
MWAMBA WA LUSAKA AANZA KUPIGA MATIZI
MWAMBA wa Lusaka kiungo mshamuliaji wa Simba,Clatous Chama ameanza kufanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa 2022/23. Chama amerejea kwa mara nyingine ndani ya Simba baada ya kuwa ndani ya RS Berkane lakini ameshindwa kuonyesha makeke yake kutokana na kile kilichoelezwa kuwa alipata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Yanga. Taarifa iliyotolewa na…