
ADEBAYO ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA, YANGA MPYA BALAA
ADEBAYO asaini miaka miwili Simba, Yanga mpya balaa ndani ya Spoti Xtra Jumanne
ADEBAYO asaini miaka miwili Simba, Yanga mpya balaa ndani ya Spoti Xtra Jumanne
MKONGWE kwenye tasnia ya Habari za Michezo Bongo Saleh Jembe ameweka wazi kuhusu uzinduzi wa mdhamini wa jezi z Simba ambeye ni Sandaland. Jembe amegusia maendeleo kwenye Ligi ya Tanzania ambapo kwa msimu wa 2022/23 mabingwa ni Yanga huku Simba ikigotea nafasi ya pili pia Yanga wamecheza hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika wakigotea…
MILTON Karisa nyota mwenye miaka 27 anayekipiga ndani ya Vipers ya Uganda anatakiwa kuwa katika hesabu za Simba. Kiungo huyo amewahi kufanya kazi na Robert Oliviera ambaye ni Kocha Mkuu wa Simba ikiwa dili lake litajibu atakuwa miongoni mwa nyota watakaokutana na watani zao wa jadi Yanga kwenye mechi za ushindani. Yanga ni watani za…
DJUMA Shaban na Yannic Bangala wanatajwa kuomba kuondoka ndani ya kikosi cha Yanga. Habari zinaeleza kuwa kuondoka kwa Nasreddine Nabi ndani ya Yanga kwenye benchi la ufundi kunawafanya mastaa wengine kufikiria kuondoka pia. Ipo wazi kuwa Bangala mkataba wake bado unaishi ndani ya Yanga kama ilivyo kwa Djuma mpaka 2024 lakini wanahitaji kuondoka. Djuma ameomba…
WAKIWA ni mashuhuda wa ubingwa kuelekea kwa watani zao wa jadi Yanga Simba wameanza mpango kazi kwa ajili ya kuunda kikosi kipya kwa msimu wa 2023/24. Yanga ni mabingwa watetezi msimu ujao huku Simba wakiwa wamegotea nafasi ya pili. Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Salim Abdallah, ‘Tray Again’ amebainisha kuhusu mipango kazi ya timu hiyo.
KOCHA mpya Yanga aanza na vigingi vitatu atajiwa Simba ndani ya Championi Jumamosi
TUNAONA timu zimeanza kuwaacha wachezaj wale ambao walikwama kufanya vizuri ama mikataba yao imegota mwisho hilo ni jambo linalohitaji umakini. Sio wachezaji tu hata benchi la ufundi imekuwa hivyo kama ambavyo wamefanya Yanga, Azam FC na Simba. Mbali na Yanga na Simba tunaamini bado zingine zitafuata kwa kuwa mwanzo wa msimu ni mwanzo wa mipango…
UONGOZI wa Simba leo Jui 16 2023 umemtambulisha mdhamini mpya ambaye atasimamia masuala ya utengenezaji wa jezi za timu hiyo ambayo imeshuhudia ubingwa wa ligi ukienda kwa watani zao wa jadi Yanga. Awali mpango kazi wa jezi za Simba ulikuwa unasimamiwa na VunjaBei ambaye alikuwa akitenda kazi hiyo baada ya kushinda tenda na alitoa ajira…
MZARAMO wa Simba akubali muziki wa watani za jadi Yanga kutokana na kufanya kazi kubwa ndani ya msimu wa 2022/23. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ambaye hatakuwa kwenye kikosi kwa msimu ujao wa 2023/24. Mzaramo wa Simba ameweka wazi kuwa kwa sasa ni muda…
BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 Ibrahim Hamad ataboreshewa mshahara pamoja na mkataba wake. Beki huyo bado yupo ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kusaini dili la miaka mitatu ameonyesha uwezo mkubwa kwenye mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Ni mwepesi kwenye…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utaingia sokoni kuleta mtambo wa mabao utakaoongeza kasi kwenye idara hiyo kwa msimu wa 2023/24. Timu hiyo imegotea nafasi ya pili kwenye msimamo na vinara ni Yanga ambao wametwaa ubingwa wa ligi. Ikumbukwe kwamba Yanga walikuwa wanatetea taji hilo walilotwaa msimu uliopita 2021/22. Ipo wazi kuwa Kocha Mkuu wa…
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa utafanya mchakato wa kuboresha benchi la ufundi kwa kuanza na kumleta kocha mpya wa makipa. Azam FC imeshuhudia mabingwa wa msimu wa 2022/23 kwenye ligi wakiwa ni Yanga chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi. Kwenye mechi ambazo walikutana na Yanga ndani ya ligi walipata sare moja na kupoteza…
YANGA SC: Kocha anayekuja atatikisa nchi, fagio limepita Simba ndani ya Championi Ijumaa
KALI Ongala aliyekuwa kocha msaidizi wa Azam FC hatakuwa kàtika benchi hilo kwa msimu wa 2023/24. Kocha huyo amepeleka maumivu kwa Simba mara mbili kwenye mashindano tofauti ligi na shirikisho. Ongala mchezo wake wa mwisho kukaa benchi ilikuwa Juni 12 aliposhuhudia ubao wa Uwanja wa Mkwakwani ukisoma Azam FC 0-1 Yanga. NI fainali ya Azam…
BAADA ya mabosi wa Simba kuachana na Chlouha Zakaria aliyekuwa kocha wa makipa jina la kocha wa Yanga, Milton Nienov linatajwa mitaa ya Msimbazi. Juni 15 Simba imebainisha kuachana na kocha huyo ambaye alikuwa anawanoa Aishi Manula kipa namba moja wa Simba, Beno Kakolanya kipa namba mbili pamoja na Ally Salim ambaye ni kipa namba…
MTENDAJI Mkuu wa Singida Fountain Gate FC zamani ilikuwa inaitwa Singida Big Stars Olebile Sikwane ameweka wazi kuwa uzoefu wa kuwa kwenye maisha ya soka unampa nguvu ya kufanya vizuri kwenye timu hiyo. Juni 14 2023 taarifa mpya ilikuwa wazi kuwa hisa za Singida Big Stars zimeuzwa kwa mmiliki wa Fountain Gate huku miongoni mwa…
KIUNGO wa Azam FC Keneth Muguna ni miongoni mwa nyota ambao hawatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Raia huyo wa Kenya hajawa na msimu bora ndani ya 2022/23 kutokana na kushindwa kuonyesha makeke yake. Ni shuhuda wa timu hiyo ikipoteza mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation kwa ubao wa Uwanja wa…