JEMBE AMPA UJUMBE HUU FEI KUHUSU CHAMA

WASEMA kweli nchi hii hawapendwi, ukweli mara nyingi unaumiza lakini ukiukubali ni dawa. Mjadala wa ubora, nani zaidi kati ya Chama na wewe unazidi kukua lakini kwangu naona umejawa ushabiki zaidi ya uhalisia. Watu wanakwita Zanzibar Finest lakini kama ni kiungo mchezeshaji wewe ni Tanzania Bara na Visiwani Finest…lakini tumtoe Chama. Mashabiki wake wanamuita Mwamba…

Read More

KARIAKOO DABI IWE YA KIUNGWANA

ULIMWENGU wa mpira unasubiri kuona mpira wa kiungwana mbele ya watani wa jadi Simba na Yanga ambao unatarajiwa kuchezwa Oktoba 23,2022 Uwanja wa Mkapa. Mchezo wa kwanza kwa msimu wa 2022/23 na kila timu imetoka kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika hapa tunaamini kwamba kila mchezaji ana kitu cha kufanya. Wachezaji kwenye mechi za hivi karibuni…

Read More

HAWA HAPA WATUPIAJI KIMATAIFA

 KWENYE anga la kimataifa rekodi zinaonyesha kuwa namba za wazawa kufurukuta ni finyu kutokana na wageni kutawala kila kona. Yanga na Simba wanaperusha bendera kwenye Ligi ya Mabingwa huku Azam FC kwenye Kombe la Shirikisho wao mchezo wao walipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Al Akhadar ya Libya wana kazi ya kufanya mchezo wa…

Read More

KIMATAIFA KAZI BADO IPO, MUHIMU KUJITUMA

KUPANGA ni kuchagua ikiwa mpango kazi wa kwanza ulikwama basi kuna mpango wa pili ambao huwa na maamuzi ya mwisho kwenye ulimwengu wa mpira. Kila mmoja kwa sasa macho na maskio ni kwenye mechi za kimataifa ambazo wawakilishi wetu wapo huko wakipambania kombe. Azam FC wao kazi yao ni dhidi ya Al Akhadar ya Libya…

Read More

MUHIMU KWA WAAMUZI KUSIMAMIA SHERIA

WAAMUZI ni sehemu muhimu kwenye mchezo hasa kutokana na kusimamia sheria 17 za mpira ambao unafuatiliwa na watu wengi duniani. Ipo wazi kuwa Ligi Kuu Tanzania Bara imekuwa kwenye ushindani mkubwa na kila siku hatua moja inapigwa kuyafuata matokeo. Kwa waamuzi wale ambao wamekuwa wakishindwa kutafsiri sheria za mpira ni muhimu kujifunza kupitia makossa ili…

Read More

WAKUBWA NA WAONYESHE UKUBWA KIMATAIFA

JAMBO dogo likibadilika kwenye kitu lazima kila mmoja atakuwa na makasiriko kwenye moyo wake akiamini kwama anaonewa ama akiamini hakustahili kufanyiwa hilo. Ukweli ni kwamba kama hautakubali mabadiliko yatokee kwenye maisha wewe umekata tamaa na hatukati kuendelea kupambana na maisha. Pale inapotokea jambo jipya na geni kwako ni fursa ya kujifunza na kuamini akili yako…

Read More

SUALA LA MZUNGU WA SIMBA LIWE SOMO KWA WENGINE

IMESHATOKEA mwanzoni kabisa msimu wa 2022/23 wakati wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika Simba wakiwa kwenye maandalizi. Tukio ambalo kila kiongozi analishangaa kwa nini limetokea na kwa nini imekuwa hivyo wakati ambao hawakutarajia. Ni kweli kwa namna ilivyotokea lazima kila mmoja atapambana kuonyesha kwamba hakutarajia kuona inatokea ilihali ukweli unajulikana. Mkataba wao ambao…

Read More

BILA KUFUNGWA KIMATAIFA SIMBA KAZI HAIJAISHA

DAKIKA 180 kimataifa dhidi ya Nyassa Big Bullets lango la Simba lilikuwa salama chini ya kiongozi Aishi Manula aliyekuwa langoni. Huyu ni kipa namba moja ambaye anazidi kuwa imara kila anapokaa langoni na huwa anafanya makosa ambayo yanapelekea kufungwa. Kufungwa haina maana kwamba hayupo imara hapana ni matokeo ambayo yanatokea uwanjani na wakati unakuja anafanyia…

Read More

WAWAKILISHI WA TANZANIA KIMATAIFA MUHIMU KUJITOA

WAWAKILISHI wa kimataifa leo wanatarajiwa kutupa ket zao kwenye mechi za awali kusaka ushindi ndani ya dakika 90 za awali kabla ya nyingine tena. Yanga wao watakuwa ugenini wakicheza na Zalan FC ya Sudan Uwanja wa Mkapa, Simba itakuwa ugenini kucheza dhidi ya Big Bullets na KMKM wao watakuwa ugenini dhidi ya Al Ahly Tripol….

Read More

ORODHA YA MASTAA KUTOKA DR CONGO YATAWALA BONGO

LIGI Kuu Tanzania Bara msimu wa 2022/23 imeanza kwa ushindani mkubwa huku kila timu zikikamilisha usajili wao kwa kile ambacho walikuwa wanahitaji. Nyota wapya wakigeni wapo ikiwa ni pamoja na kutoka Uganda, Burundi, Rwanda lakini nyota kutoka DR Congo wametawala soka la Bongo. Hapa tunakuletea baadhi ya nyota wakigeni kutoka DR Congo ambao wanakipiga kwenye…

Read More

TAIFA STARS KAZI KUBWA IFANYIKE KUSAKA USHINDI

BADO kazi haijaisha kwa wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ ambao leo wanatarajiwa kutupa kete ya pili kwenye mchezo wao wa pili dhidi ya Timu ya Taifa ya Uganda. Dakika 90 za mwanzo zilikuwa na maumivu hasa baada ya Stars kuambulia kichapo cha bao 1-0 kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo…

Read More