Tanzania. Kwanini Meridianbet wanasema watakikisha unapiga mkwanja wewe mteja wao kwakua wao wamemaliza jukumu lao kilichobaki ushindwe wewe tu, Kwani wameweka ODDS KUBWA katika michezo inayokwenda kupigwa Jumamosi ya leo…

Read More

SIMBA HAO MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

SIMBA imetinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa jumla ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya de Agosto. Mchezo wa ugenini Simba ilishinda kwa mabao 3-1 na leo Oktoba 16,2022 imeibuka na ushindi wa bao 1-0. Ushindi huo wakiwa nyumbani unawapa tiketi ya kufuzu hatua ya makundi chini ya Kocha Mkuu, Juma…

Read More

SIMBA YAWAFUATA RAJA CASABLANCA

Kikosi cha Simba SC, kimeanza safari leo Machi 28 kuelekea nchini Morocco kuifuata Raja Casablanca kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa usiku wa kuamkia Aprili Mosi 2023 nchini Morocco. Msafara ambao unaondoka leo kupitia Qatar una jumla ya wachezaji 13 ikiwa ni pamoja na…

Read More

JUVENTUS YAKUBALI KUMUUZA BEKI WAO

KLABU ya Juventus ya Italia imekubali kumuuza beki wake wa kati, Matthijs de Ligt (22) kwenda  kwa mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich kwa ada ya Paundi Milioni 68 (Tsh. 186,320,000,000) Taarifa kutoka Ujerumani zinaeleza kuwa beki huyo wa kimataifa wa Uholanzi atasaini mkataba wa miaka mitano na Bayern mara baada ya kukamilisha vipimo vya afya…

Read More

BOSI SIMBA AMEFAFANUA NAMNA WATAKAVYOTUSUA CAF

AHMED Ally Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa bado kuna nafasi ya timu hiyo kutinga hatua ya robo fainali licha ya matokeo ambayo hayajawa mazuri kwao. Kwenye mechi tatu ambazo Simba imecheza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika imeambulia pointi mbili ikipoteza mchezo mmoja jambo ambalo linaongeza ugumu kwa timu…

Read More

MWAMBA ALVES AKUTANA NA HUKUMU HII

MAHAKAMA ya juu ya Catalonia nchini Hispania imemuhukumu kutumikia jela miaka minne na nusu nyota wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na Klabu ya Barcelona Dani Alves . Alves mwenye miaka 40 amehukumiwa adhabu hiyo baada ya kukutwa na hatia ya kosa la shambulio la ngono au unyanyasaji wa kingono kwa Mwanamke mmoja…

Read More

POGBA KUSEPA MAZIMA MAN UNITED

KIUNGO wa kikosi cha Manchester United, Paul Poga atasepa msimu ujao ndani ya kikosi hicho ambacho kinashiriki Ligi Kuu England. Nyota huyo tayari ameshawaambia wachezaji wenzake kwamba msimu ujao hatakuwa ndani ya timu hiyo. Pia inatajwa kwamba ameshajiondoa kwenye kundi la WhatsApp ambalo lilikuwa linawahusu wachezaji wa timu hiyo. Kocha wa muda wa Manchester United,…

Read More

MABOSI NAMUNGO FC WAPEWA DAKIKA 90

MCHEZO wa Namungo FC dhidi ya Ruvu Shooting umeshikilia hatma ya Kocha Mkuu, Hemed Morocco na Mtendaji Mkuu, Omary Kaaya. Kwa mujibu wa Kamati Tendaji ya Namungo na mwenyekiti wake ni Hassan Zidadu imekubaliana kufanya hivyo baada ya kukaa kikao Jumatatu ya Novemba 29. Zidadu ameweka wazi kuwa wamekuwa na mwendo ambao hauridhishi katika timu…

Read More