PAN AFRICAN,GWAMBINA KUNANI HUKO WAUNGWANA?

KUNANI pale ndani ya Pan African moja ya timu yenye historia kwenye ulimwengu wa mpira ila ghafla kwa sasa mambo yanaonekana kwenda tofauti. Tunaona kwamba kwenye mzunguko wa pili upepo umebadilika kwa mabingwa hawa wa ligi mwaka 1982 bado hawajawa kwenye mwendo mzuri. Kocha aliyekuwa akiwafundisha hivi karibuni tulipewa taarifa kwamba ameshachimbishwa kisha akafuata kipa…

Read More

AIR MANULA KATIKA ANGA ZA KIMATAIA KAKIWASHA

HAKUNA anayejua itakuaje sasa kwenye hatua ya robo fainali baada ya Simba kufanikiwa kupenya hasa kwenye upande wa lango nani ataanza kati ya Aishi Manula,Beno Kakolanya ama Ally Salim. Weka kando kuhusu kufikiria nani ataanza lakini chaguo namba moja ni Manula ambaye amekuwa kwenye mwendelezo bora awapo langoni. Hapa tunakuletea namna nyota huyo alivyotimiza majukumu…

Read More

SAFARI NI NDEFU KUWEZA KUTOBOA KWENYE SOKA

DUNIA iliibatiza Afrika na nchi zake kuwa sehemu ya dunia ya tatu,ikiamini kuwa ni  dunia ambayo maisha ya mwanadamu wa kawaida yapo kwenye changamoto lukuki zinazofanya ndoto nyingi za vijana wa bara hili kuishia njiani au kutimiza kwa shida mno. Waafrika hupitia njia nyingi sana za shida, vikwazo vya kila aina katika kutimiza ndoto zao….

Read More

AIR MANULA KIMATAIFA MWENDO WAKE

HAKUNA anayejua itakuaje sasa kwenye hatua ya robo fainali baada ya Simba kufanikiwa kupenya hasa kwenye upande wa lango nani ataanza kati ya Aishi Manula,Beno Kakolanya ama Ally Salim. Weka kando kuhusu kufikiria nani ataanza lakini chaguo namba moja ni Manula ambaye amekuwa kwenye mwendelezo bora awapo langoni. Hapa tunakuletea namna nyota huyo alivyotimiza majukumu…

Read More

MBEYA KWANZA SIYO YA KWANZA KWA SASA

MBEYA Kwanza yenye maskani yake Mbeya kwa sasa sio ya kwanza kwa timu ambazo zina maskani yake kwenye mkoa huo wenye madhari ya kijani. Kwa sasa kwenye msimamo inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi 14 baada ya kucheza mechi 19. Safu ya ushambuliaji ya Mbeya Kwanza imetupia mabao 14 ikiwa imeshinda mechi 2 pekee za ligi….

Read More

HATOKI MTU KWA MKAPA IENDE KWA VITENDO

UNAAMBIWA mtu kwao hilo lipo kwenye mechi za kimataifa hasa kwa soka letu la Afrika ambalo linakwenda kwa namna ambavyo linataka lenyewe. Ipo hivyo wewe kubali kata unaona namna ilivyokuwa kwa Simba walishinda kwa mabao 3-1 dhidi ya ASEC Uwanja wa Mkapa walipowafuata ugenini wakachapwa mabao 3-0. Tena ni kwamba hapo ASEC walikuwa nje ya…

Read More

MAZINGIRA MAGUMU KWA SASA WACHEZAJI WAJILINDE,WALINDWE

KUNA namna ya kufanya hasa katika kipindi kigumu ambacho wanakuwa wanapitia wachezaji kwenye kusaka ushindi ndani ya uwanja bado wanapaswa kulindwa na kupewa kile ambacho wanastahili. Kawaida ya wapambanaji ni muhimu kulindwa kwa kuwa wakati huu wa mzunguko wa pili mambo huwa yanakuwa tofauti na mengi hubadilika. Tunaona kwamba wachezaji muhimu ambao ni chaguo la…

Read More

REKODI ZA MASTAA WA SIMBA NA YANGA HIZI HAPA

BADO kidogo kitaumana Uwanja wa Mkapa kwa watani wa jadi kukutana huku kwa sasa wachezaji wa timu zote mbili wakiwa kwenye msako wa kuongeza rekodi. Aprili 30, timu hizo zinatarajiwa kukutana na ule mchezo wa mzunguko wa kwanza walitoshana nguvu bila kufungana na kila mmoja akasepa na pointi mojamoja. Sasa rekodi za mastaa wa timu…

Read More

HUU HAPA MTAMBO WA MABAO BONGO

UWEZO wake uliojificha kwenye miguu yake unarekodi ya kubadili upepo hata akianzia benchi huwa anakuwa bora,alifanya hivyo mara mbili mbele ya Geita Gold na Simba na mechi zote hizi aliweza kutoa pasi za mabao. Ni Tepsi Evance kiungo mshambuliaji wa Azam FC ambaye ni mzawa mwenye pasi nyingi za mwisho ambazo ni 4 na amekuwa…

Read More

SIMBA WALIJIPA UGUMU KIMATAIFA NAMNA HII KIMATAIFA

LICHA ya Simba kuwa na umiliki mzuri kwa rekodi kuonyeshwa kwamba walikuwa na asilimia 55 huku wapinzani wao ASEC Mimosas wakiwa na asilimia 45 bado haikuwapa pointi tatu mazima. Kichapo cha mabao 3-0 kiliwapotezea ramani ya kuwa na uhakikwa wa kutinga hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Shirikisho kwa kuwa awali walikuwa wanaongoza kundi…

Read More

WACHEZAJI TUKUMBUKE KUWALINDA WACHEZAJI

WAKATI mwingine sasa kuweza kuangalia yale makosa ambayo yalifanyika mzunguko wa kwanza kabla ya kuweza kuboresha mambo zaidi mzunguko wa pili. Kwa mzunguko wa kwanza tumeshuhudia namna ambavyo kila timu ilikuwa inapambana kusaka ushindi na kupata kile ambacho kilikuwa kinapatikana baada ya dakika 90. Ilikuwa ni muda bora kwa wachezaji kusaka ushindi kwenye mechi ambazo…

Read More