BANDA KAJENGA KIBANDA NDANI YA MSIMBAZI

KIUNGO wa Simba Peter Banda ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 amejenga kibanda chake mwenyewe kwa kushindwa kuonyesha makeke yake ndani ya uwanja. Moja ya sababu kubwa iliyofanya awe nje ya uwanja kwa muda mrefu ni kupambania hali yake kutokana na kutokuwa fiti kwa muda mrefu. Banda hana uhakika wa kuanza kikosi cha…

Read More

HIKI NDICHO WANACHOKITAKA SIMBA

NAHODHA wa Simba John Bocco, amesema kuwa kwa sasa wanatafuta heshima pekee ya kukamilisha ligi na ushindi kwenye mechi zote mbili zilizobakia ili kurejesha furaha kwa mashabiki wao. Tayari mabingwa wa ligi ni Yanga wanaonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia wakiwa na pointi 74. Ijumaa iliyopita Simba iliishusha rasmi Ruvu Shooting kwa…

Read More

SABABU KICHAPO AZAM FC IPO HIVI

KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Kali Ongala amesema kuwa Namungo walistahili kupata ushindi kwenye mchezo wao kutokana na wachezaji wake kucheza chini ya kiwango. Mei 14 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 1-2 Namungo ambao walitupia kimiani kupitia Hassan Kabunda na Shiza Kichuya huku mchezaji wa Namungo Paterne Counou akijifunga. Azam FC…

Read More

LIVERPOOL YAPETA UGENINI

LIVERPOOL wakiwa ugenini wamesepa na pointi tatu muhimu na kuwashusha wapinzani wao Leicester City. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Leicester City 0-3. Mabao ya Curtis Jones dakika ya 33 na 36 huku msumari wa tatu ukipachikwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 71. Ndani ya King Power Leicester City walipiga mashuti manne yaliyolenga lango huku…

Read More

YANGA KAMILI KUIVAA MARUMO KIMATAIFA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa maandalizi ya kuwakabili wapinzani wao Marumo Gallants yanakwenda sawa. Kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi tayari kimetia timu Afrika Kusini kwa mpango kazi wa kusaka ushindi Mei 17. Mchezo huo ni hatua ya nusu fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo mshindi wa jumla…

Read More

SABABU YA RUVU SHOOTING KUSHUKA DARAJA HII HAPA

KOCHA Mkuu wa Ruvu Shooting, Mbwana Makata amesema kuwa miongoni mwa sababu ambazo zimefanya timu hiyo kushindwa kubaki ndani ya ligi ni pamoja na suala la usajili na ubora wa wachezaji. Mei 12 ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Simba na kuifanya iwe timu ya kwanza kushuka daraja, msimu ujao itashiriki Championship. Imegotea nafasi…

Read More

MAKOCHA SIMBA YANGA WALIPANA KWA VITENDO

ROBERTO Oliveira raia wa Brazil ambaye anainoa Simba na Nasreddine Nabi raia wa Tunisia ambaye anainoa Yanga wamelipana kwa vitendo ndani ya dakika 90 kwenye mechi tofauti. Ni Oliveira alianza kukiongoza kikosi chake Mei 12 ubao wa Uwanja wa Azam Complex uliposoma Simba 3-0 Ruvu Shooting nyota wake alibadilisha usomaji wa matokeo na kuwa ‘super…

Read More

ISHU YA DUBE KUIBUKIA SIMBA IPO HIVI

UONGOZI wa Azam FC Umesema hautakubali kufanya makosa ya kuwaachia mastaa muhimu waondoke bure baada ya mikataba yao kumalizika wakikumbuka ya msimu wa mwaka 2017. Kwenye ligi Azam FC ipo nafasi ya tatu na ina pointi 53 vinara ni Yanga wenye pointi 74 na tayari wametangazwa kuwa mabingwa wa msimu wa 2022/23. Azam katika msimu…

Read More

SAKHO NA NYAVU NDANI YA LIGI KUU BARA

PAPE Sakho ndani ya Ligi Kuu Bara katupia mabao 9 msimu wa 2022/23 aligotea kwenye mabao hayo dhidi ya Ruvu Shooting, Uwanja wa Azam Complex. Kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele wa Yanga mwenye mabao 16 akiwa ametoa pasi mbili za mabao msimu wa 2022/23. Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amesema kuwa kiungo huyo…

Read More

YANGA BINGWA TENA

BAADA ya kupata ushindi leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara rasmi Yanga wanakuwa ni mabingwa wa NBC Premier League. Unakuwa ni ubingwa wa 29 tangu kuanzishwa kwake ikiwa ni historia kubwa na nzuri kwa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi, Yanga wamefikisha pointi 74 ambazo hamna timu yeyote inaweza kufikisha ni baada…

Read More

KOCHA JULIO KAANZA MIKWARA

KOCHA Mkuu wa KMC, Jamhuri Kihwelo, ‘Julio’ ameanza mikwara kwa kubainisha kuwa kinachotazamwa kwenye ligi ni namna ya kumaliza. Mbele ya Singida Big Stars inayonolewa na Hans Pluijm ilisepa na pointi tatu mazima. Ikumbukwe kwamba mchezo wake wa pili kukaa benchi akiwa na KMC baada ya kubeba mikoba ya Thiery Hitimana  amesepa na pointi tatu….

Read More