VIPAUMBELE VYA MGOMBEA NAFASI YA URAIS YANGA
IKIWA leo Julai 9,2022 siku ya uchaguzi wa Yanga ambao unafanyika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere,mgombea pekee wa nafasi ya Urais Injinia Hersi Said amezungumzua vipaumbele vyake. Vipaumbele vyake ni pamoja na:- 1. Miundombinu ya Klabu ya Yanga. a. Ujenzi wa uwanja wa mechi wenye uwezo wa kubeba watu 20,000 – KAUNDA…