
HII HAPA RATIBA YA LEO BONGO
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea kwa mara nyingine tena leo Februari 6 2022 ikiwa ni mzunguko wa 14. Timu tatu zitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu kwenye mechi ambazo watacheza katika uwanja Ni Geita Gold v Polisi Tanzania Uwanja wa Nyankumbu. Namungo v Mtibwa Sugar, Uwanja wa Majaliwa. Simba v Mbeya Kwanza, Uwanja wa…