JEMBE LILILOWATULIZA WAARABU KWA SIMBA LATAJWA
BAADA ya kupata pointi tatu za nyumbani, uongozi wa Simba umeibuka na kumtaja kiungo wao mkabaji Jonas Mkude ndiye aliyekuwa kikwazo kwa wapinzani wao RS Berkane ya nchini Morocco. Simba ilifanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Berkane katika mchezo wa nne wa Kundi D, uliopigwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Mkapa. Bao la…