Saleh

SIMBA WAWAFUATA DODOMA, MAKAO MAKUU

KIKOSI cha Simba kimewasili Dodoma,makao makuu ya Tanzania leo Januari 20,2023. Chini ya Kocha Mkuu, Robert Oliviera kikosi hicho kilianza safari mapema leo mchana kutoka Dar. Mchezo huo utakuwa ni wa pili kwa Oliviera baada ya ule wa kwanza kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 3-2 Mbeya City. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo…

Read More

MATAJIRI WA DAR AZAM FC KAZI INAENDELEA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hesabu zao kwa sasa ni mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars, wakulima wa Alizeti. Timu hiyo imetoka kushinda mchezo wao uliopita na inakutana na Singida Big Stars ambayo nayo imeshinda mchezo wake uliopita. Singida ilishinda bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar ikiwa ugenini, Uwanja…

Read More

JEMBE JIPYA MTIBWA SUGAR LAANZA KAZI

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar Vitalis Mayanga ataonekana ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani akitumia jezi namba 27. Alikuwa anakipiga ndani ya Polisi Tanzania anaanza changamoto mpya ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar kinachonolewa na Kocha Mkuu, Salum Mayanga. Mshambuliaji huyo msimu uliopita hakuwa kwenye mwendo bora ndani ya kikosi cha…

Read More

YANGA MIPANGO YAO IPO HIVI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kikubwa ambacho amewaambia wachezaji wake ni kucheza kwa umakini kila mechi. Timu hiyo imekuwa kwenye mwendo bora msimu huu ambapo imepoteza mchezo mmoja kati ya 20 kibindoni ina pointi 53. Mchezo wake wa fungua mwaka ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu katika mchezo uliochezwa Uwanja…

Read More

KUPATWA KWA PIRA DUBAI UWANJA WA MKAPA

DAKIKA 90 zilikuwa za kazi huku pira Dubai likionekana kupatwa tabu mbele ya Mbeya City ambao walionesha ushindani wakitaka kusepa na pointi. Dakika tatu ziliwatosha Mbeya City kusawazisha bao la Ntibanzokiza dakika ya 10 kupitia kwa Richardson Ngo’dya ambaye alitumia makosa ya mabeki wa Simba. Kipindi cha pili Simba ilipata bao lililoonekana kulalamikiwa na wachezaji…

Read More

UJUZI WA MBRAZIL KUONEKANA LEO KWA MKAPA

MASHABIKI wa Simba leo Januari 18,2023 wanatarajia kuona ujuzi wa Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ambaye anashikirikiana na mzawa Juma Mgunda.. Mchezo wa leo ni dhidi ya Mbeya City inayotumia Uwanja wa Sokoine kwenye mechi za nyumbani. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Sokoine walitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Katika…

Read More