YANGA YAIFANYIA SIMBA UMAFIA WA KAMBI
UMAFIA! Ndivyo utakavyoweza kusema, ni baada ya uongozi wa Yanga kubadili kambi mkoani Mwanza ambako watani wao, Simba watapiga hapo kujiandaa na Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama Kombe la FA. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Jumamosi hii katika mchezo huo ambao unatarajiwa kupigwa saa kumi kamili jioni kwenye…