
SIMBA KAMILI MAPINDUZI CUP,KAZI INAANZA
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema maandalizi yapo sawa na wataonyesha ushindani. “Tupo tayari kwa ushindani na tunajua kwamba haitakuwa kazi rahisi hivyo mashabiki wajue kwamba tutaonyesha ushindani. “Wachezaji wote ambao wapo kwenye kikosi cha Simba ni mali ya Simba na wanapaswa kutumikia timu yao. Januari 2,2023 kikosi cha Simba kiliibuka ndani…