
SERIKALI KUBORESHA VIWANJA,MPOLE APEWA TUZO YAKE
LEO Julai 7 siku ya Sabasaba ikiwa ni usiku wa Tuzo kwa msimu wa 2021/22 Serikali imetaja viwanja ambavyo vitafanyiwa maboresho. Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mohamed Mchengerwa ametaja viwanja sita vitakavyokarabatiwa na Serikali kwa kuwekewa nyasi za asili. Viwanja hivyo ni pamoja na CCM Kirumba Mwanza, Sheikh Amri Abeid Arusha, Sokoine Mbeya, Mkwakwani…