Saleh

SIMBA KAMILI KUIVAA HOROYA KIMATAIFA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ally ameweka wazi kuwa mchezo  dhidi ya Horoya utakuwa na ushindani mkubwa ambapo tayari kikosi kimeingia kambini. “Mchezo wetu utakuwa Jumamosi na tayari…

Read More

HAT TRICK ZA WAGENI ZIWAZINDUE WAZAWA

MIPIRA mingi kwenye ligi kwa sasa ni zawadi kwa wageni huku wazawa wakiwa mashuhuda wa jambo hili lazima wazinduke waongeze juhudi. Katika idadi ya hat trick tano ambazo zimefungwa kwenye ligi msimu huu ni mzawa mmoja pekee ambaye ni John Bocco yeye kafanya hivyo mara mbili. Waliobaki watatu wote ni wachezaji wakigeni hili liwape hasira…

Read More

SINGIDA BIG STARS NGOMA NZITO NA COASTAL UNION

MPANGO kazi wa Kocha Mkuu wa Singaida Big Stars, Hans Pluijm kusepa na pointi tatu dhidi ya Coastal Union ulikwama baada ya kuambulia pointi moja. Ikiwa ugenini baada ya dakika 90 Machi 12,2023 ubao wa Uwanja wa Mkwakwani ulisoma Coastal Union 1-1 Singida Big Stars. Ni mastaa wawili walipachika mabao kwenye mchezo huo ambapo kwa…

Read More

MECHI YA KISASI LEO

WABABE wawili leo wanatarajiwa kuvuja jasho ndani ya dakika 90 kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa ligi. Ni Ihefu itawakaribisha Azam FC kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate. Kila timu itaingia kwa hesabu za kusaka pointi tatu na kuandika rekodi mpya ambapo Ihefu wao wanahitaji kulipa kisasi cha kutunguliwa mchezo wa mzunguko…

Read More

NABI: HATURUDII MAKOSA KWA MONASTIR

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hawatarudia makosa kwenye mechi yao dhidi ya US Monastir kwa wachezaji wa timu hiyo kusaka matokeo mapema jambo linaoongeza nguvu ya kujiamini na kucheza kwa utulivu. Timu hiyo inashiriki Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa hatua ya makundi inasaka pointi tatu ili kufikisha malengo ya kutinga hatua ya…

Read More

YANGA YASEPA NA POINTI TATU ZA GEITA

YANGA imeibuka na ushindi kwenye mchezo wake wa ligi dhidi ya Geita Gold ikiwa ni mzunguko wa pili. Ubao wa Uwanja wa Azam Complex umesoma Yanga 3-1 Geita Gold. Ni Geita Gold wao walianza kupachika bao la kuongoza mapema kipindi cha kwanza dakika ya 19 kupitia kwa Elias Maguli ambalo lilidumu mpaka muda wa mapumziko….

Read More

MTIBWA YAKWAMA KWA SIMBA

MTIBWA Sugar kwa msimu wa 2022/23 imekwama kusepa na ushindi dhidi ya Simba kwenye mechi ambazo wamekutana ndani ya ligi. Katika mzunguko wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkapa, timu hiyo ilpoteza mchezo huo. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 5-0 Mtibwa Sugar. Hivyo mzunguko wa kwanza waliacha pointi tatu Uwanja…

Read More

MANCHESTER UNITED YAGAWANA POINTI

WAKIWA Uwanja wa Old Trafford wamegawana pointi mojamoja na timu inayoshikilia mkia. Ubao umesoma Manchester United 0-0 Southampton kwenye msako wa pointi tatu. United waliyeyusha dakika 90 wakiwa pungufu baada ya nyota wao Casemiro kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 34. Sasa United inafikisha pointi 50 nafasi ya tatu huku Southampton ikiwa nafasi ya 20 na…

Read More

YANGA 0-1 GEITA GOLD

UBAO wa Uwanja wa Azam Complex unasoma Yanga 0-1 Geita Gold ikiwa ni dakika 45 za mwanzo. Bao pekee la uongozi kwa Geita Gold limefungwa na Elias Maguli ambaye ametumia makosa ya safu ya ulinzi ya Yanga. Ni dakika ya 19 Maguli amemtungua kipa namba moja wa Yanga Djigui Diarra. Moja ya mchezo wenye ushindani…

Read More

IHEFU KAMILI KUIKABILI AZAM FC

KOCHA wa Ihefu Temy Felix amesema kuwa wanatambua mchezo wa kesho dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wanahitaji matokeo mazuri. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ubao ulisoma Azam FC 1-0 Ihefu na kuwafanya wayeyushe pointi tatu. “Mchezo muhimu kwetu na tunatambua utakuwa na upinzani mkubwa mashabiki wajitokeze kwa…

Read More