YANGA WAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba unazitaka pointi tatu za watani zao wa jadi Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ni Aprili 30,2022 Yanga inatarajiwa kumenyana na Simba kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanatambua kuhusu umuhimu wa mchezo huo na wataingia uwanjani kwa nidhamu…

Read More

SIKU YA MALARIA DUNIANI IMEWAKUTANISHA MERIDIANBET NA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA AMANA

Katika kuadhimisha siku ya Malaria Duniani kwa mwaka 2022, kampuni ya michezo ya kubashiri, Meridianbet, imeungana na watanzania na dunia kwa ujumla katika kuongeza nguvu kwenye mapambano makali dhidi ya ugonjwa wa Malaria. Ugonjwa wa Malaria unaripotiwa kuwa chanzo cha vifo vya watoto (hasa wenye umri chini ya miaka 5) na hivyo kwa sehemu kubwa,…

Read More

VAR YAMPA MAKASIRIKO PABLO FRANCO

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hajui jambo gani ambalo lilitokea kwenye matumizi ya VAR hivyo hapendi kuzungumzia jambo hilo. Simba ilikuwa inawakilisha nchi kwenye mashindano ya kimataifa imetolewa kwa kufungwa penalti 4-3 dhidi ya Orlando Pirates baada ya kuwa na jumla ya kufungana bao 1-1. Walianza Simba kushinda mchezo wa kwanza Uwanja…

Read More

MAYELE ANA HESABU HIZI KWA SIMBA

FISTON Mayele, mshambuliaji namba moja ndani ya Ligi Kuu Bara amesema kuwa mchezo ujao dhidi ya Simba anaamini kwamba akipewa nafasi atafunga. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Yanga, Aprili 30 kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kwenye msimamo Yanga inaongoza ikiwa na pointi 54…

Read More

SIMBA BADO HAWAIFIKIRII MECHI YAO DHIDI YA YANGA

UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa bado haufikirii mchezo wao dhidi ya Yanga kwa kuwa wametoka kucheza mechi kubwa ya hatua ya robo fainali dhidi ya Orlando Pirates. Aprili 24 Uwanja wa Orlando, ubao ulisoma Orlando Pirates 1-0 Simba ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali ya pili na kufanya wawe wamefungana bao…

Read More

KIUNGO YANGA AINGIA ANGA ZA AZAM FC

IMEELEZWA kuwa kiungo wa kazi aliyewahi kucheza ndani ya Yanga, Mukoko Tonombe yupo kwenye rada za mabosi Azam FC ili kuweza kuinasa saini yake. Nyota huyo ni miongoni mwa wachezaji ambao waliweza kufanya vizuri ndani ya Yanga msimu uliopia wakati timu hiyo ilipomaliza ikiwa nafasi ya pili. Pia alikuwa kwenye kikosi ambacho kiliweza kutinga hatua…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR,KANOUTE,INONGA,MANULA NDANI

WACHEZAJI wa Simba pamoja na viongozi usiku wa kuamkia leo Aprili 26 wameweza kurejea salama Tanzania wakitokea nchini Afrika Kusini ambapo walikuwa na mchezo wa hatua ya robo fainali. Ilikuwa ni robo fainali ya pili na ya maamuzi ambapo Simba iliweza kuambulia kichapo cha bao 1-0 ugenini. Kwa kuwa walikuwa wameshinda nao pia bao 1-0…

Read More

MANARA:TUNA WAHESHIMU SIMBA,ILA TUNATAKA POINTI TATU

Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wamewazidi wapinzani wao Simba pointi 13 ambazo ni nyingi. Manara amesema kuwa hilo haliwafanyi waamini kwamba watashinda mchezo wao badala yake wanawaheshimu Simba. “Tumewazidi pointi 13 na tunajua kwamba tuna uwiano mzuri kwa mabao ya kufungwa na kufungwa lakini haina maana kwamba tutawadharau wapinzani wetu hapa. “Ambacho…

Read More

PRICE DUBE NI WA MWISHO KUIFUNGA YANGA

NYOTA Prince Dube mshambuliaji wa mwisho kuifunga Yanga na ikayeyusha pointi tatu mazima kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ilikuwa Uwanja wa Mkapa,Aprili 25,2021. Leo Aprili 25, 2022 ni mwaka mmoja umemeguka tangu Dube kuitungua Yanga na msimu huu wa 2021/22 katupia bao 1. Kwenye ligi,Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi imecheza jumla ya…

Read More

KIMATAIFA:ORLANDO 0-0 SIMBA

MCHEZO wa Kombe la Shirikisho kwa sasa hatua ya robo fainali ambapo wawakilishi wa Tanzania Simba wapo kazini ni mapumziko. Dakika 45 za mwanzo zimekamilika huku ubao ukisoma Orlando Pirates 0-0 Simba. Licha ya Simba kutokufungwa bado wapo kwenye ugumu mkubwa wa kushambuliwa kwa kasi na wapinzani wao. Chris Mugalu yupo kwenye ulinzi mkubwa na…

Read More

SIMBA:TUTAJARIBU KUSHINDA LEO KIMATAIFA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa leo watajaribu kushinda mbele ya Orlando Pirates kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho. Saa 1:00 usiku, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ambao ni Simba wana kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Orlando Pirates. Huu ni mchezo wa hatua ya robo fainali ukiwa ni wa pili baada…

Read More

BEACH SOCCER LIGI KINAWAKA TENA LEO

LIGI ya Beach Soccer inayodhaminiwa na Global Radio na Global TV Online jana April 23 imeendelea katika Viwanja vya Coco Beach kulikuwa na michezo mitatu ya kundi A na leo tena inatarajiwa kuendelea. Mchezo wa kwanza ulikamilika na Savanah Boys iliibuka na ushindi wa mabao 6-4 Ilala FC. Mchezo wa pili Kundi A ulikuwa na…

Read More

KIUNGO WA KAZI YANGA AIPIGIA HESABU SIMBA

SALUM Abubakar Salum, ‘Sure Boy’ kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ameweka wazi kwamba anaufikiria mchezo wao dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Aprili 30. Sure Boy aliweza kuwaka mbele ya waajiri zake wa zamani Azam FC kwenye mchezo wa ligi walipokutana Aprili 6,2022 wakati ubao wa Azam Complex uliposoma Azam…

Read More