
Entertainment


HII HAPA ZAWADI YA FEBRUARI
KUSUBIRI sasa inatosha kazi mpya kwa ajili yako hii hapa Chris Jabari ambaye aliweka wazi mpango kazi ndani ya 2024 ni kuachia EP yake, hii hapa isikilize na waambie wenzio kwamba kazi ipo kwa ajili yako

TAWASIFU YA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD NGOYAI LOWASSA
Tumsifu Yesu Kristu, Bwana Yesu Asifiwe, Raha ya Milele umpe Eeeh Bwana, apumzike kwa Amani. Raha ya Milele umpe Eeeh Bwana, apumzike kwa Amani. Raha ya Milele umpe Eeeh Bwana, apumzike kwa Amani. Tunaposimama hapa leo, mioyo yetu imejaa huzuni na machozi, lakini pia, imejaa shukrani na heshima kwa maisha ya kipekee ya Baba…

HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2023
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), leo Januari 25, 2024 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato che nne. BOFYA KUTAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 BONYEZA LINK HAPA CHINI Matokeo ya Kidato cha Nne 2024

MRC Kigamboni Yaishukuru Meridianbet
Kituo cha watu ambao wameathirika na madawa ya kulevya, MRC Muungano, Recovery Community leo hii wameishukuru meridianbet kwa kuwatembelea na kuwapelekea msaada wa chakula na vifaa vya usafi kama vile sabuni. Baada ya kimya kingi sasa meridianbet wamekuja na kishindo kikubwa cha kurejesha kwenye jamii kama ambavyo huwa wanafanya ambapo leo hii zamu ilikuwa kwa…

MBWA ATAFUNA DOLA 4000 ZA MMILIKI WAKE
Cecil, mbwa kutoka Pennsylvania, amekuwa maarufu baada ya kutafuna bahasha ya pesa ambayo wamiliki wake walikuwa wametenga kwa ajili ya kumlipa mkandarasi. Mapema Desemba, Clayton Law aliweka bahasha iliyokuwa na $4,000 kwenye kabati lake jikoni kwake huko Pittsburgh, Pennsylvania. Yeye na mke wake, Carrie, walihitaji kumlipa mkandarasi wao pesa taslimu kwa ajili ya kuweka uzio….

OSCAR PISTORIUS KUACHIWA HURU KWA MSAMAHA LEO AFRIKA KUSINI
Aliyekuwa mwanariadha wa Olimpiki mwenye ulemavu, Oscar Pistorius ataachiwa huru leo kwa msamaha na kutoka gerezani nchini Afrika Kusini baada ya kukaa jela kwa takribani miaka 11 kwa kosa la kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Alimpiga risasi kadhaa kupitia mlango wa bafuni mwaka wa 2013 na kudai kuwa alidhani ni mwizi. Pistorius, ambaye sasa ana…

CRIS JABAR MWAMBA ANAYEWAZA KITAIFA NA KIMATAIFA
UKIITAJA Tandale basi utapewa zile habari za mwamba Nassib Abdul ambaye jina lake maarufu anaitwa Diamond kuwa yeye hapo ndio maskani yake na muziki wake ulianzia hapo mpaka leo katusua kitaifa na kimataifa. Vipaji vingi vipo Nyanda za Juu Kusini pia ambapo ukiigusa mitaa ya Njombe Mjini mitaa ya Mpechi kuna Christopher Muhagama…

HARMONIZE KUNUNUA MAHITAJI MUHIMU YA HANANG
MWANAMUZIKI Rajabu Abdul maarufu kwa jina la Harmonize amewaagiza wasimamizi wake Chopa na Jembe ni Jembe kutumia fedha ambazo amelipwa kwa ajili ya tamasha lililofanyika Manispaa ya Kahama, Shinyanga kutumika kwa ajili ya kununua mahitaji muhimu yatakayopelekwa kwa waathirika wa maporomoko ya matope yaliyotekea Hanang Mkoa wa Manyara. Kupitia ujumbe aliouandika kwenye ukurasa wake wa…

CHEZA KASINO YA MTANDAONI NA SLOTI YA WILD WEST RICHES
Sloti ya Wild West Riches Ile Sloti bomba ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inayokupa nafasi ya kuibuka shujaa kwenye kundi kubwa la matajiri sasa imerejea, ni sloti ya Wild Wild West Riches humu kuna unyama mwingi na jambo kubwa ni kuwa kila ukicheza unajiweka kwenye nafasi kubwa ya kushinda. Sloti hii ya kasino ya…

BODI YA FILAMU YAKAMILISHA MCHUJO TUZO 2023
BODI ya Filamu Tanzania imekamilisha mchujo wa pili wa filamu ambazo zitakwenda kushindaniwa katika kupata washindi wa Tamasha la tuzo za Filamu kwa mwaka 2023. Katibu Mkuu wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msingwa alisema kuwa Tuzo za Filamu Tanzania zimechochea uanzishwaji wa tuzo nyingine hapa nchini, ikiwemo zile za wadau kupitia vyama ambavyo wamevianzishwa…

DEREVA WA CHINO AFARIKI
DEREVA aliyekuwa akiendesha gari alilokuwa akisafiria msanii na dansa maarudu, Chino Kid aitwaye Nabeel, amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu, kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye ajali hiyo. Mmoja wa watu wa karibu wa Chino Kid, Prodyuza Abbah Process kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, ameandika: ‘Rest in Peace Brother, tumepoteza mwanafamilia mmoja aliyekuwa kwenye ajali…

MIKASA YA KUUMIZWA ILIGEUZWA FURSA KWA PNC AKATUSUA
MIKASA ya kuumizwa iligeuzwa kuwa fursa na kumpa jina mwamba kutoka kanda ya ziwa akatusua kisha jamii ukamtambua kupitia ngoma ya Mbona. Ni MJ Record aliisuka biti zama hizo miaka ya 2007 PNC jina lake ni Panckras Ndaki Charlse akadondosha mistari yake akishirikiana na Mr Blue. Bado anapambania kombe kuonesha kipaji alichopewa na Mungu. Mengi…

VIDEO:HUYU HAPA MR SHOWSHOW, TWAHA KIDUKU KUHUSU KAZI
TWAHA Kiduku mzee wa showshow anabainisha wazi kuhusu mipango yake kwenye upande wa mapigano

Shangwe Kubwa La Bodaboda Lasababishwa Na Meridianbet
Shangwe shangwe shangwe tu katika baadhi ya mitaa ya jiji la Dar es salaam baada ya bodaboda kufikiwa na Meridianbet na kupatiwa reflectors ambazo zitawasaidia wanapoendesha pikipiki nyakati zote lakini pia kwa kushirikiana na Polisi wa usalama barabarani wameweza kufanikisha zoezi hilo. Zoezi hilo limekuja kwa kusindikizwa na kampeni ya kuvutia kabisa inayoitwa “Mtaa kwa mtaa” inayolenga…

WIMBO MPYA WA CHRIS JABARI SINA MASHAKA HUU HAPA
NI yake Chris Jabari, Njombe Finest ikiwa ni mpya kabisa inaitwa Sina Mashaka leo ni kumbukizi yake ya kuletwa duniani na hii ni kazi ya kwanza kwa 2023 nyingine zinakuja kwake Sina Mashaka

SLOTI YA VENI VIDI VICI INAKUPA USHINDI MARA 1000
Sub-Heading: Aprili ya Kishua unaambiwaje jisajili Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza sloti ya kasino ya mtandaoni. Kujisajili bonyeza hapa: https://a.meridianbet.co.tz/c/srILsF Furahia sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Meridianbet Veni Vidi Vici! Ikiwa unafurahia michezo inayoelezea mambo ya kale, Meridianbet kasino ya mtandaoni wana zawadi…