Maria Corina Machado Aibuka Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel 2025
Kamati ya Tuzo ya Amani ya Nobel imemtangaza Maria Corina Machado, kiongozi wa upinzani na mwanaharakati wa demokrasia kutoka Venezuela, kuwa mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka 2025. Akizungumza mjini Oslo, Mwenyekiti wa Kamati ya Nobel, Jorgen Frydnes, alisema Machado ametunukiwa tuzo hiyo kwa mchango wake mkubwa katika kupigania haki za kidemokrasia,…