MWAMBA HUYU HAPA ANATUA YANGA,NDANI YA SPOTI XTRA JUMANNE
MWAMBA huyu hapa Yanga yamshusha Dar,yamficha hotelini,ni mfungaji bora Zambia na Bosi aahidi sapraizi ya majembe mapya Simba ndani ya Spoti Xtra Jumanne
MWAMBA huyu hapa Yanga yamshusha Dar,yamficha hotelini,ni mfungaji bora Zambia na Bosi aahidi sapraizi ya majembe mapya Simba ndani ya Spoti Xtra Jumanne
SHIZA Ramadhan Kichuya staa wa Namungo jana amefunga mabao matatu kwenye mchezo wa ligi na kufanya aweze kufunga hat trick kwenye mchezo huo ikiwa ni ya pili ndani ya ligi. Kichuya alifunga mabao hayo ilikuwa dk ya 23,50 kwa mkwaju wa penalti na lile la tatu ilikuwa dk ya 66 kwenye ushindi wa mabao 4-2…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa suala la mchezaji wao Bernard Morrison ambaye amepewa mapumziko na mabosi hao kutokana na matatizo ya kifamilia lipo wazi kwa timu ambayo inamuhitaji ni lazima utaratibu ufuate.
KATIKA kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kuelekea msimu ujao wa 2022/23, uongozi wa Azam FC umejipanga kufanya maboresho makubwa kwenye kikosi chao ili wajiweke kwenye nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa baada ya kuukosa msimu huu. Azam FC imekuwa na mwenendo wa kupanda na kushuka kwenye Ligi Kuu Bara huku pia kikosi hicho kikitupwa nje kwenye…
SIMBA ipo kwenye mchakato wa kusaka kocha mpya wa makipa baada ya Tyron Damons kupata dili jipya nchini Afrika Kusini. Taarifa rasmi kutoka Simba imeeleza kuwa kwa hatua ambayo wamefikia wanamshukuru kocha huyo hivyo watasaka mbadala wake kwa ajili ya kuwa kwenye kikosi hicho. “Klabu ya Simba inamtakia kila la heri kocha wa magoli kipa…
YANGA jana Jumapili waliweza kulisimamisha Jiji la Dar wakiwa wanalitembeza kombe lao la Ligi Kuu Bara walilolitwaa msimu huu wa 2021/22. Ubingwa huo ni wa 28 kwa Yanga ambapo jana Jumamosi walikabidhiwa kombe lao baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Msemaji wa Yanga, Haji Manara,…
KIUNGO wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba SC, Mzamiru Yassin, amejifunga miaka miwili kuendelea kuvaa uzi mwekundu. Mzamiru ni chaguo la kwanza la Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Seleman Matola ambaye amempa jukumu la kuichezesha timu na kusambaza mipira mirefu kama alivyofanya kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City. Mzamiru ambaye alijiunga…
HAIJAWAHI kutokea unaambiwa. Hiyo ni mara baada ya Yanga kufunga mitaa ya Jiji la Dar es Salaam na kujaa jezi za kijani na njano wakati wakilitembeza kombe lao la ligi kuu ambalo wamelibeba msimu huu. Yanga ambao walitua jijini Dar majira ya saa tano asubuhi wakitokea jijini Mbeya ambako walitoka kucheza na Mbeya City juzi…
IMEFAHAMIKA kwamba, mshambuliaji mpya wa Yanga, Mzambia, Lazarous Kambole, ndani ya kikosi hicho alichosaini mkataba wa miaka miwili, atakuwa analipwa zaidi ya shilingi milioni 278. Kambole amejiunga na Yanga akitokea Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini akiwa ni mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake. Mchezaji huyo ni wa kwanza kutambulishwa ndani ya Yanga kuelekea msimu…
YANGA yatikisa jiji ndani ya Championi Jumatatu
WAKIWA Uwanja wa Sokoine, Mbeya leo Simba wamechezeshwa pira gwaride kwa kunyooshwa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons. Ni Benjamin Asukile ambaye alipachika bao la ushindi kwa Prisons ilikuwa dk ya 59 na kuwafanya Simba kuambulia maumivu ugenini. Tanzania Prisons wameweza kulipa kisasi cha kupoteza mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambapo walifungwa bao…
AKIWA ni miongoni mwa mastaa waliopo kwenye kikosi cha kwanza Kibu Dennis ameshuhudia ubao ukisoma Tanzania Prisons 0-0 Simba. Ni kwenye mchezo wa ligi ambao kwa sasa ni mapumziko Uwanja wa Sokoine,Mbeya. Kwa upande wa Prisons wamekuwa imara kwenye kuzuia mashambulizi ya Simba ambayo yanatengenezwa na kiungo huyo huku kazi ya Peter Banda ikiwa kwenye…
SELEMAN Matola, Kaimu Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba ameweza kuifanya timu hiyo kuweza kuogopesha kwenye mechi tatu ambazo amekaa kwenye benchi. Matola amekaimu mikoba ya Pablo Franco ambaye alikuwa kocha mkuu kabla ya kufutwa kazi kutokana na kushindwa kufikia makubaliano ambayo alipewa na mabosi hao ikiwa I pamoja na kukosa ubingwa wa ligi na…
BAADA ya mabingwa Yanga kukabidhiwa ubingwa wao wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 mbele ya Mbeya City kwenye sare ya kufungana bao 1-1, Uwanja wa Sokoine bado ligi inaendelea. Leo Juni 26, mechi mbili za mzunguko wa 29 zitachezwa ambapo kila timu inapambana kusaka pointi tatu muhimu. Namungo FC itakuwa ugenini Uwanja wa Manungu…
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa mabao ndani ya Simba anatajwa kuwa miongoni mwa mastaa ambao watapigwa chini ndani ya kikosi hicho kinachoshiriki ligi. Simba leo ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Tanzania Prisons mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine. Habari kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa tayari mabosi wa Simba wameanza mpango wa kusaka mbadala…
YANGA raha yatwaa ubingwa bila kufungwa ndani ya Spoti Xtra Jumapili