KOEMAN APEWA MKONO WA KWAHERI BARCELONA

RONALD Koeman amefutwa kazi jumlajumla ndani ya kikosi cha Barcelona kinachoshiriki La Liga nchini Hispania ikiwa ni baada ya miezi 14 kutumia katika kutimiza majukumu yake ndani ya timu hiyo huku jina la Roberto Martinez likitajwa kurithi mikoba yake. Kwa msimu wa 2021/22 ndani ya La Liga, Koeman alikiongoza kikosi chake kushinda mechi 10 na…

Read More

ANSU ANAAMINI HAWEZI KUMFIKIA MESSI

KINDA wa Barcelona, Ansu Fati amesema kuwa alipata ofa nyingi sana lakini akaamua kubaki Barcelona na wala hana wasiwasi kuvaa jezi ya Lionel Messi. Fati alikubali kusaini mkataba mpya wa miaka sita na Barcelona na sasa dau lake la usajili ni Euro bilioni moja jambo ambalo linaonekana kuishtua dunia.   Kinda huyo ambaye anatajwa kuwa…

Read More

MOUNT ACHEKELEA KUWATUNGUA NORWICH

OKTOBA 23, Mason Mount nyota wa Chelsea mwenye miaka 22 aliandika rekodi yake tamu kwa kufunga hat trick mbele ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu England jambo ambalo lilimpa tabasamu nyota huyo ambaye yupo chini ya Kocha Mkuu, Thomas Tuchel. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu England, ubao wa Uwanja wa Stamford Bridge ulisoma…

Read More

SALAH NI MZEE WA MAREKODI TU MAJUU

MOHAMED Salah, nyota anayekipiga ndani ya Liverpool inayonolewa na Kocha Mkuu, Jurgen Klopp amekuwa na wakati mzuri kwa msimu huu wa 2021/22 akiendelea kuandika rekodi matata kila iitwapo leo. Raia huyo wa Misri anatajwa kuwa mchezaji bora duniani kwa zama za wakati huu na ni tegemeo pia kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Misri…

Read More

RONALDO :KUKOSOLEWA NI SEHEMU YA KAZI

MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Cristiano Ronaldo amebainisha kwamba kukosolewa ni sehemu ya kazi jambo ambalo yeye hana mashaka nalo katika maisha yake ya kila siku. Nyota huyo amewapuuza wale ambao wamekuwa wakimkosoa kwa kudai kuwa amekuwa akilala vizuri licha ya mwendo mbovu wa matokea wa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England. Ronaldo aliiongoza timu hiyo…

Read More

CONTE ATAJWA KURITHI MIKOBA YA OLE

KLABU ya Manchester United inatajwa kuwa mbioni kumfukuza kazi kocha wake, Ole Gunner Solskjaer baada ya kipigo cha 5-0 kutoka Liverpool. Kichapo hicho kimewakasirisha wengi ikiwa ni pamoja na mashabiki jambo ambalo limewafanya wasiwe na imani na kocha huyo. Taarifa zimeeleza kuwa mabosi wa United wamewasiliana na Kocha Antonio Conte ili kukaa mezani na kuzungumza…

Read More

NGUMU KUMFANANISHA SALAH NA RONALDO

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool ambaye anaamini kwamba nyota wake Mohamed Salah ni moja ya wachezaji bora kwa sasa duniani ila ni ngumu kumfananisha na Cristiano Ronaldo ambaye anakipiga ndani ya Manchester United. Miamba hao wawili wanakiwasha ndani ya Ligi Kuu England huku ile safu ya ushambuliaji ya Liverpool ikiwa ni namba moja kwa…

Read More

BECKHAM ALAMBA DILI LA MAANA

DAVID Beckham imeripotiwa kwamba amelamba dili la maana la ubalozi nchini Qatar kwa malipo ya pauni milioni 150 sawa na shilingi bilioni 475. Dili hilo litamfanya staa huyo wa England kuweza kuuza sura kwenye Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. Gwiji huyo alipigwa picha akiwa nchini humo mapema mwezi huu akitazama maeneo kadhaa ikiwemo viwanja…

Read More

OLE ANAONA MAMBO MEUSI

OLE Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa kichapo cha mabao 5-0 mbele ya Liverpool ni moja ya siku nyeusi kwake katika kazi ya kuwaongoza mastaa wa Manchester United. Ikiwa Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu England ilishuhudia vijana wa Kocha Mkuu Jurgen Klopp wakiwatungua mabao matano kupitia kwa Naby…

Read More

MANCHESTER UNITED YAPIGWA 5 G

MOHAMED Salah Mwafrika ambaye anawatesa Wazungu ndani ya Ligi Kuu England pamoja na mashindano mengine kwa sasa yeye ni wakucheka na minyavu tu ameongoza kilio leo kuelekea Manchester United. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England ambao umechezwa leo Uwanja wa Old Trafford ubao umesoma Manchester United 0-5 Liverpool. Mabao ya Naby Keita ambaye alifungua pazia…

Read More

SALAH AGOMA KUSEPA LIVERPOOL

STAA wa Liverpool raia wa Misri, Mohamed Salah ameweka wazi kuwa kwa sasa hafikirii kuondoka ndani ya Liverpool na badala yake anahitaji kumaliza soka akiwa ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Jurgen Klopp. Salah amebainisha kuwa ikitokea siku akasepa ndani ya timu hiyo kisha siku akacheza na timu ambayo amehamia kwa wakati huo…

Read More

RONALDO APIGA MKWARA MZITO

STAA wa Manchester United, Cristiano Ronaldo ametembeza mkwara mzito kwa kubainisha kwamba atawafunga mdomo wale wanaoikosoa timu hiyo kwa sasa. Ronaldo ambaye ni ingizo jipya ndani ya United ambapo aliibuka huko akitokea ndani ya kikosi cha Juventus amebainisha kwamba anachukia kuona timu hiyo inafeli. Nyota huyo anaamini kwamba timu hiyo inapitia kipindi kigumu kwa muda…

Read More