


WAJAPAN WATUSUA KOMBE LA DUNIA BAO LAO SASA GUMZO
KUTOKANA na timu ya Japan kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya taifa ya Hispania, mchambuzi wa masuala ya michezo ameomba Shirikisho la Soka Duniani, FIFA kufanya uchunguzi kuhusu saka la mpira wa pasi ya mwisho ulioleta bao la ushindi. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Khalifa wakati ubao ukisoma Japan 2-1 Hispania…

INONGA ASHUSHA MASHINE MPYA SIMBA,MASTAA YANGA WAAPA
Kazi kwisha, Inonga ashusha mashine mpya Simba, mastaa Yanga waapa kupeleka maafa ndani ya Championi Ijumaa

HIZI HAPA TIMU ZITAKAZOMENYANA HATUA YA RAUNDI YA PILI
JANA droo ya raundi ya Pili ya Kombe la Azam Sports Federation Cup ilichezwa ambapo mabingwa watetezi wa taji hilo Yanga waliwatambua wapinzani wao. Mechi hizo zinatarajiwa kuanza kuchezwa Disemba 9-11, 2022 ambapo Yanga itamenyana na Kurugenzi FC kwa upade wa watani zao wa jadi Simba wao watamenyana na Eagle. Kwa upande wa Azam FC wao…

NECTA YAZIFUNGIA SHULE 24 UDANGANYIFU MTIHANI LA SABA
Kaimu Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani (NECTA), Athumani Amasi akitangaza matokeo ya mtihani wa elimu ya shule za msingi kwa mwaka 2022, jijini Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Desemba 1, 2022 limevifungia vituo vya mitihani 24 sawa na asilimia 0.13 ya vituo vyote 17,935 vilivyofanya mtihani ambavyo vimethibitika kupanga na kufanya…

NECTA YATANGAZA MATOKEO DARASA LA SABA 2022, YATAZAME HAPA
BARAZA la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo Alhamisi, Desemba 1, 2022 limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2021 (Matokeo ya Darasa la Saba mwaka 2022) Kutazama Matokeo Darasa la Saba 2021 <<Bofya Hapa>>

VIDEO:JEMBE:SIMBA WABORESHE KWENYE USAJILI/LIGI NGUMU
MWANDISHI mkongwe kwenye masuala ya uandhishi wa Habari za Michezo Bongo, Saleh Jembe ameweka wazi maeneo ambayo wanapaswa kuboresha pamoja na namna ligi ilivyo kwa msimu wa 2022/23

KOMBE LA DUNIA: ARGENTINA YAVUKA KUINGIA RAUNDI YA PILI, MEXICO NA SAUDIA ARABIA NJE
Doha, Qatar — Ilikuwa na Shangwe nderemo na vifijo baada ya timu ya Argentina kupata ushindi huo muhimu katika eneo la Funfest kulikojaa watazamaji wengi kushuhudia mchezo huo kati kati mwa jiji la Qatar. Lionel Messi alikosa penalti iliyookolewa na kipa wa Poland Wojciech Tomasz Szczęsny anayecheza katika klabu ya ligi ya Serie A ya…

TUNISIA SAFARI IMEWAKUTA LICHA YA KUSHINDA
LICHA ya timu ya taifa ya Tunisia kutoka Afrika kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ufaransa kwenye mchezo wa makundi Kombe la Dunia, Qatar 2022 safari yao imegota ukingoni. Mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa, Ufaransa walianzisha wachezaji wake wengi nyota benchi kwa kuwa inaonekana kuwa mbinu ya benchi la ufundi ilikuwa ni kuwapumzisha…


TULIENI WINGA MUIVORY COAST MLANGONI SIMBA, NABI AWAJAZA UPEPO MASTA
TULIENI sasa winga Muivory Coast mlangoni Simba SC, Nabi awajaza upepo mastaa Yanga ndani ya Spoti Xtra Alhamisi

VIDEO:JEMBE AFUNGUKIA ISHU YA YANGA KUFUNGWA,MAREFA,AZAM FC
JEMBE afungukia ishu ya Yanga kufungwa, marefa pamoja na Azam FC

VIDEO:ISHU YA VIPIMO VYA UWANJA WA MKAPA V AZAM UKWELI HUU HAPA
ISHU ya vipimo vya Uwanja wa Mkapa v Azam FC ukweli wake huu hapa

DODOMA JIJI WAREJEA NYUMBANI
UONGOZI wa Dodoma Jiji umsema kuwa utaanza kutumia Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kwenye mechi za nyumbani baada ya kufunguliwa. Uwanja huo ulikuwa umefungiwa kwa matumizi kutokana na kutokidhidi vigezo hivyo kufunguliwa kwake ni baada ya vigezo kukamilika. Ofisa Habari wa Dodoma Jiji, Moses Mpunga amesema kuwa wamepokea taarifa hizo kwa furaha na itakuwa ni mwanzo…

MABINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO KUANZA NA KURUGENZI
MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation, Yanga kwenye mchezo wao wa raundi ya Pili wataanza na Kurugenzi FC. Yanga ni mabingwa watetezi ambao walitwaa ubingwa huo uliokuwa mikononi mwa watani zao wa jadi Simba. Kikosi hicho kipo chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi akifanya kazi kwa ukaribu na Cedric Kaze ambaye ni msaidizi….

HAWA HAPA WAPINZANI WA SIMBA KOMBE LA SHIRIKISHO
KWENYE droo ya Azam Sports Federation raundi ya pili ambayo imechezwa leo Novemba 30,2022 Simba imewatambua wapinzani wake. Ni kikosi cha Eagle kitapambana na Simba kusaka ushindi kwenye mchezo wao huo ujao. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kati ya Desemba 9-11, 2022 ambapo Simba waliweka wazi kuwa wanahitaji kutwaa taji hilo. Mabingwa watetezi wa taji hilo…

KOMBE LA DUNIA 2022: SENEGAL IMEKUWA NCHI YA KWANZA YA AFRIKA KUVUKA NGAZI YA MAKUNDI
Timu ya taifa ya Senegal Simba wa Teranga imekuwa timu ya kwanza ya Afrika kufanikiwa kuingia raundi ya 16 katika michuano ya mwaka huu baada ya kuifunga Ecuador bao 2-1. Senegal iliingia kwenye michuano kwa kusua sua ikimkosa mchezaji wake hatari Sadio Mane lakini ikajirekebisha baada aya kupoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya…