UEFA YAJA NA MKWANJA LEO MECHI ZINAENDELEA

Je unajua kuwa ukiwa na mabingwa wa ubashiri Tanzania Meridianbet, unaweza ukaibuka bingwa siku ya leo?. Mechi za UEFA zinaendelea leo huku kila timu ikihitaji ushindi kujiweka nafasi nzuri. Tengeneza jamvi lako la ushindi hapa. Slovan Bratislava watamleta kwao VFB Stuttgart ya kule Ujerumani na mpaka sasa wana pointi saba kwenye msimamo, huku mwenyeji yeye…

Read More

MKUTANO MKUU WA KAWAIDA WA CECAFA KUFANYIKA KESHO JUBA

Mkutano huo utakaohudhuriwa na zaidi ya wajumbe 50 utafanyikia katika hoteli ya Imperial Plaza mjini Juba. Auka John Gecheo, Mkurugenzi Mtendaji wa CECAFA alithibitisha kuwa Rais wa WAFU A, Bajo Lamin Kaba, Rais UNIFAC, Maolas Jean Guy Blaise na makamu wa Rais wa WAFU B Gasua Ibrahim Musa watakuwa miongoni mwa wageni katika mkutano huo….

Read More

DROO YA KUPANGA MAKUNDI AFCON 2025 KUFANYIKA JAN 27

Droo ya kupanga makundi ya mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2025) inatarajiwa kufanyika Januari 27, 2025, jijini Rabat, Morocco. Hafla hiyo itawakutanisha wawakilishi wa timu 24 zilizofuzu, zikiwemo zile kutoka Afrika Mashariki kama Tanzania. Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026 ambapo waandaaji wa mashindano hayo ni Morocco.

Read More

PIGA MKWANJA WA MAANA SIKU YA LEO

Ijumaa ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Kule Uingereza CHAMPIONSHIP itaendelea kwa mchezo mmoja Burnley FC atamenyana dhidi ya Sunderland AFC ambapo hawa wote wametoka kushinda mechi zao zilizopita hivyo mechi hii ni…

Read More

SIKU ZINAHESABIKA KUNYAKUA MILIONI TASLIMU YA SHINDANO LA EXPANSE KASINO

Siku za mkwanja wa milioni moja kutoka kupitia shindano la Expanse Kasino  zinahesabika, Kwani shindano la Expanse limebakiza siku tatu mshindi wa kitita cha milioni apatikane. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili la mabingwa…

Read More

CHANGAMKIA MILIONI TASLIMU KWENYE SHINDANO LA EXPANSE NA MERIDIANBET

Kupitia Shindano la Expanse linaloendelea ambalo linahuisha michezo ya kasino linatoa fursa ya kushinda kiasi cha shilingi milioni moja taslimu kwa kucheza michezo ya kasino,Limebakiza siku nne pekee mshindi apatikane shiriki sasa uweze kuibuka na mkwanja wako. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi…

Read More

YAO KUWAKOSA MC ALGERS UWANJA WA MKAPA

“Mchezaji wetu Kouassi Attohoula Yao hatakuwa sehemu ya kikosi baada ya kufanyiwa upasuaji. Yao atakuwa nje kwa kipindi kisichopungua wiki nne na kisichozidi wiki sita. Maxi Nzengeli anaendelea vizuri na maozezi, kama mwalimu ataona utimamu wake wa kimwili unafaa kucheza mchezo ujao basi atamtumia lakini kimsingi kwa sasa yupo salama” Ally Kamwe

Read More

ALLY KAMWE ATANGAZA BOMU JIPYA YANGA – MC ALGERS WAMEKULA NYOYA – AFICHUA SIRI za NDANI za TIMU- VIDEO

Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe amefunguka na kueleza kuwa walitegemea wapinzani wao MC Alger walitarajiwa kufika asubuhi ila hawajafika. “Hakuna kiumbe hai yeyote anayetudai Yanga tumelipa madeni wachezaji na makocha wanaotudai, tumefunguliwa kusajili” Ali Kamwe. “Taarifa ambazo tunazo ni kuwa wapinzani wetu walipaswa kuingia nchini alfajiri ya kuamkia leo, lakini mpaka…

Read More

CARABAO CUP NA SPANISH SUPER CUP LEO KITAWAKA

Siku ya kunyakua mamilioni leo kupitia michezo mbalimbali ambayo itapigwa katika ligi kuu mbalimbali duniani ikiwemo Uingereza, Italia, pamoja na Ujerumani, Meridianbet wao kuhakikisha unapiga kitita wameweka Odds bomba kwenye michezo hiyo kazi imebaki kwako. Pale ligi kuu ya Uingereza itapigwa michezo kadhaa, ligi kuu ya Ujerumani halikadhalika itapigwa michezo kadhaa, bila kusahau ligi kuu…

Read More