
CHELSEA WAMEKIWASHA HUKO
CHELSEA ni kicheko mwanzo mwisho baada ya kushuhudia ubao ukisoma Chelsea 6-0 Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Mabao ya Cole Palmer aliyekuwa katika ubora wake na alitupia mabao manne ilikuwa dakika ya 13, 18, 29, 64 kwa mkwaju wa penalti. Nicolas Jackson alitupia bao moja dakika ya 44 sawa na Alfie Gilchrist dakika…