EXCLUSIVE:HENRY JOSEPH AWAPA UJUMBE SIMBA
EXCLUSIVE;Henry Joseph Shindika awapa ujumbe huu Simba kutoka moyoni aweka wazi kuwa anaipenda Simba.
EXCLUSIVE;Henry Joseph Shindika awapa ujumbe huu Simba kutoka moyoni aweka wazi kuwa anaipenda Simba.
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameituliza kwa mara nyingine tena Azam FC baada ya kuwatungua mabao 2-1 kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Azam FC ni wao walianza kupata bao la kuongoza kupitia kwa Rodgers Kola ilikuwa dk ya 10 liliwekwa usawa na Djuma Shaban kwa mkwaju wa penalti dk…
UKIIWEKA kando Simba kutoka Tanzania pamoja na RS Berkane kutoka Morocco ambazo hizi zipo kundi D pia zipo nyingine ambazo ziliweza kutinga hatua ya roo fainali. Timu hizo ni pamoja na Al Ahly Tripoli ya Libya na Pyramids ya Misri hizi zilikuwa kundi A. Orlando Pirates ya Afrika Kusini na A Ittihad ya Libya kutoka…
MMILIKI wa Klabu ya Chelsea inayoshiriki Ligi Kuu England, Roman Abramovich imeripotiwa kuwa yupo sawa baada ya kutajwa kuwa na dalili za maumivu katika macho huku ikitajwa kuwa ni sumu za kemikali. Kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi wa mtandao wa Bellingcat, Abramovich na Ukraine walikuwa katika mazungumzo ya masuala ya amani alikuwa akisumbuliwa na…
TWAHA Kiduku Bondia Mtanzania ambaye ameweza kushinda mbele ya Alex Kabangu kwenye pambano la ulingoni kwenye Usiku wa Vitasa amesema kuwa ushindi ni ushindi licha ya kuweza kushinda kwa pointi.
MABONDIA Twaha Kiduku na Alex Kabangu leo wamekutana kwa mara kwanza na kila mmoja kumchimba mkwara mwenzake kuelekea katika pambano la ubingwa wa UBO Afrika linalotarajia kupigwa keshokutwa Jumamosi mkoani hapa. Kiduku na Kabangu watapanda ulingoni katika pambano hilo ambalo litachezwa kwa raundi nane katika uzito wa kati ambalo litapigwa kwenye Ukumbi wa Tanzania chini…
HUKU wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wao wa tano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas, Nahodha Msaidizi wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amesema kama wakifanikiwa kufuzu robo fainali ya michuano hiyo, basi watakuwa kwenye nafasi kubwa ya kufika fainali. Simba inaongoza Kundi D la Kombe la Shirikisho Afrika…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
UONGOZI wa Yanga pamoja na wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Machi 17 waliweza kutoa msaada katika Hospital ya Ocean Road ikiwa ni kwa ajili ya kumbukizi ya mwaka mmoja tanfu atangulie mbele za hakai Rais wa Awamu ya 5, John Pombe Magufuli.
UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba utaenzi kwa vitendo mwaka mmoja wa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli. Klabu ya Yanga imekuwa na utamaduni wa kutoa kwa jamii ambapo wiki iliyopita ilicheza mechi ya hisani kwa ajili ya kuchangia Taasisi ya Ally Kimara na…
SHABIKI wa Yanga kutoka Morogoro aliyeahidi kumzawadia mchezaji Fiston Mayele Ng’ombe mmoja baada ya kufunga bao katika mechi dhidi ya Mtibwa Sugar, ametimiza ahadi na kumfikisha Ng’ombe huyo leo Machi 14, 2022. Ni katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, Jangwani jijini Dar es Salaam zawadi imefika kwa ajili ya kutimiza ahadi ya muda kidogo….
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
NYOTA wa zamani wa kikosi cha Yanga ambaye kwa sasa anakipiga ndani ya kikosi cha RS Berkane, Fiston Abdoul Razak ameweka wazi kwamba kikosi chao ni bora kuliko wapinzani wao Simba. Jana, Machi 10 RS Berkane waliwasili Tanzania kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa baada ya kuanza safari Machi 9 wakitokea…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kwa msimu wa 2021/22 wamekuwa wakipata mateso makubwa ugenini katika msako wa pointi tatu kwa kuwa mambo yamekuwa ni magumu kwao. Kwa mzunguko wa kwanza katika mechi 15 ambazo wamecheza na kuweka kibindoni pointi 31 ni mechi 7 walicheza ugenini na kushinda 3 huku wakiambulia sare 2 na…
KAMPUNI ya Michezo na Burudani SportPesa imezindua rasmi kampeni maalum kwa ajili ya kuwazawadia wateja wake. Promosheni hiyo imezinduliwa leo Jumanne katika ofisi zao Masaki, Dar es Salaam ikihusisha makampuni ya mitandao ya simu za mkononi Vodacom na Airtel ikiwa na lengo la kuwazawadia wateja hasa katika kipindi hiki ambapo mechi mbalimbali zinaendelea. Akizungumza wakati…
MZUNGUKO wa pili ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, leo Februari 25 unatarajiwa kuanza kwa ajili ya timu kusaka pointi tatu muhimu. Ni matajiri wa dhahabu, Geita Gold watamenyana na matajiri kutoka mgodini huko Lindi, Namungo FC. Geita Gold wameweka wazi kwamba Uwanja wa Nyankumbu upo tayari kufanya kile ambacho wamekizoea wakiwa kwenye uwanja wao…