Nai Azungumzia Tetesi Zake na Pacome Zouzoua Kupitia Global TV

Baada ya tetesi kusambaa kwa muda mrefu mitandaoni zikimhusisha mwanadada @officiall_nai na staa wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hatimaye mwenyewe ameamua kuvunja ukimya. Kupitia mahojiano ya mubashara na Global TV, Nai amefunguka na kuweka wazi ukweli kuhusu madai yanayoendelea kuzunguka mitandaoni, akieleza msimamo wake juu ya tetesi hizo zinazomhusisha na kiungo huyo wa Yanga. Mahojiano…

Read More

Gallagher Ajiunga na Spurs – Uzoefu wa Ligi Kuu Kuimarisha Safu ya Kiungo

Tottenham Hotspur wamekamilisha usajili wa kiungo wa England, Conor Gallagher, kutoka Atlético Madrid kwa ada ya Pauni Milioni 34 (takriban Shilingi Bilioni 114 za Tanzania). Usajili huu unakuja huku Tottenham wakiwa sokoni kutafuta kiungo wa kati baada ya Rodrigo Bentancur kutarajiwa kukosa sehemu kubwa ya msimu kutokana na jeraha la misuli ya paja (hamstring). Gallagher,…

Read More

Rais Samia Ataka Mazingira Bora na Posho Zilizoboreshwa kwa Wachezaji wa Taifa

Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zote zinazohusika na michezo, kuhakikisha wachezaji wa Kitanzania wanaandaliwa katika mazingira bora ili waliwakilishe vyema taifa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanaboreshewa posho zao. Rais Samia amesimulia jinsi alivyopokea taarifa za wachezaji wa Taifa Stars kugoma kwenda Morocco kutokea nchini Misri kwa sababu ya kudai posho zao. Ameyasema hayo…

Read More

Rais Samia Awapongeza Wachezaji wa Taifa Stars Baada ya AFCON-2025 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza hafla ya kuwapongeza wanamichezo wa Tanzania waliofanya vizuri na kulitangaza Taifa katika mashindano mbalimbali ya kimataifa, hii leo Januari 10, 2026, Ikulu Dar es Salaam wakiongozwa na wachezaji wa Timu ya Taifa Stars waliofanikiwa kufika hatua ya 16 bora katika mashindano ya AFCON-2025…

Read More