
MECHI ZA MATAIFA ZIMEKUJA NA USHINDI LEO
Leo hii France, Portugal, Italy, Serbia wote wapo dimbani kuhakikisha huondoki patupu. Suka jamvi lako la ushindi na uibuke bingwa siku ya leo. Pesa ipo hapa kwa Ukraine dhidi ya Belgium ambao wapo chini ya Rudi Garcia na wenyeji wao wananolewa na Serhiy Rebrov. Timu hizi zilikutana kwenye EURO 2024 ambapo walitoshana nguvu. ODDS za…