SIMBA WAAMUA KUKODI ULINZI AFRIKA KUSINI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba umeamua kufanya jambo la kitofauti kwa kukodi gari la ulinzi kwenye misafara yao wanapokuwa nchini Afrika Kusini baada ya wageni wao Orlando Pirates kugoma kuwapa huduma hiyo. Jana Aprili 22, wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ambao ni Simba waliweza kuwasili nchini Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi…

Read More

KOCHA KAIZER CHIEFS AFUKUZWA KAZI

KLABU ya Kaizer Chiefs na Kocha Stuart Baxter wamefikia makubaliano ya pamoja ya kuvunja mkataba wa kocha huyo aliyerudi kuifundisha klabu hiyo kwa mara ya pili mara baada ya kuhudumu mwanzo kwenye klabu hiyo. Akiwa na Kaizer Chief amefanikiwa kushinda michezo 9 ametoka sare michezo 6 na kufungwa michezo 8 na katika kipindi hicho klabu…

Read More

MANCHESTER CITY YAISHUSHA LIVERPOOL

KLABU ya Manchester City imefikisha pointi 77 huku Liverpool ikiwa na pointi 76 zote zimecheza mechi 32 na City ni namba moja kwenye msimamo. Ushindi wa mabao 3-0 Brighton and Hove Albion umetosha kuwarejesha tena kileleni. Mabao Uwanja wa Etihad yalifungwa na Riyad Mahrez dk 53,Phil Foden dk 65 na Bernardo Silva dk 82. City…

Read More

ARSENAL WAIBOMOA CHELSEA STAMFORD BRIDGE

WAKIWA ndani ya Uwanja wa Stamford Bridge mbele ya mashabiki 32,249 Arsenal wamegoma kuchana mkeka na badala yake wameishushia kichapo Chelsea ikiwa nyumbani. Baada ya dk 90 ubao ulisoma Chelsea 2-4 Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu England uliokuwa ni wa kukata na shoka. Mabao ya wenyeji Chelsea yalifungwa na Timo Werner dk 17 na…

Read More

MANCHESTER CITY YAIWINDA SAINI YA HAALAND

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Manchester City inahitaji kuinasa saini ya Erling Haaland ili kuweza kuwa naye ndani ya kikosi msimu ujao. Hesabu hizo zinakuja baada ya msimu huu kukosa saini ya Harry Kane mwaka uliopita. Euro 75 milioni zimewekwa mezani ili kumpata nyota huyo wa Borussia Dortmund pia na Real Madrid wanatajwa kuhitaji saini ya…

Read More

U 17 WAMEANZA MWENDO,WAUNGWE MKONO

HATUA moja kila wakati tunaona kwa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17 kwa namna ambavyo wanafanya vizuri kwenye mechi za kuwania Kufuzu Tiketi ya Kombe la Dunia. Pongezi kwa Serengeti Girls baada ya kuweza kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Burundi mchezo uliochezwa Uwanja wa Urukundo,Ngozi nchini Burundi. Haukuwa mchezo mwepesi…

Read More

MANCHESTER UNITED NDANI YA TANO BORA

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United ameshuhudia kikosi chake kikisepa na pointi tatu mazima mbele ya Norwich City. Ni mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Old Trafford huku Cristiano Ronaldo akipachika mabao yote matatu na kusepa na mpira wake. Ilikuwa dk ya 7,32 na 76 hayo yalitosha kuwapa furaha United ambayo bado…

Read More

CITY YATINGA NUSU FAINALI UEFA CHAMPIONS LEAGUE

MANCHESTER City inayonolewa na Kocha Mkuu,Pep Guardiola inatinga hatua ya nusu fainali baada ya kulazimisha sare ya bila kufungana mbele ya Atletico Madrid. City inakata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League ikiwa katika Uwanja wa Wanda Metropolitan kwa jumla ya bao 1-0 . Manchester City beki wao John Stones amesema…

Read More

CHELSEA SAFARI IMEWAKUTA,BENZEMA TATIZO

REAL Madrid safari ya nusu fainali ya Champions League imejibu baada ya ushindi wa jumla ya mabao 5-4 dhidi ya Chelsea. Ni Karim Benzema ambaye alikuwa ni mwiba kwa Chelsea baada ya kupachika bao la ushindi kwa Real Madrid katika muda wa nyongeza. Ilikuwa ni Uwanja wa Santiago Bernabeu mbele ya mashabiki 59,839 ubao ulisoma…

Read More