Saleh

Bonasi Za Kibabe Zinamiminika Ukicheza Zombie Apocalypse

Msisimko mpya umeikumba tasnia ya michezo ya kasino mtandaoni baada ya Meridianbet kuungana na wabunifu mahiri wa michezo, Expanse Studios, kuleta mchezo wa kipekee wa Zombie Apocalypse. Huu ni zaidi ya mchezo uliozoeleka machoni pa wengi, hapa unasisimka kwa michoro ya kuvutia, sauti na mandhari inayokuweka katikati ya mapambano ya ushindi. Kupitia ofa hii maalum,…

Read More

Wananchi Wapeta Singida! Yanga 3-0 Singida Black Stars

Singida Black Stars 0️⃣–3️⃣ Yanga SC Ushindi mnono kwa Wananchi baada ya kuonyesha ubora wao uwanjani! ⚽️ 39’ Dube ⚽️ 45+2’ Okello (Pen) ⚽️ 58’ Mudathir Kwa matokeo haya, Yanga wanafikisha alama 32 kileleni mwa msimamo wa ligi, huku watani zao Simba SC wakiwa na alama 24 na mechi moja mkononi. Mbio za ubingwa zinaendelea…

Read More

Manchester United Yapoteza kwa Mara ya Kwanza Chini ya Michael Carrick Baada ya Kuchapwa na Newcastle United

Manchester United imepoteza kwa mara ya kwanza ikiwa chini ya kocha Michael Carrick baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Newcastle United katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la St James’ Park. Mchezo huo ulikuwa na ushindani mkubwa huku Newcastle wakionekana kupambana kwa nguvu licha ya kubaki na wachezaji 10 kuanzia dakika za mwisho…

Read More

Singida Black Stars vs Yanga SC ni leo

Singida Black Stars vs Yanga SC ni leo NBC Premier League, Uwanja wa Airtel kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu. Yanga SC 0-0 Simba SC ni matokeo yaliyopita kwa wapinzani wa Singinda Black Stars iliyo nafasi ya 9 na pointi 19. Wageni wamekusanya pointi 29 wote wakiwa wamecheza mechi 11 ndani ya msimu wa…

Read More

Matokeo ya Ligi Kuu: Wolves 2–1 Liverpool, Everton 2–0 Burnley

Liverpool, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England, wamekubali kichapo cha 2-1 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo uliochezwa kwenye dimba la Molineux. Matokeo ya Mchezo Wolverhampton 2–1 Liverpool 78’ ⚽ Gomes (Wolves) 83’ ⚽ Salah (Liverpool) 90+4’ ⚽ Andre (Wolves) Liverpool walijaribu kurekebisha matokeo kupitia bao la Mohamed Salah, lakini Wolves walithibitisha ushindi wao na…

Read More

Kumbe Seleman Mwalimu alipaswa kufungiwa mechi 5!

MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano Ali Kamwe amefichua kuwa mchezaji wa Simba SC, Seleman Mwalimu alipaswa kufungiwa mechi 5 kutokana na tukio la kuonekana akimpiga kiwiko mchezaji wa Dodoma Jiji FC. Machi Mosi 2026, Mwalimu alianzia benchi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi alipoingia alipata nafasi yakufunga goli ambalo lilifutwa kwa tafsiri ya mwamuzi…

Read More