Home Sports KMC 0-1 SIMBA, MAPIGANO AOKOTA MPIRA NYAVUNI Sports KMC 0-1 SIMBA, MAPIGANO AOKOTA MPIRA NYAVUNI December 26, 2022 FacebookTwitterPinterestWhatsApp UWANJA wa CCM Kirumba dakika 45 za mwanzo zimemeguka kwa wachezaji kuvuja jasho katika msako wapointi tatu. Ubao unasoma KMC 0-1 Simba bao likifungwa na John Bocco dakika ya 15. David Mapigano kwenye mapigano ya kuokoa hatari hakuwa na chaguo la kufanya zaidi ya kuhushudia mpira ukiwa umezama nyavuni.