HUYU HAPA KOCHA MPYA WOLVES

WOLVERHAMPTON Wanderers imemtambulisha rasmi Julen Lopetegui raia wa Hispania na aliyewahi kuwa Kocha mkuu wa Klabu ya Real Madrid pamoja na Sevilla kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo. Lopetegui hivi karibuni ametimuliwa kazi kutoka Klabu ya Sevilla anaanza kuwa kwenye majukumu yake mapya kwenye timu hiyo. Lopetegui anachukua mikoba ya Bruno Lage ambaye alitimuliwa klabuni…

Read More

TIMO KUKOSA KOMBE LA DUNIA

NYOTA wa timu ya Taifa ya Ujerumani na Klabu ya RB Leipzig ya nchini humo ambaye amewahi kukipiga katika klabu ya Chelsea Timo Werner, huenda akakosekana katika michuano ya Fainali za Kombe la Dunia 2022 zinazotarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia Novemba 21. Werner alipata majeraha ya kifundo cha mguu katika mchezo wa mwisho wa hatua…

Read More

KIPA KEPA KUIKOSA ARSENAL JUMAPILI

KOCHA Mkuu wa Chelsea, Graham Potter amesema kuwa Kepa Arrizabalaga ataukosa mchezo ujao dhidi ya Arsenal. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu England unatarajiwa kuchezwa Jumapili. Sababu ya kipa huyo kuukosa mchezo huo ni kutokana na kusumbuliwa na majeraha. Raia huyo wa Hispania ni chaguo la kwanza ndani ya Chelsea tangu Potter achukue mikoba ya…

Read More

KIUNGO WA KAZI CHELSEA KUSEPA BURE

KIUNGO wa klabu ya Chelsea Ngolo Kante ameripotiwa huenda akaondoka klabuni hapo bure kabisa mwishoni mwa msimu ujao kutokana na kumalizika kwa mkataba wake na kutokuwepo kwa maendeleo yoyote kwenye mazungumzo ya mkataba mpya. Kwa mujibu wa mwandishi maarufu wa Habari za michezo Fabrizio Romano amebainisha kuwa upo uwezekano mkubwa wa kiungo huyo raia wa Ufaransa…

Read More

LIVERPOOL WAMECHANA MKEKA

TAIWO Awoniyi amezima furaha ya mashabiki wa Liverpool na kuwafanya Nottm Forest kubaki na pointi tatu wakiwa nyumbani. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England, bao la ushindi limefungwa dakika ya 55kipindi cha pili jitihada za Liverpool kusaka usawa na ushindi zikakutana na uimara wa kipa wa wapinzani wao. Ni mashuti 10 Nottm walipiga na 7…

Read More

MAN U YAICHAPA TOTTENHAM

 MANCHESTER United wanatamba na ushindi wa mabao 2-0 waliopata dhidi ya Tottenham na kusepa na pointi tatu muhimu. Mchezo huo mkali ulichezwa Uwanja wa Old Trafford, mabao ya Fred dakika 47 na Bruno Fernandes dakika ya 69. Ni jumla ya mashuti 28 Man U walipiga huku Tottenham wakipiga mashuti 9. Kati ya hayo United ni…

Read More

JOE GOMEZ KUITWA TIMU YA TAIFA

JOE Gomez huenda akaitwa timu ya taifa ya England kwa ajili ya Kombe la Dunia mwezi ujao. Beki huyo wa Liverpool alikuwa kwenye ubora wakati timu hiyo ikiichapa Man City bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Kwa mujibu wa Daily Mail inaaminika kwamba ataitwa katika kikosi cha wachezaji 26 na kocha Gareth Southgate…

Read More

BENZEMA ATWAA TUZO KUBWA KWA MARA YA KWANZA

NYOTA wa kimataifa Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d’Or kwa upande wa wanaume kwa mara ya kwanza baada ya msimu mzuri akiwa na timu ya Real Madrid. Timu hiyo imeweza kunyakua taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kushinda mbele ya Liverpool na ilitwaa taji la Ligi Kuu ya Hispania maarufu kama La Liga. Benzema,…

Read More

YANGA NDANI YA DAR, MIPANGO YAO HII HAPA

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Dar leo Oktoba 17.2022 kikitokea Sudan ambapo kilikuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo ulichezwa jana Oktoba 16,2022 na Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 na kufanya ikwame kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Kwa matokeo hayo Yanga itashiriki Kombe la Shirikisho…

Read More

WAWAKILISHI WA KIMATAIFA YANGA KUREJEA DAR

BAADA ya kupoteza mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Al Hilal, kikosi cha Yanga leo kimeanza safari ya kurejea Tanzania. Msafara huo ambao uliongozana na viongozi utapitia Addis Ababa Ethiopia. Bado Yanga inabaki kwenye anga za kimataifa kwa kuwa imeangukia kwenye Kombe la Shirikisho Afrka. Inafanya zibaki timu…

Read More

YANGA YAPOTEZA DHIDI AL HILAL KIMATAIFA

KIKOSI cha Yanga kimekwama kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa nguvu zao ni kwenye Kombe la Shirikisho. Kwenye mchezo wa leo dhidi ya Al Hilal walikubali kupoteza kw bao 1-0 Yanga. Ni bao la dakika ya 3 lilitosha kuwapa ushindi Al Hilal wakiwa nyumbani na kutinga hatua ya makundi. Mohamed Abdrahaman…

Read More

AL HILAL 1-0 YANGA

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni mapumziko. Al Hilal wanaongoza bao 1-0 Yanga ikiwa ni mchezo wa marudiano baada ya ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa kuwa Yanga 1-1 Al Hilal. Mtupiaji niMohamed Yusuph dakika ya 3 wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani. Bado wawakilishi wa Tanzania Yanga wana dakika 45 za kujiuliza…

Read More

NABI AJA KIVINGINE KUIKABILI AL HILAL

KATIKA kuhakikisha anapata matokeo mazuri ugenini dhidi ya Al Hilal, Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amepanga kufanya mabadiliko ya baadhi ya wachezaji kwenye kikosi cha kwanza kitakachocheza mchezo huo. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana leo Jumapili kwenye Uwanja wa Al Hilal uliopo katika Mji wa Omdurman huko nchini Sudan katika mchezo wa marudiano. Katika…

Read More