
MAUA SAMA – BABA JENI (OFFICIAL MUSIC)
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Maua Sama Novemba 19, 2020 ameachia wimbo wake mpya wa ‘Baba Jeni’.
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Maua Sama Novemba 19, 2020 ameachia wimbo wake mpya wa ‘Baba Jeni’.
Expanse studio wanatarajia kuonesha ubora wa bidhaa zao kwenye maonesho ya michezo ya mtandaoni makubwa zaidi duniani ya 2021 SIGMA huko Malta. Nafasi bora ya Meridianbet kuonesha ubora wa bidhaa zake. Expanse Studio ni waandaaji waliochipukia kwa kasi zaidi duniani kwenye uandaaji na uendelezaji wa michezo ya kasino, ambao wana jivunia nafasi yao katika soko…
MKONGWE wa muziki wa Bongo Fleva, Joseph Leonard Haule ‘Profesa Jay’ anasema kuwa, wasanii wanatakiwa kupendana na kuacha tabia za kinafiki kwa sababu wakiendekeza tabia hizo hazitaufikisha muziki wao pale wanapopataka. Jay ambaye mpaka sasa bado anakimbiza na ngoma yake kali ya Utaniambia Nini anasema kuwa, kuna baadhi ya wasanii hawapendani kabisa; yaani wanashindwa hata…