BERKANE WATAMBA KUWA NI BORA KULIKO SIMBA

NYOTA wa zamani wa kikosi cha Yanga ambaye kwa sasa anakipiga ndani ya kikosi cha RS Berkane, Fiston Abdoul Razak ameweka wazi kwamba kikosi chao ni bora kuliko wapinzani wao Simba. Jana, Machi 10 RS Berkane waliwasili Tanzania kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa baada ya kuanza safari Machi 9 wakitokea…

Read More

SIMBA UGENINI WANAPATA MATESO KWELIKWELI

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kwa msimu wa 2021/22 wamekuwa wakipata mateso makubwa ugenini katika msako wa pointi tatu kwa kuwa mambo yamekuwa ni magumu kwao. Kwa mzunguko wa kwanza katika mechi 15 ambazo wamecheza na kuweka kibindoni pointi 31 ni mechi 7 walicheza ugenini na kushinda 3 huku wakiambulia sare 2 na…

Read More

MAKATA AFUNGASHIWA VIRAGO DODOMA JIJI

MBWANA Makata, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji yenye maskani yake Dodoma ameondoolewa katika nafasi hiyo kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo. Mchezo wa mwisho kukaa kwenye benchi ilikuwa ni Februari 20 uliochezwa Uwanja wa Azam Complex na ubao ulisoma KMC 2-0 Dodoma Jiji na kufanya wapoteze pointi tatu mazima. Ndani ya michezo mitano…

Read More

SIMBA WAZINDUA JEZI ZA KOMBE LA SHIRIKISHO

Klabu ya Simba leo Februari 10, 2022 imezindua rasmi jezi mpya ambazo zitakuwa zinatumika kwenye michuano ya kimataifa ambayo klabu hiyo ipo hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. “Leo tunaonyesha jezi yetu ya michuano ya kimataifa ikiwa na logo ambayo inazingatia mambo yote ya utalii. Jezi zitaanza kuuzwa kesho kwenye maduka ya Vunja…

Read More

AZAM WATANGAZA ABDI KUWA KOCHA MKUU

Klabu ya soka ya Azam imemtangaza Abdi Hamid Moallin kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa mkataba wa miaka mitatu akirithi mikoba ya George Lwandamina. Awali Moallin aliletwa kushika nafasi ya Mkurugenzi wa Ufundi wa Maendeleo ya Soka la Vijana. “Azam FC ni klabu kubwa, na nililiona hili siku ya kwanza tu nilipofika hapa, nina…

Read More

YANGA WAITUNGUA POLISI TANZANIA

DICKSON Ambundo kiungo mshambuliaji wa Yanga leo amefunga bao la 23 ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Ni katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ambapo aliweza kupachika bao hilo dakika ya 64 kwa pasi ya Fiston Mayele mbele ya Polisi Tanzania. Yanga wanasepa na pointi tatu mazima mbele ya Polisi Tanzania…

Read More

SIMBA YABADILISHA RATIBA YA LIGI KUU

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imefanya mabadiliko machache kwenye ratiba ya Ligi Na ya NBC yakiathiri tarehe za michezo 12, muda wa kuanza kwa michezo sita na kuipangia tarehe michezo mitatu ambayo haikuwa na tarehe kwenye ratiba ya awali pamoja na rmchezo wa kiporo kati ya Kagera Sugar na Simba SC. Mabadiliko hayo yamelenga…

Read More

NI SUPER WEEKEND KUNAKO SOKA BARANI ULAYA… BUNDESLIGA, SERIE A NA EPL KIMEUMANA

Baadhi ya mitanange ya kibabe kuchezwa kwenye ulimwengu wa kandanda wikiendi hii. Ni Super Weekend ya kibabe sana viwanjani. Mchongo upo Meridianbet, mambo yapo hivi;   Kwenye Bundesliga wikiendi hii, Borussia Dortmund kuchuana na Bayern Munich pale Signal Iduna Park. Uwanja ungependezeshwa kwa rangi za njano na nyekundu lakini, mlipuko wa Covid 19, unasababisha mchezo…

Read More