
VIDEO:AHMED AICHAMBUA YANGA/NAFASI YA FEI/MORRISON
AHMED aichambua Yanga/nafasi ya Fei,Morrison
AHMED aichambua Yanga/nafasi ya Fei,Morrison
MSAFARA wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Februari 14 unatarajiwa kuwasili Dar. Wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika walikuwa nchini Tunisia kwa ajili ya dakika 90 dhidi ya US Monastir. Ubao ulisoma US Monastir 2-0 Yanga hivyo wanarejea wakiwa na hasira kuelekea kwenye mchezo ujao dhidi ya…
NABI awachomoa mastaa kikosini Yanga, Chama, Baleke wakabidhiwa Waarabu ndani ya Spoti Xtra Jumanne
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) inaendelea tena leo na kesho, ni muda muafaka wa kuzijua ni timu gani zitasonga mbele hatua ya 8 bora au robo fainali, Meridianbet kama kawaida wamejipanga kwa kutoa Odds kubwa na machaguo Zaidi ya 1000+ kwenye mechi zote za hatua ya 16 bora UEFA Champions League. Mechi…
BALAA zito kwenye benchi la ufundi la Simba wakitoka kuyeyusha pointi tatu katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika watakosa huduma ya kiungo wao mgumu Sadio Kanoute. Kazi kubwa itakuwa kwa benchi la ufundi kupasua kichwa kuamua wataanza na yupi kati ya Ismail Sawadogo, Mzamiru Yassin ama Jonas Mkude ikiwa atakuwa fiti. Kanoute alionyeshwa kadi…
IMEKUWA ni mwanzo mbaya kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo mchezo wa kwanza imepoteza dhidi ya Horoya. Simba ambao wapo kundi C walikuwa wana kazi ugenini dhidi ya Horoya ambao nao walikuwa wanahitaji matokeo na tumeona namna ilivyokuwa hasa kwenye matumizi ya nafasi. Katika anga la kimataifa…
SIMBA imechambuliwa hivi kimataifa baada ya kupoteza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya Ligi ya Mabingwa Afrika
YANGA wafungukia ishu ya kichapo kimataifa
BAADA ya kupoteza katika mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya Horoya ya Guinea Kwa kutunguliwa 1-0 msafara wa kikosi cha Simba unatarajiwa kurejea leo Dar. Ni mastaa 24 ikiwa ni makipa watatu Aishi Manula, Beno Kakolanya na Ally Salim kwa upande wa mabeki ni Shomari Kapombe, Israel Mwenda, Gadiel Michael, Mohamed Hussein, Henock Inonga,…
ROBERTINHO:Mtafurahi kwa Mkapa, Nabi:TP Mazembe nawajua, hawasumbui ndani ya Championi Jumatatu.
WAKIWA ugenini nchini Tunisia wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wamepoteza mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Olympic Rades umesoma US Monastir 2-0 Yanga. Pointi tatu zimeyeyuka mazima ugenini kwa Yanga ambayo ilifanikiwa kwenye umiliki wa mpira muda wote huku wapinzani wao wakimaliza kazi ndani ya…
TUTAWASHANGAZA, Manula aibuka shujaa licha ya kupoteza kimataifa ndani ya Spoti Xtra Jumapili
HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Horoya Ligi ya Mabingwa Afrika namna hii:- AISHI Manula Shomary Kapombe Henock Inonga Joash Onyango Mohamed Hussein Sawadogo Kanoute Mzamiru Pape Sakho Jean Baleke Clatous Chama Tags # kitaifa
GERALD Mdamu aliyekuwa nyota wa kikosi cha Polisi Tanzania kwa sasa bado anaendelea kupambana kurejea kwenye ubora baada ya kuumia mguu walipopata ajali ya gari wakitokea mazoezini. Ilikuwa ni Julai 9,2021 ulimwengu wa mpira ulipatwa ganzi baada ya taarifa ya ajali hiyo ya gari kutokea na mchezaji ambaye alipata maumivu makubwa kuwa Mdamu. Reagan Senya…
WAZEE wa mpapaso, Ruvu Shooting wametamba kuwa kwa sasa ni mwendo wa vipigo kwa kila watakayekutana naye. Timu hiyo mchezo wake uliopita ikiwa Uwanja wa Jamhuri Morogoro ilishinda mabao 2-1 dhidi ya KMC. Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa hakuna atakayeweza kuwazuia kwa sasa kwenye mwendelezo huo baada ya kuwa kwenye mwendo…