
VIDEO:HASSAN DILUNGA:NAPITIA KIPINDI CHA IBADA
HASSAN Dilunga kiungo wa Simba ameweka wazi kuwa kwa sasa yupo chini ya uangalizi wa madokta ambao wao wanajua huku akiendelea na program ya mazoezi kama kawaida na kubainisha kuwa kwa sasa anapitia kwenye kipindi cha ibada