SIMBA MOTO ULEULE, WAWAVUTIA KASI WAPINZANI WAO KIMATAIFA
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa ushindi mbele ya SC Sfaxinekwenye mchezo wa kimataifa uliochezwa nchini Tunisia sio mwisho wa mapambano kazi bado inaendelea katika mechi zijazo kimataifa. Kwenye mchezo huo Januri 5 2025 Simba ilipata ushindi wa bao 1-0 ambalo lilidumu mpaka mwisho wa mchezo mtupiaji akiwa ni kiungo mshambuliaji Jean Ahoua dakika ya 34…