Saleh

YANGA KAMILI KUWAKABILI SINGIDA BLACK STARS

WALTER Harison, Meneja wa Yanga amesema kuwa Wananchi watapata burudani ambayo waliikosa kwa muda kutokana na mchezo wa kirafiki dhidi ya Singida Black Stars unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Airtel. Yanga inatarajiwa kushuka uwanjani Machi 24 2025 kwa ajili ya mchezo wa kirafiki amba oni maalumu kwa ajili ya uzinduzi wa uwanja mpya wa Singida Black…

Read More

Anza Wiki Yako na Meridianbet Sasa

Siku ya kuwa tajiri imefika chukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. England baada ya kushinda mechi yao iliyopita, leo hii watakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Latvia. Vijana wa Thomas Tuchel wanahitaji kuendeleza ushindi katika dimba la Wembley…

Read More

MECHI ZA MATAIFA ZIMEKUJA NA USHINDI LEO

Leo hii France, Portugal, Italy, Serbia wote wapo dimbani kuhakikisha huondoki patupu. Suka jamvi lako la ushindi na uibuke bingwa siku ya leo. Pesa ipo hapa kwa Ukraine dhidi ya Belgium ambao wapo chini ya Rudi Garcia na wenyeji wao wananolewa na Serhiy Rebrov. Timu hizi zilikutana kwenye EURO 2024 ambapo walitoshana nguvu. ODDS za…

Read More

TFF YAUFUNGULIA UWANJA WA CCM KIRUMBA, MWANZA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanya marekebisho yaliyokidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu. Taarifa ya TFF ya leo Machi 20, 2025 imeeleza kuwa Uwanja huo uliofungiwa kutokana na miundombinu yake kutofaa kutumika kama ilivyoainishwa kwenye masharti…

Read More

REKODI ZA SIMBA ZAVUNJWA NA YANGA

BAADA ya dakika 90 Kwenye Kariakoo Dabi ya Wanawake kukamilika na ubao kusoma Simba Queens 0-1 Yanga Princess rekodi ya timu hiyo kutopoteza pointi tatu ndani ya msimu wa 2024/25 imeyusha mazima na watani zao wa jadi. Ikumbukwe kwamba baada ya Simba Queens kucheza mechi 12 ilikuwa haijapoteza mchezo ndani ya ligi kwenye dakika 1,080…

Read More

NYOTA MPYA YANGA BALAA LAKE SIO LA KITOTO

MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ingizo jipya ndani ya Yanga ambaye ni mshambuliaji Jonathan Ikangalombo ana spidi kubwa akiwa uwanjani jambo ambalo ni faida kwa timu kwenye mechi za ushindani. Kocha huyo ameweka wazi kuwa mshambuliaji huyo alikuwa hachezi kwenye mechi zilizopita kwa kuwa hakuwa fiti kwa asilimia kubwa jambo ambalo lilifanya…

Read More

TUNAMCHUKULIA POA SELEMAN MATOLA KISA MZAWA

KOCHA Pitso Mosimane aliamua kumsajili Selemani Matola katika kikosi cha Super Sport ya Afrika Kusini bila ya majaribio. Katika mahojiano yangu naye mwaka 2006, alisema hakukuwa na haja wakati huo kumjaribu tena Matola sababu mechi mbili Simba Vs Asante Kotoko ya Ghana na Tusker ya Kenya ambao wote walifungwa na Simba katika nusu Fainali na…

Read More

YANGA KIBOKO YATIBUA REKODI ZA SIMBA

BAADA ya dakika 90 Kwenye Kariakoo Dabi ya Wanawake kukamilika na ubao kusoma Simba Queens 0-1 Yanga Princess rekodi ya timu hiyo kutopoteza pointi tatu ndani ya msimu wa 2024/25 imeyusha mazima na watani zao wa jadi. Ikumbukwe kwamba baada ya Simba Queens kucheza mechi 12 ilikuwa haijapoteza mchezo ndani ya ligi kwenye dakika 1,080…

Read More

PRINCE DUBE AMKIMBIZA ATEBA

MWAMBA Prince Dube mshambuliaji wa Yanga amemkimbiza kwenye suala la kucheka na nyavu mshambuliaji wa Simba, Leonel Ateba. Wakali hawa wamekuwa na mwendelezo wao kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja huku Prince Dube akiwa nyota aliyeanza kwa kusuasua kabla ya gari kuwaka kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex. Ateba alianza…

Read More

BEKI WA KAZI YANGA MAPAMBANO YANAENDELEA

CHADRACK Boka beki wa kikosi cha Yanga ambao ni vinara wa ligi amebainisha kuwa ligi ya Tanzania ni ngumu jambo ambalo linawafanya wazidi kupambana kupata matokeo kwenye mechi ambazo wanacheza. Boka ndani ya ligi kafunga bao moja ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Pamba Jiji uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba katika mchezo huo alipachika bao hilo…

Read More