Saleh

MOSES PHIRI ASHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA

MSHAMBULIAJI wa Simba, Moses Phiri ametangazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora waMashabiki ndani ya mwezi Septemba. Ni mashabiki ambao walikuwa wanachagua kwa kupiga kura kupitia mitandao ya kijamii ambapo ni Phiri alikuwa ameingia fainali na Mzamiru Yassin pamoja na Clatous Chama kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans…

Read More

MBEYA CITY WAPINDUA MEZA KIBABE

LICHA ya kupata bao la kuongoza mapema kupitia kwa mzawa Nickosn Kibabage ilikuwa ngumu kwa Mtiwa Sugar kusepa na pointi tatu za Mbeya City. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Manungu Oktoba 2,2022 na bao ulisoma Mtibwa Sugar 2-2 Mbeya City. Kwa matokeo hayo Mbeya City ni wamepindua meza kibabe. Bao la mapema kwa Mtibwa Sugar…

Read More

SIMBA YAICHAPA TATU DODOMA JIJI NA KUSEPA NA POINTI TATU

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema ushindi ambao wameupata kwenye mchezo dhidi ya Dodoma Jiji umetokana na kazi kubwa ya wachezaji wakeo uwanjani. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 3-0 Dodoma Jiji na kuifanya timu hiyo kufikisha pointi 13 na kuongoza ligi. Bao la ufunguzi lilifungwa na Abdallah Shaibu,’Ninja’…

Read More

YANGA NI WAKALI KWENYE USHAMBULIAJI

YANGA wanaongoza kuwa na safu matata ya ushambuliaji wakiwa wamefunga mabao 9 kwenye mechi nne za ligi huku Simba wakiwa wamefunga mabao 8. Kwa Yanga ni Fiston Mayele na kwa Simba ni Moses Phiri wanaongoza kwa kufunga mabao mengi ambayo ni matatumatatu, yale ya kufungwa kwa Yanga ni mabao matatu na Simba wamefungwa mabao mawili….

Read More

KIUNGO MGUMU AMPA TABASAMU MGUNDA SIMBA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kurejea kwa kiungo wake wa kazi Sadio Kanoute kwenye kikosi hicho kunaongeza uwanda mkubwa wa kuchagua viungo ambao anawahitaji. Kanoute raia wa Mali ambaye ni kiungo mgumu kwenye eneo la ukabaji sifa yake kuu ni kutembeza mikato ya kimyakimya alikosekana kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tanzania…

Read More

DAKIKA 180 ZAIPA NGUVU SIMBA KUIKABILI DODOMA JIJI

DAKIKA 180 ambazo Simba imezitumia kwenye mechi za kirafiki Zanzibar zimewapa nguvu ya kupambana dhidi ya Dodoma Jiji. Leo kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kitatupa kete yake kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mgunda amesema kuwa mechi mbili ambazo wamecheza Zanzibar zinawapa nguvu kwa ajili…

Read More

SUALA LA MZUNGU WA SIMBA LIWE SOMO KWA WENGINE

IMESHATOKEA mwanzoni kabisa msimu wa 2022/23 wakati wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika Simba wakiwa kwenye maandalizi. Tukio ambalo kila kiongozi analishangaa kwa nini limetokea na kwa nini imekuwa hivyo wakati ambao hawakutarajia. Ni kweli kwa namna ilivyotokea lazima kila mmoja atapambana kuonyesha kwamba hakutarajia kuona inatokea ilihali ukweli unajulikana. Mkataba wao ambao…

Read More

KIUNGO WA YANGA AZIZ KI KUIKOSA RUVU SHOOTING

KIUNGO wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia, Stephane Aziz KI anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Nyota huyo hayupo kambini na wachezaji wengine ambao wanajiaandaa na mechi hizo kutokana na kuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Burkina Faso. Anatarajiwa kuripoti kambini siku ya…

Read More

JE UMESHAWAHI KUBASHIRI BILA INTANETI? UNAWEZA HILI UKIWA NA MERIDIANBET USSD!

Hauhitaji kuwa gwiji wa ubashiri kushinda beti! Watu wengi Duniani wamekuwa wakipenda kubashiri mechi mbalimbali na kujiweka katika nafasi ya kushinda pesa kubwa, ambazo wakati mwingine hubadilisha kabisa maisha yao. Lakini je ulishawahi kubashiri kwa kutumia kitochi au bila bando? Tunaweza kusema kwa simu ya batani, kwa kitochi, au kiswaswadu uukiwa huru bila kutumia Intaneti? …

Read More

CHELSEA WAICHAPA CRYSTAL PALACE USIKU

USIKU kabisa Chelsea wakiwa ugenini wamepeleka maumivu kwa Crystal Palace kupitia kwa Conor Gallagger dakika ya 90. Bao hilo lilifanya ubao wa Uwanja wa Selhurst Park kusoma, Crystal Palace 1-2 Chelsea. Bao la mapema kwa Crystal Palace lilijazwa kimiani na Odsonne Edouard dakika ya 9 liliwekwa usawa na Pierre Emerick Aubameyang dakika ya 38. Chelsea…

Read More

ANFIELD LIVERPOOL WAMEGAWANA POINTI NA BRIGHTON

VIJANA wa Brighton wameupiga mwingi kweli, wakiwa Uwanja wa Anfield kwa kuwapa tau Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu England. Dakika 90 ubao ulisoma Liverpool 3-3 Brighton huku nyota Leondro Trossard akitupia mabao matatu kwenye mchezo huo. Alianza dakika ya 4 mapema kabisa kisha akaongeza msumari wa pili dakika ya 17 na 83 ikiwa ni…

Read More