DEUS KASEKE ATAJWA KUSEPA YANGA

IMEELEZWA kuwa kiungo wa mpira mali ya Yanga, Deus Kaseke yupo mbioni kusepa ndani ya kikosi hicho ili akapate changamoto mpya katika timu nyingine. Mtibwa Sugar inapewa nafasi kuweza kupata saini ya kiungo huyo ambaye kwa sasa hana nafasi kikosi cha kwanza cha Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Leo Januari 4 Yanga inatarajiwa kuibukia Zanzibar kwa…

Read More

JEMBE JIPYA SIMBA LAANZA MAZOEZI RASMI

NYOTA Sharaff Shiboub tayari ameanza mazoezi rasmi na Klabu ya Simba kwa ajili ya kuweza kumpa nafasi Kocha Mkuu, Pablo Franco kuweza kumfanyia mchujo kama atamfaa. Ikumbukwe kwamba Shiboub aliwahi kucheza Simba msimu wa 2019/20 ambapo Simba iliweza kutwaa taji la Ligi Kuu Bara na Ngao ya Jamii pamoja na Kombe la Shirikisho. Anakumbukwa kwa…

Read More

SIMBA YATAMBULISHA UZI MPYA MKALI

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo Januari 3 2022 wametambulisha uzi mpya. Ni uzi maalumu ambao utatumika katika Kombe la Shirikisho pamoja na Kombe la Mapinduzi ambalo linafanyika Zanzibar. Tayari kikosi kimewasili Zanzibar kwa ajili ya mashindano hayo ambayo yameanza kurindima jana Januari 2. Mchezo wao wa kwanza unatarajiwa kuwa ni Januari 5,2022…

Read More

MWAMBA WA LUSAKA KUREJEA SIMBA

IMEELEZWA kuwa kiungo wa mpira Clatous Chama nyota wa RS Berkane yupo njiani kurudi Simba kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Ni msimu uliopita wa 2020/21 Chama alikuwa ndani ya Simba na alikuwa ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Didier Gomes ambaye alibwaga manyanga msimu huu wa 2021/22…

Read More

BREAKING:MRITHI WA MIKOBA YA HAJI MANARA HUYU HAPA

RASMI leo Januari 3,2022 uongozi wa Simba umemtangaza Ahmed Ally kuwa Ofisa Habari wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Pablo Franco. Ally anakuja kuchukua mikoba ya Haji Manara ambaye alibwaga manyanga mwaka 2021 na sasa ni Ofisa Habari ndani ya kikosi cha Yanga. Aliposepa Manara nafasi hiyo alikaimu Ezekiel Kamwaga ambaye kwa sasa yupo…

Read More

NYONI KUACHWA SIMBA,JEMBE JIPYA HILI KUTUA SIMBA

IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wamefikia maamuzi ya kuachana na kiungo mshambuliaji wao Mmalawi, Duncan Nyoni na kumalizana na kiungo Mzambia, Samuel Sikaonga. Nyoni aliungana na Simba mwanzoni mwa msimu huu, kwa mkataba wa miaka mitatu, akitokea Silver Strikers ya Malawi, lakini ameshindwa kuonyesha kiwango bora ndani ya timu hiyo jambo linalodaiwa kuwapelekea mabosi wake kumfungashia virago. Chanzo kutoka Simba kimeeleza kwamba, baada ya uongozi wa…

Read More

YACOUBA AANZA MAZOEZI YANGA

NI habari njema kwa mashabiki wa Yanga baada ya kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Yacouba Songne raia wa Burkina Faso kuanza mazoezi mepesi, huku akitarajiwa kurejea rasmi uwanjani baada ya mwezi mmoja kama hakutakuwa na mabadiliko yoyote. Yacouba alipata majeraha ya goti kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting uliochezwa Novemba 2, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar na Yanga kushinda 3-1. Baada ya…

Read More

SABABU ZA AJIBU KUACHWA SIMBA IPO HIVI

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco ameweka wazi kuwa sababu kubwa ya timu hiyo kuachana na baadhi yamastaa akiwemo kiungo, Ibrahim Ajibu aliyejiunga na Azam ni kuwaambia wazi kuwa hawakuwa na nafasi ndani ya kikosi chake. Simba ilitangaza rasmi Desemba 30,2021 siku ya Alhamisi kusitisha mkataba na Ajibu kwa kile kilichoelezwa kuwa ni makubaliano ya pande zote mbili, ambapo nyota huyo tayari ametangazwa kusaini mwaka…

Read More

YANGA YATAMBULISHA NYOTA WAPYA WATATU

WINGA Dennis Nkane aliyekuwa akikipiga ndani ya Biashara United sasa ni rasmi atakuwa ndani ya kikosi cha Yanga. Nyota anakuwa wa tatu kutambulishwa rasmi ndanj ya Yanga baada ya Sure Boy na Aboutwalib Mshery kutambulishwa. Ni zawadi ya mwaka mpya kwa mashabiki wa Yanga kwa kuwa alitambukishwa Januari Mosi 2022. Dili lake ni la miaka…

Read More