
SIMBA WANATAKA KUPATA BAO UGENINI KIMATAIFA
BENCHI la ufundi la Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, limeweka wazi kuwa mpango mkubwa kwenye mchezo wa ugenini hatua ya Kombe la Shirikisho Afrika robo fainali ni kuona kwamba wanapata bao ugenini. Huu ni mchezo wa mtoano ambapo kete ya kwanza Simba watakuwa ugenini na kete ya pili watakuwa Uwanja wa Mkapa, Aprili…