RASHFORD AIGOMEA SPURS

 MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Marcus Rashford ameigomea ofa ya Tottenham Spurs na badala yake anataka kuanza upya kuipambania namba ndani ya United. Nyota huyo anataka kuanza kupambana upya msimu ujao chini ya Kocha Mkuu, Eric Ten Hag kwa mujibu wa taarifa. Rashford mwenye miaka 24 alikuwa na msimu mbaya ndani ya Old Trafford kwa kuwa…

Read More

LACAZETTE NI MALI YA LYON

MSHAMBULIAJI wa Arsenal Alexandre Lacazette amesajiliwa tena Lyon kwa uhamisho wa bila malipo miaka mitano baada ya kuondoka na kujiunga na The Gunners kwa rekodi ya klabu wakati huo ya euro 46.5m. Lacazette anarejea katika klabu hiyo ya Ufaransa kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2025. Mshambuliaji huyo wa Ufaransa alifunga mabao 54 katika…

Read More

PLATIN NA BLATTER KESI YAO INAUNGURUMA

SEPP Blatter na Michel Platin ni majina makubwa katika soka ambao kwa pamoja leo wanaingia mahakamani kuendelea kujibu mashtaka ya kujihusisha na rushwa enzi za utawala wao.  Blatter na Platin wanashitakiwa kwa kosa la kuhamisha zaidi ya kiasi cha Euro milioni 1.6 mwaka 2011 kinyume na utaratibu kutoka akaunti ya benki ya Blatter kwenda Platin…

Read More

MANCHESTER CITY WAMTAKA SAKA

IMEELEZWA kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wanahitaji saini ya staa wa Arsenal, Bukayo Saka katka kipindi cha miaka miwili ya mwisho ya mkataba wake. City wanahitaji kumpata nyota huyo ili aweze kuondoka ndani ya kikosi cha Arsenal kinachonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Inaelezwa kuwa City pamoja na wapinzani wao wakubwa Liverpool…

Read More

SALAH AINGIA ANGA ZA BARCELONA

IMEELEZWA kuwa Barcelona imewasiliana na Mohamed Salah ili waweze kupata saini yake ndani ya kikosi hicho. Mshambuliaji huyo raia wa Misri amebakiza mwaka mmoja kumaliza mkataba wake ndani ya Liverpool inayotumia Uwanja wa Anfield. Taarifa ya Daily Mirror inasema kuwa Barcelona ni kama wamemteka akili baada ya kumwambia kwamba wanahitaji awe ndani ya familia yao….

Read More

TANZANIA YAFUNZU KOMBE LA DUNIA

TIMU ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17, Serengeti Girls leo Juni 5,2022 imeweza kukata tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia kwa ushindi wa bao 1-0 Cameroon. Mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Amaan,Zanzibar ulikuwa ni wa marudio baada ya ule wa kwanza ugenini Tanzania kushinda mabao 4-1. Cameroon walikuja leo kwa mpango wa…

Read More

ANTONIO RUDIGER ASANI MIAKA MINNE REAL MADRID

REAL Madrid imempa dili la miaka minne beki wa kazi akitokea Klabu ya Chelsea ambayo alikuwa akiitumikia. Ni Antonio Rudiger amejiunga bure na Mabingwa wa Ligi ya Ulaya ambao waliinyoosha kwa bao 1-0 Liverpool. Nyota huyo ni raia wa Ujerumani amemaliza mkataba wake ndani ya Stamford Bridge na hakuwa tayari kuweza kuongeza dili jipya zaidi…

Read More

MBAPPE AFUNGUKA SAINI YAKE KUWINDWA NA LIVER

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya PSG, Kylian Mbappe raia wa Ufaransa amesema kuwa Liverpool walihitaji saini yake ili kuweza kumpata. Mbappe ambaye tayari ameshazima tetesi zote kwa kusaini dili jipya ndani ya PSG amesema kuwa aliwahi kuzungumza na Liverpool kwa ajili ya kuweza kucheza hapo. “Tulizungumza kidogo,(Liverpool) lakini siyo sana, tulizungumza kidogo. Mbappe amefunguka kuwa Liverpool…

Read More

KOCHA ARSENAL ANA MAUMIVU KWELI

MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa bado wana maumivu ndani yake kwa kuwa walifanya makosa mbele ya Newcastel United ndiyo maana licha ya ushindi mbele ya Everton haukuweza kuwasaidia. Arsenal imemaliza nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu England kama wangeweza kuchanga karata yao vema wangemaliza nafasi ya nne na kupata fursa…

Read More

MANCHESTER CITY MABINGWA LIGI KUU ENGLAND

MANCHESTER City wameweza kutetea taji lao la Ligi Kuu England baada ya kuweza kupindua meza mbele ya Aston Villa. Katika dakika 45 za mwanzo Aston Villa walikuwa wanaongoza kwa mabao 2-0 lakini kipindi cha pili waliweza kushuhudia wakifungwa mabao 3-2 na kuifanya City kufikisha pointi 93 ndani ya Ligi Kuu England. Liverpool wao wameshinda mabao…

Read More

ARTETA AMECHOKA KUWATETEA WACHEZAJI

 MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa walistahili kupata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Newcastel United. Arsenal ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa St James Park. Kichapo hicho kimeifanya timu hiyo kuwa kwenye wakati mgumu katika kusaka nafasi ya kucheza michuano ya Ligi…

Read More