ANZA WIKI KWA KUPIGA MAOKOTO NA MERIDIANBET

Wiki ndio hiyo imeanza na matumaini mapya kwa wewe ambaye ulishindwa kutusua wikendi. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet. Ingia na ubashiri sasa. Tukianza na Hispania LALIGA itaendelea kwa mchezo mmoja ambapo Girona baada ya kupoteza mechi iliyopita, leo hii atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya UD Las Palmas ambao wapo nafasi ya…

Read More

SIMBA YACHEKELEA KULIPA KISASI KWA TABORA UNITED

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefurahi kulipa kisasi dhidi ya timu ambazo zilifungwa na Tabora United kwenye mechi za ushindani ambazo zilichezwa msimu wa 2024/25 ndani ya uwanja. Simba imecheza mechi 16 za Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC ikiwa ni ligi namba nne kwa ubora Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu…

Read More

MCHEZAJI BORA YANGA AFICHUA JAMBO

MCHEZAJI bora kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex, Maxi Nzengeli amesema kuwa mwalimu wa timu hiyo anahitaji kujituma zaidi katika mechi za ushindani. Katika mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex Februari Mosi baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 4-0 Kagera Sugar ambapo Maxi…

Read More

TABORA UNITED YAPOTEZA,SIMBA YAISHUSHA YANGA

IKIWA ugenini dhidi ya Tabora United Simba imepata ushindi wa mabao 3-0 baada ya dakika 90 kukamilika. Leonel Ateba alifunga mabao mawili dakika ya 12 na 34 kwa mkwaju wa penalti baada ya Mpanzu kuchezewa faulo na beki wa Tabora United ndani ya 18. Ateba anafikisha mabao 7 sawa na kiungo mshambuliaji Jean Ahoua ambaye…

Read More

YANGA WAIACHA MBALI SIMBA KWENYE MABAO NA POINTI

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic wamewaacha mbali watani zao wa jadi kwenye tofauti ya pointi na idadi ya mabao ya kufunga. Baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kagera Sugar, mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex Februari Mosi 2o25 Yanga imefikisha pointi 42 ikiishusha Simba nafasi…

Read More

YANGA YAISHUSHA KILELENI SIMBA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na beki ya NBC Yanga wamekomba pointi tatu muhimu na kuishusha Simba nafasi ya kwanza baada ya kufikisha jumla ya pointi 24 huku Simba wakiwa na pointi 40 nafasi ya pili kwenye msimamo. Yanga imecheza mechi 16 na Simba imecheza mechi 15 mchezo wake wa 16 unatarajiwa…

Read More

FADLU ATUMA UJUMBE KWA TABORA UNITED

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wanatambua mchezo wao dhidi ya Tabora United utakuwa na ushindani mkubwa lakini wapo tayari kwa ajili ya kupata pointi tatu muhimu. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 3-0 Tabora United huu ni mchezo wa mzunguko wa…

Read More

MWENDA AMEANZA MCHEZO WA KWANZA YANGA

BEKI Israel Mwenda wa Yanga ameanza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara akiwa na uzi wa Yanga baada ya kuibuka hali akitokea Singida Black Stars. Djigui Diarra, Kibwana Shomari, Boka, Dickson Job ni nahodha wa kikosi cha kwanza akiwa ni beki kiongozi. Bacca, Khalid Aucho, Israel Mwenda, Mudathir…

Read More

HIVI NDIVYO SIMBA WATAIKABILI TABORA UNITED

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids wamebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Tabora United hautakuwa mwepesi ila wamejipanga kuwakabili kwa  mbinu uwanjani kwa kujituma mwanzo mwisho ndani ya uwanja. Simba ni namba moja kwenye msimamo wa ligi namba nne kwa ubora ni pointi 40 zipo kibindoni baada ya…

Read More

YANGA TAYARI KUMALIZANA NA KAGERA SUGAR

WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…

Read More

MUHIMBILI YANEEMEKA NA UJIO WA MERIDIANBET

Ukipata kidogo basi gawana na wengine ndivyo ambavyo hufanya Meridianbet kampuni ya ubashiri Tanzania, ambapo leo hii walikuwa na zoezi la kugawa aprons wa mama ntilie wa Muhimbili. Aprons hizo zilitolewa na mama ntilie wanaofanya kazi katika maeneo ya karibu na Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam. Msaada huu unalenga kuboresha usalama na hali ya…

Read More