STAA HUYU KUTOKA LEEDS UNITED MALI YA MAN CITY

KLABU ya Manchester City, imefanikiwa kukamilisha dili la kumsajili kiungo wa Leeds United, Kalvin Phillips kwa pauni 45m.  Kiungo huyo mwenye miaka 26, katika hela yake hiyo ya usajili, pauni 42m ndiyo fedha iliyolipwa, huku pauni 3m itakuwa kwa ajili ya bonasi. Mabingwa hao wa Premier League, wamemsajili Phillips kama mbadala wa Fernandinho ambaye alidumu…

Read More

MO SALAH KUUZWA LIVERPOOL

IMERIPOTIWA  kuwa, Klabu ya Liverpool ipo tayari kumuachia, Mohamed Salah kama wakipata ofa nzuri kuanzia pauni 60m.  Salah amesaliwa na mwaka mmoja katika mkataba wake ndani ya Liverpool, huku kwa muda mrefu wakivutana kwenye ishu ya mkataba mpya.  Baada ya Sadio Mane kuondoka Liverpool hivi karibuni na kutua Bayern Munich, huenda pia wakampoteza na Salah….

Read More

KLOPP BADO ANAMKUMBUKA MANE

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool anaamini kwamba kuondoka kwa Sadio Mane ni jamo gumu kwake kwenda nalo sawa kwa sasa.  Mane raia wa Senegal sasa atakuwa ni mali ya Bayern Munich baada ya timu hiyo kukamilisha usajili wake. Unakuwa ni usajili wa tatu kwa Bayern Munich kukamilika ambapo Mane anakwenda kuchukua mikoba ya Robert…

Read More

DE JONG ATAJWA MANCHESTER UNITED

KOCHA mpya wa Manchester United, Erick ten Hag anatajwa kuwa kwenye hesabu za kumsajili Frenkie de Jong kwa ajili ya kuwa naye kwenye kikosi msimu ujao. Kocha huyo anamuamini kiungo huyo Mholanzi akiamini kwamba atakuwa bora kwenye mfumo wake akimpeleka pale Old Trafford. Ten Hag hataki klabu hiyo imwage fedha kwa wachezaji ambao hawapi kipaumbele…

Read More

REAL MADRID WAFICHUA NAMNA WALIVYOMDHIHAKI SALAH

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Real Madrid Rodrygo Silva de Goes maarufu kama Rodrygo amebainisha kuwa wachezaji wa Real Madrid walipanga kumdhihaki mshambuliaji wa Liverpool na Timu ya Taifa ya Misri Mohamed Salah mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya maarufu kama Uefa. Mshambuliaji huyo amenukuliwa akisema:“Pale inapotokea mtu…

Read More

TUCHEL ANAMTAKA LEWANDOWSKI

KOCHA Mkuu wa klabu ya Chelsea raia wa Ujerumani Thomas Tuchel ameisisitizia Bodi ya klabu hiyo kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha inapata saini ya mshambuliaji hatari wa Bayern Munich na Timu ya Taifa ya Poland Robert Lewandowski. Tuchel anatamani Lewandowski achukue mikoba ya Romelu Lukaku ambaye anatazamiwa kujiunga na klabu yake ya zamani ya Inter Milan…

Read More

WATATU WA YANGA KUIKOSA COASTAL UNION

MASTAA watatu wa Yanga wanatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Juni 14,2022. Diarra Djigui kipa namba moja wa Yanga anatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, kesho Jumatano saa 2:30 usiku ukiwa ni wa mzunguko wa pili. Sababu kubwa ambayo itamfanya aweze kuukosa mchezo huo…

Read More

MASTAA HAWA 11 WANASEPA NDANI YA MANCHESTER UNITED

KLABU ya Manchester United, imethibitisha kuondoka kwa nyota wake 11, kati ya hao yupo Paul Pogba na Jesse Lingard. Wachezaji hao wanaondoka kwa sababu tofauti ikiwemo mikataba yao kumalizika na wengine kustaafu kucheza soka. Edinson Cavani, Paul Pogba, Nemanja Matic, Jesse Lingard na Juan Mata, wanaondoka baada ya mikataba yao kumalizika. Kipa Lee Grant, yeye…

Read More

ARTETA HOFU TUPU KISA JESUS

 KOCHA Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta hajapenda kuona timu hiyo ikienda kwa kasi ya taratibu kuwania kuinasa saini ya Gabriel Jesus. Arteta ana hofu huenda akaikosa saini ya nyota huyo wa Manchester City ambayo ni muhimu kwake kwa ajili ya msimu ujao. Usajili uliopita Arteta alitumia pauni milioni 150 kukamilisha usajili wa Ben White,Aaron Ramsdale…

Read More

RASHFORD AIGOMEA SPURS

 MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Marcus Rashford ameigomea ofa ya Tottenham Spurs na badala yake anataka kuanza upya kuipambania namba ndani ya United. Nyota huyo anataka kuanza kupambana upya msimu ujao chini ya Kocha Mkuu, Eric Ten Hag kwa mujibu wa taarifa. Rashford mwenye miaka 24 alikuwa na msimu mbaya ndani ya Old Trafford kwa kuwa…

Read More

LACAZETTE NI MALI YA LYON

MSHAMBULIAJI wa Arsenal Alexandre Lacazette amesajiliwa tena Lyon kwa uhamisho wa bila malipo miaka mitano baada ya kuondoka na kujiunga na The Gunners kwa rekodi ya klabu wakati huo ya euro 46.5m. Lacazette anarejea katika klabu hiyo ya Ufaransa kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2025. Mshambuliaji huyo wa Ufaransa alifunga mabao 54 katika…

Read More

PLATIN NA BLATTER KESI YAO INAUNGURUMA

SEPP Blatter na Michel Platin ni majina makubwa katika soka ambao kwa pamoja leo wanaingia mahakamani kuendelea kujibu mashtaka ya kujihusisha na rushwa enzi za utawala wao.  Blatter na Platin wanashitakiwa kwa kosa la kuhamisha zaidi ya kiasi cha Euro milioni 1.6 mwaka 2011 kinyume na utaratibu kutoka akaunti ya benki ya Blatter kwenda Platin…

Read More

MANCHESTER CITY WAMTAKA SAKA

IMEELEZWA kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wanahitaji saini ya staa wa Arsenal, Bukayo Saka katka kipindi cha miaka miwili ya mwisho ya mkataba wake. City wanahitaji kumpata nyota huyo ili aweze kuondoka ndani ya kikosi cha Arsenal kinachonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Inaelezwa kuwa City pamoja na wapinzani wao wakubwa Liverpool…

Read More

SALAH AINGIA ANGA ZA BARCELONA

IMEELEZWA kuwa Barcelona imewasiliana na Mohamed Salah ili waweze kupata saini yake ndani ya kikosi hicho. Mshambuliaji huyo raia wa Misri amebakiza mwaka mmoja kumaliza mkataba wake ndani ya Liverpool inayotumia Uwanja wa Anfield. Taarifa ya Daily Mirror inasema kuwa Barcelona ni kama wamemteka akili baada ya kumwambia kwamba wanahitaji awe ndani ya familia yao….

Read More

TANZANIA YAFUNZU KOMBE LA DUNIA

TIMU ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17, Serengeti Girls leo Juni 5,2022 imeweza kukata tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia kwa ushindi wa bao 1-0 Cameroon. Mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Amaan,Zanzibar ulikuwa ni wa marudio baada ya ule wa kwanza ugenini Tanzania kushinda mabao 4-1. Cameroon walikuja leo kwa mpango wa…

Read More