
ANAWINDWA NA TIMU KUBWA MWAMBA HUYU WA YANGA
MWAMBA wa Yanga, kipa Djigui Diarra chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi anatajwa kuwa kwenye rada za timu kubwa Afrika ambazo zinahitaji kupata saini yake
MWAMBA wa Yanga, kipa Djigui Diarra chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi anatajwa kuwa kwenye rada za timu kubwa Afrika ambazo zinahitaji kupata saini yake
ULE mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki Bongo Mzizima Dabi umepangiwa tarehe na sasa siku zinahesabika kufika muda wa wababe wawili kusaka ushindi. Ni Mzizima Dabi inatarajiwa kuwa Mei 9 kwa wababe wawili Azam FC kumenyana na Simba. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba baada ya dakika…
MKANDAJI Kibu Dennis ambaye kwa sasa anapambania hali yake kurejea kwenye ubora ameibua jambo ndani ya Simba baada ya tetesi kueleza kwamba ana ofa kutoka timu inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Kibu mchezo uliopita dhidi ya Namungo alikwama kukamilisha dakika 90 kuna hatihati akakosekana kwenye mchezo wa kesho Mei 3 2024 dhidi ya Mtibwa Sugar. Taarifa…
Leo hii kuna mechi za kupiga pesa yaani ni kivumbi leo michuano ya Europa na Konferensi hatua ya Nusu Fainali ambapo kila timu inahitaji ushindi ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kusonga Fainali. Vijana wa De Rossi AS Roma watamenyana dhidi ya Bayer Leverkusen ambao ndio timu pekee kwenye ligi bora Duniani Ulaya ambayo haijapoteza…
KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu nchini imezitoza faini Simba na Yanga kutokana na kosa la kuingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kupitia milango isiyo rasmi siku ya mchezo wa KariakooDerby uliyochezwa April 20, 2024. Kutokana na kosa hilo kamati imeitoza Yanga SC Shilingi milioni tano (5,000,000) baada ya…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa licha ya kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Tabora United bado hajafurahishwa na viwango vya wachezaji wake. Kwenye mchezo huo uliochezwa Mei Mosi 2024 Yanga ilipata ushindi na kutinga hatua ya nusu fainali ndani ya CRDB Federation Cup ambapo wao ni mabingwa watetezi. “Tumecheza vizuri na…
BAADA ya kugawana pointi mojamoja dhidi ya Namungo, Uwanja wa Majaliwa kete inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa Sugar. Chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda akishirikiana na Seleman Matola mchezo wao wa kwanza kukaa benchi walishuhudia ubao ukisoma Namungo 2-2 Simba. Timu hiyo ndani ya tatu bora haijawa na mwendo mzuri na itamkosa kiungo…
IMEELEZWA kuwa kuna kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga mwamba Pacome yupo kwenye hesabu za mabosi wa Simba ambao wanapambana kuboresha kikosi hicho kwa ajili ya kurejea katika ubora ndani ya msimu mpya wa 2024/25
Meridianbet ni mzigo juu ya mzigo, kikubwa ni wewe kufaidika na akaunti yako ya Meridianbet kila unapocheza kasino ya mtandaoni. Meridianbet wameanzisha shindano la Expanse ambapo unaweza kushinda mpaka 1,250,000/= TZS ukicheza sloti na michezo ya kasino kutoka kwa mtoa huduma wa Expanse. Jisajili Meridianbet kama bado ufurahie promosheni hii yenye kukupa bonasi za kasino…
KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Jonas Mkude maarufu kwa jina la Nungunungu amepenya kwenye orodha ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mchezaji bora ndani ya kikosi hicho. Mkude amekuwa katika ubora wake hivi karibuni baada ya kupewa nafasi kucheza katika mechi za ushindani alikuwa kwenye kikosi cha Yanga kilichokomba pointi tatu dhidi…
WAKIWA kwenye mbio za kujinasua kutoka nafasi ya tatu waliyodumu kwa muda mrefu msimu wa 2023/24 orodha ya wachezaji ambao hawapo fiti imeongezeka. Aprili 30 kwenye funga Aprili waliambulia sare ugenini huku wakikosa huduma za nyota wao ambao wapo kwenye program maalumu kurejea kwenye ubora wao. Wakati ubao ukisoma Namungo 2-2 Simba wakigawana pointi mojamoja…
MAJEMBE sita yanakuja Yanga, yupo aliyetakiwa na Simba kazi imeanza kwa ajili ya maboresho ya kikosi hicho msimu wa 2024/25
MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama amewekwa mtu kati ambapo mabosi wa Simba wanapiga hesabu kuipata saini yake kwa kuona kwamba anaongeza mkataba mwingine huku nyota huyo akiwavutia kasi, inatajwa kuwa mabosi wa Yanga nao wanatazama mchakato mzima unavyokwenda kamaatasepa Simba basi wanaweza idaka saini yake
KLABU ya Azam imefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) kumsajili kiungo mshambuliaji, Franck Tiesse. kwa mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu ujao wa 2024-25. Tiesse (26) anayesifika kwa uwezo wake mkubwa wa kushambulia kwa kasi na uwezo wa kutumia miguu yote miwili, akiwa Stade Malien aliisaidia klabu hiyo kufika robo fainali ya Kombe…
Bayern Munich na Real Madrid zimetoshana nguvu kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya huku mchezo wa marudiano wiki ijayo ukisalia kuwa mtanange wa maamuzi. FT: Bayern Munich ?? 2-2 ?? Real Madrid ⚽ Vini Jr 33’ ⚽ Vini Jr (P) 83’ ⚽ Sane 53’ ⚽ Kane (P)…
Sloti ya Zombie Apocalypse Wengi wetu hupenda filamu za Mazombie huwa zinatisha kidogo lakini huwa zinakuwa na hisia Fulani hivi ya msisimko, iko hivyo unapokuwa unacheza mchezo wa kasino ya mtandaoni wa Zombie Apocalypse msisimko huwa pale unaposhinda Mamilioni kwa dau dogo. Jisajili Meridianbet kisha ingia mchezoni ufurahie ushindi. Hatua za Ushindi Kasino ya Mtandaoni…
Viwanja viwili barani ulaya vitawaka moto ndani ya wiki ambapo vitatumika kwenye nusu fainali ya ligi ya mabingwa ulaya siku ya Jumanne leo na siku ya Jumatano ambayo ni kesho. Leo kiwanja ambacho kitaanza kuwaka moto ni Allianz Arena ambapo wenyeji Bayern Munich watawakaribisha klabu ya Real Madrid, Ambapo hapo kesho Signal Iduna Park kutawaka…