SIMBA MIKONONI MWA MBEYA CITY LEO SOKOINE

MBEYA City yenye maskani yake Mbeya ikiwa na staa Ssemujju Joseph ambaye ni mshambuliaji anayetumia nguvu nyingi na akili pamoja na winga mzawa Sixtus Sabilo, leo Novemba 23,2022 wataikaribisha Simba. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kwenye mechi za nje ya mkoa wa Dar wamekuwa wakipata tabu kupata matokeo licha ya kuwa na wachezaji…

Read More

SABABU ZA MUDA WA NYONGEZA KUWA KUBWA QATAR

TOKEA kuanza kwa michuano ya World Cup nchini Qatar Novemba 20,2022 kumekuwa na maswali mengi kwa wadau wa soka kutokana na ongezeko kubwa la muda wa ziada. Hii imetokana na mabadiliko waliyofanya Fifa katika muda huo. Sasa wanataka mpira uchezwe na dakika 90 zote zitumike. Maana yake ule muda wa kutazama VAR, muda wa mchezaji…

Read More

YANGA YAITULIZA DODOMA JIJI, MAYELE YULEYULE

YANGA imesepa na pointi tatu jumlajumla kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara wakiwa ugenini. Ubao wa Uwaja wa Liti umesoma Dodoma Jiji 0-2 Yanga na mabao yote yakifungwa na mshambuliaji Fiston Mayele. Ni Mayele alianza kupachika bao la kuongoza kipindi cha kwanza dakika ya 41 akiwa ndani ya 18 na kuwafanya Dodoma Jiji kuwa nyuma…

Read More

DODOMA JIJI WATAMBA KUWATIBULIA YANGA

UONGOZI wa Dodoma Jiji umetamba kuifunga Yanga kwenye mchezo wa ligi na kuvunja rekodi ya timu hiyo kutofungwa ndani ya ligi. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imekuwa na mwendo mzuri na mechi zake za ligi haijapoteza tangu msimu wa 2021/22 ilipofungwa bao 1-0 dhidi ya Azam FC. Ofisa Habari wa Dodoma Jiji, Moses…

Read More

GEITA GOLD YAIPIGIA HESABU IHEFU

BAADA ya kucheza mechi 13 Geita Gold yenye Said Ntibanzokiza ambaye ni kiungo mshambuliaji imekusanya pointi 18. Kwenye msimamo ipo nafasi ya tano na ni mechi nne imeshinda imeambulia kichapo kwenye mechi tatu na sare kibindoni ni sita. Mchezo wao ujao ni dhidi ya Ihefu ambao unatarajiwa kuchezwa Novemba 25. Geita Gold watakuwa nyumbani pale…

Read More

YANGA KAMILI KUIVAA DODOMA JIJI

KUELEKEA mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Yanga, benchi la ufundi la Yanga limeweka wazi kuwa kila kitu kipo sawa. Ni Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa namna ambavyo wanapata ushindi na kutopoteza mchezo morali na ari ya kupambana inaongezeka kutokana na mashabiki kushangilia. “Ni kitu…

Read More

AZAM FC MOTO NI ULEULE

MOTO wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala hauzimi kwa kuwashusha waliokuwa namba Simba na sasa wao wapo juu. Baada ya ubao wa Uwanja wa Majaliwa kusoma Namuongo 0-1 Azam FC, pointi tatu wamesepa nazo jumlajumla. Inafikisha pointi 29 baada ya kucheza mechi 13 ndani ya ligi kwa msimu wa 2022/23 na Simba…

Read More