
RASHFORD AIGOMEA SPURS
MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Marcus Rashford ameigomea ofa ya Tottenham Spurs na badala yake anataka kuanza upya kuipambania namba ndani ya United. Nyota huyo anataka kuanza kupambana upya msimu ujao chini ya Kocha Mkuu, Eric Ten Hag kwa mujibu wa taarifa. Rashford mwenye miaka 24 alikuwa na msimu mbaya ndani ya Old Trafford kwa kuwa…