Home Sports KMC 0-1 SIMBA, MAPIGANO AOKOTA MPIRA NYAVUNI

KMC 0-1 SIMBA, MAPIGANO AOKOTA MPIRA NYAVUNI

UWANJA wa CCM Kirumba dakika 45 za mwanzo zimemeguka kwa wachezaji kuvuja jasho katika msako wapointi tatu.

Ubao unasoma KMC 0-1 Simba bao likifungwa na John Bocco dakika ya 15.

David Mapigano kwenye mapigano ya kuokoa hatari hakuwa na chaguo la kufanya zaidi ya kuhushudia mpira ukiwa umezama nyavuni.

Previous articleKIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA KMC
Next articleKAZE AFICHUA WALIVYOIBANA AZAM FC KWA MKAPA