DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS

IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna…

Read More

ZINCHENKO, ODEGAARD KUIWAHI DABI

MASTAA wawili wa Arsenal, Oleksandr Zinchenko na Martin Odegaard, imeelezwa kuwa watakuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa Dabi ya London Kaskazini dhidi ya Tottenham, unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi ijayo. Mechi hiyo inasubiriwa kwa shauku kubwa itapigwa kwenye Uwanja wa Emirates huku ikizikutanisha timu hizo zilizopo ndani ya Top 3 kwenye Premier kwa sasa. Zinchenko aliukosa…

Read More

WINGA DEMBELE ASIMULIA ALIVYOPOTEZA MIAKA MITANO

WINGA wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Ufaransa Ousmane Dembele amefunguka juu ya maumivu aliyoyapitia katika miaka yake mitano ya awali akiwa na kikosi chake cha Barcelona. Dembele ambaye kwa sasa yupo na kikosi cha Taifa cha Ufaransa kinachoshiriki michezo ya Uefa Nations amefunguka akidai kuwa miaka yake mitano ya awali akiwa…

Read More

ARSENAL YAREJEA NAMBA MOJA

ARSENAL wamerejea tena juu walipokuwa mwanzo kabisa wa msimu baada ya ushindi wa mabao 0-3 ugenini dhidi ya timu ngumu ya Brentford. Arsenal ilipachika mabao mawili kwa nyota wake William Saliba dakika ya 17 na Gabriel Jesus dakika ya 28 wote wakipachika mabao hayo kwa kutumia kichwa. Bao jingine lilipachikwa na nyota Fabio Viera ambaye…

Read More

RB LEIPZIG YAPIGWA 3-0 BUNDESLIGA

BUNDESLIGA moto unawaka baada ya Klabu ya Monchengladbah kuishushia kichapo cha mabao 3-0 RB Leipzig. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Borussia Park staa wao Janas Hofmann alitupia mabao mawili dakika ya 10 na 35. Bao lingine lilijazwa kimiani na Ramy ensebaini ilikuwa dakika ya 53 lilifunga ukurasa wa pointi tatu jumlajumla. Ni mashuti 21,…

Read More

HAALAND AWEKA REKODI PREMIER

ERLING Haaland mshambuliaji wa Manchester City wakati timu yake ikishinda mabao 3-0 dhidi ya Wolves ugenini ameandika rekodi nyingine tena. Ni bao la Jack Grealish dakika ya kwanza kisha likapachikwa bao na Haaland mwenyewe dakika ya 16 na lile la tatu ilikuwa ni kazi ya Phil Foden dakika ya 69. Nyota huyo anaweka rekodi ya…

Read More

SIMBA HESABU ZAO NI KWA BIG BULLETS

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba, amesema kuwa wanatambua mchezo wao ujao dhidi ya Big Bullets utakuwa mgumu hivyo wanajipanga kupata matokeo. Mgunda ana kibarua cha kuiongoza timu hiyo kwenye mchezo ujao wa kimataifa ambao ni wa awali baada ya ule wa kwanza kushinda.  Mchezo huo dhidi ya Big Bullets unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa,…

Read More

RAHEEM ATUPIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE

RAHEEM Sterling wa Chelsea alipachika bao la kuongoza dakika ya 48 likawekwa usawa na Noah Okafor dakika ya 75 kwenye mchezo wa UEFA Champions League. Ni mashuti 17 Chelsea walipiga Uwanja wa Stamford Bridge huku RB Salzburg wakipiga mashuti matatu na ni mashutu manne kwa Chelsea yalilenga lango na matatu yalilenga lango kwa RB Salzburg….

Read More

SIMBA KUWASILI DAR LEO

KIKOSI cha Simba leo Septemba 11,2022 kinatarajiwa kuwasili Dar kikitokea Malawi ambapo kilikuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ulikuwa ni mhezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big Bullets, uliochezwa Septemba 10,2022 na ubao wa Bingu ulisoma Big Bullets 0-2 Simba. Mabao ya Moses Phiri na John Bocco yalitosha…

Read More

STAA WA CITY HAALAND AITWA UNITED

HIVI karibuni, staa wa Manchester City, Erling Haaland akiwa anakatiza mitaa ya Jiji la Manchester, shabiki mmoja wa Manchester United alisikika akimwambia ‘njoo United msimu ujao’. Shabiki huyo alikuwa akimfuata Haaland huku akimpigia kelele za kumtaka ahamie United. Ikumbukwe kwamba nyota huyo aliwahi kutajwa kuingia kwenye hesabu za United wakati anatoka RB Salzburg akasajiliwa na…

Read More

SIMBA YAANZA KWA USHINDI KIMATAIFA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameanza kazi yake kwa mara ya kwanza kwenye mashindano a kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika na timu hiyo imeshinda mabao 2-0 dhidi ya ig Bullets. Mchezo huo wakiwa ugenini Uwanja wa Bingu, kipindi cha kwanza Simba walianza kupata bao la kuongoza kupitia kwa Moses Phiri dakika ya 28….

Read More

YANGA WACHAPA 4G KIMATAIFA

UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Zalan 0-4 Yanga kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya awali. Mabao yote ya Yanga yamefungwa kipindi cha pili baada ya dakika 45 ubao kusoma Zalan 0-0 Yanga. Fiston Mayele ambaye katupia mabao matatu mwenyewe alianza kufunga bao la kuongoza dakika ya 47 na mengine…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA BIG BULLETS

SIMBA leo Septemba ina kibarua cha kutupa kete ya awali kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Big Bullets. Hiki hapa kikosi cha kwanza cha Simba kinachotarajiwa kuanza:- Aishi Manula Mwenda Mohamed Hussein Outtara Inonga Kanoute Sakho Mzamiru Phiri Chama Kibu Akiba Beno Nyoni Kennedy Okwa Okra Dejan Bocco Banda

Read More

MANCHESTER UNITED YAAMBULIA MAUMIVU

 BAO pekee la ushindi kwa Real Sociedad dhidi ya Manchester United lilipachikwa dakika ya 59 kwa mkwaju wa penalti na mtupiaji alikuwa ni Brains Mendez kwenye mchezo wa Europa, Uwanja wa Old Trafford. Kwenye mchezo huo ni mashuti 15 yalipigwa kuelekea lango la Real Sociedad huku matatu pekee yakilenga lango. Real Sociedad wao walipiga jumla…

Read More

NAPOLI WAICHAPA LIVERPOOL 4G

USIKU wa Ligi ya Mabingwa Ulaya umewapa furaha Napoli wakiwa Uwanja wa Diego Armando Maradona kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Liverpool.  Ni mchezo wa kwanza kwa  Kundi A ambapo Liverpool hawajaamini ambacho wamekiona licha ya kupewa nafasi kubwa ya kuweza kupata ushindi kwenye mchezo huo. Mabao ya Napoli inayoongoza kundi ikiwa na pointi…

Read More