
UTAZAME UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA
HUU hapa muonekano wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
HUU hapa muonekano wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
Sloti Ya Titan Dice Anza wiki yako ukicheza mchezo wa Titan Dice kwa kujikusanyia mkwanja wa kutosha na kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Wiki yako itakuwa bomba kwa kuchangamkia bonasi na ushindi mkubwa kupitia Meridianbet. Michezo ya Dice (kete) imekuwepo kwa muda mrefu. Kihistoria, mchezo huu ulianzia China. Waandaaji wa kisasa, Expanse Studios wametengeneza Titan…
DAKIKA 90 Uwanja wa CCM Kirumba zimekamilika kwenye moja ya mchezo mzuri wa Ligi Kuu Bara kati ya Biashara United v Yanga na wote kuweza kutoshana nguvu. Ubao umesoma Biashara United 1-1 Yanga ambapo walianza kufunga Yanga kisha Biashara United wao wakaweka usawa. Ilikuwa ni bao la dk ya 74 Fiston Mayele ambaye amefikisha jumla…
DAKIKA 45 za mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Biashara United v Yanga zimemeguka Uwanja wa CCM Kirumba leo Mei 23. Ubao unasoma Biashata United 0-0 Yanga ambapo kila timu inacheza kwa kushambulia na mpira wa pasi nyingi. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara wamepiga jumla ya kona mbili ambazo hazijaleta matunda…
KOCHA Mkuu wa Manchester City ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu England amesema kuwa ilikuwa ni pointi nyingi wapinzani wao wamemaliza nazo msimu huu. Ilikuwa ni Liverpool ambao walikuwa wanavutana na Manchester City na tofauti yao ni pointi moja pekee. City imeshinda mchezo wake dhidi ya Aston Villa kwa mabao 3-2 ikiwa Uwanja wa Etihad…
MASAU Bwire,Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa wameomba kupewa muda wa mapumziko kwa Bodi ya Ligi Tanzania,(TBLP) kwa mchezo wao dhidi ya Azam FC ili waweze kufanya maandalizi kwa kuwa wapo safarini. Bwire amesema kuwa baada ya kukamilisha mchezo wao juzi kwa sare ya bila ufungana na Kagera Sugar hawakupata muda wa kupumzika zaidi…
TUNAAMINI kwamba kwa muda ambao umeaki kuelekea mechi za hatua ya nusu fainali kila timu inafanya maandalizi mazuri ili kuweza kupata matokeo kwenye mechi ambazo watacheza. Ni Yanga wao watacheza na Simba na Coastal Union hawa watamenyana na Azam FC katika hatua ya nusu fainali ambayo inatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa mechi hizi za…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wataingia kwa tahadhari leo Uwanja wa CCM Kirumba kusaka ushindi mbele ya Biashara United. Mchezo wa leo unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni ambapo timu zote zipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Yanga kwenye msimamo inaongoza ligi ikiwa na pointi zake 63 baada ya kucheza mechi 25…
MAMBO magumu kwa Pablo Franco ndani ya kikosi cha Simba baada ya jana kulazimisha sare ya pili mfululizo kwenye ligi mbele ya Geita Gold baada ya mchezo uliopita kufungana bao 1-1 dhidi ya Azam FC. Mastaa wake wakiwa Uwanja wa CCM Kirumba walikubali sare ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo wa ligi ambao ulikuwa wazi…
KATIBU Mkuu wa TFF Kidao Wilfred anaamini kwamba safari ya kufuzu Kombe la Dunia licha ya Timu ya Taifa Wasichana U17 Serengeti Girls kushinda mabao 4-1 mbele ya Cameroon huko Yaoundé, Cameroon bado haijaisha. Vijana hao wana kazi ya kucheza mchezo wa marudio Uwanja wa Mkapa ili kuweza kukata tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia.
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wasichana chini ya miaka 17, Serengeti Girls, leo imefanya kweli kwa kupata ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Cameroon. Ushindi huo muhimu ulikuwa ni kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa mtoano wa kuwania kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia uliokuwa na ushindani mkali ndani ya dk 90….
MANCHESTER City wameweza kutetea taji lao la Ligi Kuu England baada ya kuweza kupindua meza mbele ya Aston Villa. Katika dakika 45 za mwanzo Aston Villa walikuwa wanaongoza kwa mabao 2-0 lakini kipindi cha pili waliweza kushuhudia wakifungwa mabao 3-2 na kuifanya City kufikisha pointi 93 ndani ya Ligi Kuu England. Liverpool wao wameshinda mabao…
IMEELEZWA kuwa nyota watatu ndani ya kikosi cha Yanga wapo kwenye hesabu ya kupigwa panga ili kuweza kupisha nyota wengine wapya kwa msimu wa 2022/22.
DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa CCM Kirumba kwa timu zote kugawana pointi mojamoja za ligi. Ni bao la George Mpole dk ya 20 na Kibu Dennis dk ya 27 kwa pasi ya Rally Bwalya kwenye mchezo wa leo ambao ulikuwa ni wazi kwamba kila timu ilikuwa na nafasi ya kushinda. Sasa Mpole anafikisha mabao 14…
KABLA ya mchezo kuanza Uwanja wa CCM Kirumba, George Mpole mshambuliaji wa Geita Gold na Kocha Mkuu, Felix Minziro wamekabidhiwa tuzo zao za mwezi Aprili. Minziro alichaguliwa kuwa kocha bora na Mpole mwenye maao 14 akiwa ni mchezaji bora wa mwezi uliopita. Ubao kwa sasa unasoma Geita Gold 1- Simba ikiwa ni mapumziko kwenye mchezo…
IKIWA ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold, Simba inatarajia kushuka na kikosi kazi huku kipa namba moja Aishi Manula leo akiwa nje. Kikosi kipo namna hii:- Beno Kakolanya Shomari Kapombe Gadiel Michael Joash Onyango Pascal Wawa Kibu Dennis Kanoute Sadio John Bocco Rally Bwalya Pape Sakho Taddeo Lwanga