
HAJI MANARA ATUMA DONGO KIMTINDO SIMBA
BAADA ya kikosi cha Simba kufungashiwa virago leo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wakiwa Uwanja wa Mkapa kwa kufungwa mabao 3-1 Haji Manara alaiyekuwa Ofisa Habari wa timu hiyo ametupa dongo kimtindo. Manara kwa sasa yupo zake ndani ya Yanga akiwa no Ofisa Habari wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa…