SIMBA YAIPIGA 4G USGN KWA MKAPA

UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 4-0 USGN katika mchezo wa makundi. Watupiaji kwa Simba ni Sadio Kanoute dk 63,Chris Mugalu dk 68 na 78 na kipa wa USGN alijifunga dk 84. Simba ipo nafasi ya pili na pointi 10 kundi D sawa na RS Berkane. Timu mbili zinapita zote zikiwa zimekusanya pointi 10…

Read More

RASMI KIKOSI CHA SIMBA V USGN,MUGALU NDANI

HIKI hapa rasmi kikosi cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya USGN Uwanja wa Mkapa mchezo wa Kombe la Shirikisho, Uwanja wa Mkapa:- Aishi Manula Shomari Kapombe Zimbwe Jr Joash Onyango Henock Inonga, Jonas Mkude Pape Sakho Sadio Kanoute Chris Mugalu Rally Bwalya Bernard Morrison Akiba Beno Israel Kennedy Nyoni Lwanga Mzamiru Kagere Kiu Banda Saa…

Read More

ASHA MASAKA AANZA CHANGAMOTO MPYA SWEDEN

MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake, Twiga Stars, Asha Masaka ambaye alikwea pipa kwa na kuibukia  Sweden Machi 30 tayari ameshatambulishwa kwenye timu yake mpya na kuanza kazi. Nyota huyo amepata dili la kujiunga na Klabu ya BK Hacken inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sweden kwa makubaliano na Klabu ya Yanga Princes…

Read More

KIBAO KUMPONZA WILL SMITH,TUZO YAKE YAJADILIWA

LICHA ya staa mkubwa wa Hollywood, Will Smith kuomba msamaha jukwaani baada ya kumzaba kofi mchekeshaji Chris Rock, staa huyo pia ametumia akaunti yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram kuendelea kuomba radhi, safari hii akimuomba pia radhi Rock kwa kitendo alichomfanyia. Will Smith ameandika:“Vurugu katika namna yake yoyote ni sumu na hubomoa. Tabia yangu…

Read More

BARCELONA YAISAKA SAINI YA LEWANDOWSKI

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Barcelona inaisaka saini ya staa Robert Lewandowski ambaye ni mshambuliaji ili kuweza kuwa naye kwa msimu ujao ndani ya kikosi hicho. Lewa ni moja ya mastaa ambao wana ushkaji mkubwa na kucheka na nyavu alikuwa anatajwa pia kuwindwa na Manchester United. Staa huyo wa Klabu ya Bayern Munich mkataba wake umesalia…

Read More

BUKAYO SAKA ANDOLEWA KAMBI YA TIMU YA TAIFA

BUKAYO Saka ameondolewa katika kikosi cha timu ya Taifa ya England baada ya kukutwa na maambukizi ya Corona. Saka nyota wa Arsenal alifanya mazoezi na wachezaji wa Timu ya Taifa ya England Jumanne lakini kwa sasa ametengwa St. George Park tangu Jumatano na kwa sasa amerejea nyumbani. Saka alitweet kuwa ameondolewa katika kikosi cha timu…

Read More

KOCHA ITALIA HAJAFURAHISHWA NA MATOKEO MABAYA

ROBERTO Mancini, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Italia amesema kuwa hajafurahishwa  na kutolewa katika hatua hiyo. Usiku wa kuamikia leo Timu ya Taifa ya Italia ilifungwa bao 1-0 dhidi ya North Macedonia. Bao pekee la ushindi lilipachikwa kimiani na Aleksandar Trajkovski dk 90+2 Uwanja wa Renzo Barbera. Sasa North Macedonia itacheza mchezo dhidi…

Read More

NEYMAR ANAVUTA MKWANJA MESSI

TAARIFA ya orodha ya wachezaji wanaoingiza mshahara mrefu kwenye Ligue 1 imetoka, huku mchezaji nyota zaidi kwenye ligi hiyo, Lionel Messi anayekipiga PSG akishika namba mbili kwa kuingiza kitita cha Euro milioni 3.3 (sawa na Sh bilioni 8.5) kwa mwezi. Takwimu hizo zilizotolewa na gazeti la L’Équipe zinaonesha kuwa sasa mchezaji huyo raia wa Argentina…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR,KAZI BADO IPO

MSAFARA wa viongozi wa Simba pamoja na wachezaji leo Machi 22,2022 wamewasili salama Dar wakitokea Benin walipokuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya ASEC Mimosas. Simba chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco ilipoteza mchezo huo kwa kufungwa mabao 3-0 na kupoteza pointi tatu muhimu. Wakiwa ni wawakilishi pekee kwenye Kombe la Shirikisho wanabaki na…

Read More

AUBA MWENDO WA REKODI TU

STAA wa Klabu ya Barcelona, Pierre-Emerick Aubameyang amezidi kuwa moto ndani ya maisha yake mapya ambayo ameyeanza kuishi kwa sasa. Jumapili nyota huyo alikuwa mchezaji aliyefanya vizuri kwenye El Clasico wakati Barcelona iliposhinda mabao 4-0 dhidi ya Real Madrid wakiwa ugenini. Alifunga mabao mawili na kutoa pasi moja jambo ambalo ni kubwa kwake tangu alipojiunga…

Read More

MOTO ULIVURUGA MAMBO AJAX V FEYENOORD

ILITOKEA hali ambayo ilisababisha mchezo kati ya Ajax v Feyenoord kuchelewa kuanza kwa muda kutokana na tukio la moto kutokea upande mmoja katibu na lango la timu moja. Ajax ilipoteza katika mchezo huo uliochezwa Jumapili katika Uwanja wa Johan Cruyff Arena. Baada ya mchezo huo kuanza na kuchezwa ubao ulisoma Ajax 3-2 Feyenoord na ni…

Read More

MORRISON:TUNAFUZU,TUNAJIAMINI

BERNARD Morrison, kiungo wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco amesema kuwa wanaamini kwamba watafuzu hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho. Kichapo cha mabao 3-0 mbele ya ASEC Mimosas jana Machi 20,2022 kiliyeyusha matumaini ya Simba kutangulia katika hatua ya robo fainali hivyo wana kazi ya kufanya Uwanja wa Mkapa. “Tunajiamini, tunajiamini na…

Read More

BARCELONA YAICHAPA MABAO 4-0 REAL MADRID

WAKIWA Uwanja wa Santiago Bernabeu wameshuhudia ubao ukisoma Real Madrid 0-4 Barcelona. Pierre Aubameyang alitupua 2 dk 29 na 51,Ronald Araujo dk 38 na Ferran Torres dk 47. Mchezo huo wa El Clasico umiliki ulikuwa ni mali ya Barcelona ambao walikuwa na asilimia 60 huku Real Madrid wao ikiwa ni 40. Ushindi huo unaifanya Barcelona…

Read More