BREAKING: GRACE MAPUNDA (TESSA) AFARIKI DUNIA

Habari za kusikitisha zilizotufikia asubuhi hii ya Novemba 2, 2024 zinaeleza kuwa, muigizaji nguli wa Bongo Movies, Grace Mapunda almaarufu Tessa anayeng’ara kwenye Tamthiliya ya Huba amefariki dunia. GLOBAL TV imezungumza na Meneja Uzalishaji (Production Manager) wa Huba Series aitwaye Saffi ambaye amethibitisha kutokea kwa msiba huo mzito. Saffi amesema Tessa amefariki dunia alfajiri ya…

Read More

SALEH JEMBE: SIMBA HAIMHITAJI MANULA, BUSARA ZITUMIKE KUMALIZANA – VIDEO

Mchambuzi mahiri wa soka, Saleh Ally Jembe @salehjembefacts amesema mashabiki wa Simba waliomzomea mchezaji wao, Kibu Denis kwenye mechi dhidi ya APR ya Rwanda kwenye Simba Day, walikuwa sahihi kutokana na utovu wa nidhamu waliofanyiwa na mchezaji huyo. Saleh amesema Kibu Denis pia hakupaswa kucheza kwenye mechi hiyo kwani hakushiriki kwenye mazoezi ya pre-season kama…

Read More

MERIDIANBET YATOA MSAADA MBAGALA LEO

Kampuni ya Meridianbet imefanikiwa kutoa msaada leo katika eneo la Mbagala Kingugijijini Dar-es-salaam katika moja ya familia zenye uhitaji. Huu umekua utaratibu wa miaka mingi wa mabingwa hao wa kubashiri kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii yao haswa kwenye watu wenye uhitaji, Leo wamefika kwenye familia ya mzee Yusuph Mdogwa mwenye ulemavu wa macho na kurejesha tabasamu…

Read More

Namba 7 ya Maajabu, Cheza Kasino Ushinde

Unataka kuwa Milionea na hujui pa kuanzia? Nisikilize mimi leo nakuletea mchezo wa kasino unaosifika kwa tabia yake ya kutoa mikwanja kwa majokeri. Kabla ya yote embu jisajili hapa kisha twende kazi mtu wangu wa nguvu.   Sloti ya 777 Super Strike inapatikana kwenye Kasino Mtandaoni ya Meridianbet ikiwa na safu tano zilizowekwa katika mistari…

Read More

EX-WIFE wa Q CHIEF ASIMULIA ALIVYOTOA MIL 100 KUMSAIDIA ASITUMIE ‘UNGA’ – WALIVYOACHANA…

Mwanamama ambaye huko nyuma alikuwa akifanya kazi mbalimbali za kiburudani za kuwapeleka wasanii mbalimbali wa hapa nchini kufanya show nje ya nchi @ukhtydidas na aliyekuwa mke wa msanii wa Bongo Fleva, Q Chief amefunguka mambo mbalimbali aliyoyapitia kwenye maisha yake ikiwemo ishu ya kunyan’ganywa watoto wake na wazungu na kukaa nao mbali zaidi ya miaka…

Read More

ZORAN MILOSEVIC CEO WA MERIDIANBET! LEO ANAFUNGUKA KILA KITU

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Meridianbet Zoran Milosevic, atakuwa mzungumzaji mkuu katika Siku ya Wawekezaji ya Senzal, moja ya jukwaa muhimu zaidi la wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa duniani. Tukio hili linafanyika leo Jumatano tarehe 26 Juni huko Belgrade nchini Serbia. Jukwaa la Senzal hukusanya wawekezaji na wafanyabiashara, wataalamu wa fedha, na viongozi wa makampuni kama Meridianbet…

Read More

LIVE BUNGENI: WAZIRI MWGULU ANAWASILISHA MAKADIRIO NA MATUMIZI YA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/2025

Serikali imesema bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imelenga kutekeleza vipaumbele vitakavyojikita katika kujenga uchumi shindani na viwanda kwa maendeleo ya watu” pamoja na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2024/25. Akiwasilisha bajeti hiyo bungeni Dodoma, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameyataja maeneo ya vipaumbele yaliyoainishwa katika mpango huo kuwa ni pamoja na…

Read More

CHEZA SHINDANO LA EXPANSE KASINO! MAMILIONI YANAKUSUBIRI

Meridianbet wanaendeleza ubabe wao, na leo nakuletea ile Promosheni pendwa ya kujichukulia Maokoto, Shindano la Expanse ambapo ukicheza michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka EXPANSE utajiweka kwenye nafasi ya kushinda Mamilioni leo. Jisajili sasa kuwa moja ya washindi. Shindano la Expanse Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na…

Read More

SHINDA TSH 4,750,000/= UNAPOCHEZA MICHEZO YA EXPANSE KASINO MTANDAONI

Promosheni Baabu Kubwa! Shindano la Expanse kila siku washindi wapya wanaibuka na kuzawadiwa bonasi za kasino, kitita cha maana Tsh 4,750,000/= kinakusubiri mwishoni mwa shindano, Jisajili Meridianbet na cheza michezo ya Expanse iliyopo Meridianbet kasino ya Mtandaoni. Shindano la Expanse ndani ya Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa…

Read More

FURAHA YATAWALA SIKU YA MAMA KIGAMBONI

Kauli pekee ambayo unaweza kutumia ni kua furaha imetawala siku ya kina Mama duniani eneo la Kigamboni, Kwani mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet ndio waliofanikisha furaha hiyo kwa kutoa msaada katika eneo hilo Imekua utamaduni kwa magwiji hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakijitahidi kurudisha kwenye jamii yao na leo wamefanikiwa kutoa…

Read More