>

Saleh

SIMBA YATUPWA NJE LIGI YA MABINGWA AFRIKA

  TIMU ya Simba imetolewa rasmi kwenye michuano ya Ligi Mabingwa Afrika baada ya kufungwa Jwaneng Galaxy kwa mabao 3-1, mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.   Simba ambayo ilianza vema kipindi cha kwanza ilienda mapunziko ikiwa mbele kwa bao 1-0 goli la Larry Bwalya, lakini Galaxy waligeuza kibao kupachika magoli 3.   Matokeo…

Read More

SIMBA YAPEWA ONYO NA YANGA KIMATAIFA

KOCHA wa Yanga Princes Mohamed Hussein, ‘Mmachinga’ amewapa onyo Simba kuelekea mchezo wao wa leo Oktoba 24 dhidi ya Jwaneng Galax kwa kuwataka kucheza kwa kujilinda na kusaka ushindi mapema ili kuongeza hali ya kujiamini. Akizungumza na Saleh Jembe, Mmachinga alisema kuwa ushindi wa ugenini ni ishara mbaya kwamba hata wao wanaweza kufungwa wakiwa nyumbani…

Read More

AZAM FC YAMALIZWA KIMKAKATI NA YANGA

MABOSI wa Yanga wamebainisha kwamba mkakati wa kuimaliza Azam FC ulishachorwa Songea kwa kuwa walipata muda wa kuitazama timu hiyo ilipocheza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Azam FC jana ilipoteza mchezo wake wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Pyramids FC kwa kufungwa bao 1-0. Akizungumza na Championi Jumamosi, Kaimu Mtendaji…

Read More

AKILI KUBWA KUIMALIZA JWANENG GALAXY KWA MKAPA

BENCHI la ufundi la Simba limebainisha kuwa kazi bado inaendelea kuelekea kwenye mchezo wao wa marudio dhidi ya Jwaneng Galaxy unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa leo. Katika mchezo wa uliochezwa Uwanja wa taifa wa Botswana, Simba ilishinda kwa mabao 2-0 hivyo ina mtaji wa mabao kibindoni jambo linalowapa hali ya kujiamini kuelekea kwenye mchezo wao…

Read More

NDAYIRAGIJE AFUNGASHIWA VIRAGO GEITA GOLD

ETIENNE Ndayiragije anakuwa kocha wa kwanza kuchimbishwa ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 ambapo alikuwa ni Kocha Mkuu wa Geita Gold. Taarifa iliyotolewa na Geita Gold imeeleza kuwa ni makubaliano ya pande zote mbili baada ya kocha huyi kushindwa kufikia malengo ambayo yapo kwenye makubaliano. Kwa sasa timu hiyo ambayo jana Oktoba 23…

Read More

PACHA YA BANGALA,JOB NA DJUMA YAJIBU YANGA

PACHA ya nyota watatu ambao ni mabeki ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imejibu baada ya kuweza kucheza kwenye mechi tatu ambazo ni sawa na dakika 270 bila kuokota mpira nyavuni. Ndani ya Ligi Kuu Bara, Yanga imecheza mechi tatu ambapo ile ya kwanza ilikuwa mbele ya Kagera Sugar, Uwanja…

Read More

BOCCO AWEKA REKODI,KIBU MAJANGA MATUPU

  WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa, nyota wawili wa Simba waliweka rekodi zao za kipekee.   Ni nahodha John Bocco ambaye ni mchezaji bora wa msimu wa 2020/21 na mshikaji wake Kibu Dennis katika suala…

Read More

SALAH AGOMA KUSEPA LIVERPOOL

STAA wa Liverpool raia wa Misri, Mohamed Salah ameweka wazi kuwa kwa sasa hafikirii kuondoka ndani ya Liverpool na badala yake anahitaji kumaliza soka akiwa ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Jurgen Klopp. Salah amebainisha kuwa ikitokea siku akasepa ndani ya timu hiyo kisha siku akacheza na timu ambayo amehamia kwa wakati huo…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA JWANENG GALAX

OKTOBA 24 leo kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kinatarajiwa kuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Jwaneng Galaxy ambao utakuwa ni wa marudio. Katika mchezo wa kwanza, Simba ilishinda mabao 2-0 hivyo leo ina kazi ya kulinda ushindi wake pamoja na kusaka ushindi ili kuongeza nafasi…

Read More

RONALDO APIGA MKWARA MZITO

STAA wa Manchester United, Cristiano Ronaldo ametembeza mkwara mzito kwa kubainisha kwamba atawafunga mdomo wale wanaoikosoa timu hiyo kwa sasa. Ronaldo ambaye ni ingizo jipya ndani ya United ambapo aliibuka huko akitokea ndani ya kikosi cha Juventus amebainisha kwamba anachukia kuona timu hiyo inafeli. Nyota huyo anaamini kwamba timu hiyo inapitia kipindi kigumu kwa muda…

Read More

SIMBA WAPO TAYARI KIMATAIFA

  HITIMANA Thiery, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Jwaneng Galax ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ambapo utakuwa ni wa marudio baada ya ule wa awali Simba kucheza ugenini nchini Botswana. Ilikuwa ni Oktoba 17 ambapo Simba…

Read More

KMC WAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA NAMUNGO,ILULU

WAKIWA Uwanja wa Ilulu, leo Oktoba 23 Wanakinoboys wamegawana pointi mojamoja na Namungo FC kwa kufungana bao 1-1. Kwa upande wa KMC ni mshambuliaji wao Charles Ilanfya alipachika msumari wa kwanza ilikuwa dakika ya 30 na lilidumu kwa muda wa dakika 12 kwa kuwa dakika ya 43 Shiza Kichuya alipachika bao kwa mkwaju wa penalti….

Read More

JEMBE LA KAZI YANGA LAANZA MATIZI

MABINGWA wa kihistoria Yanga wameendelea na mazoezi kwa ajili ya kuivutia kasi Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 30. Ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imeendelea kujiweka sawa ambapo katika program wanazofanya kwa sasa ni pamoja na ile ya kuwa GYM kupiga matizi. Mbali na mazoezi…

Read More

AZAM FC KAMILI KUWAVAA WAARABU WA MISRI LEO

GEORGE Lwandamina, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa vijana wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo Oktoba 23 dhidi ya Waarabu wa Misri, Pyramids FC ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa vijana wapo tayari kwa ajili ya kupata ushindi kwenye…

Read More