
SISI NDIO YANGAAA, SIMBA YACHORA RAMANI KUIVURUGIA YANGA
SISI ndio Yangaaa,Simba yachora ramani kuivurugia Yanga ubingwa ndani ya Championi Jumatatu
SISI ndio Yangaaa,Simba yachora ramani kuivurugia Yanga ubingwa ndani ya Championi Jumatatu
YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imeandika historia bora ya kutinga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Faida ya mabao ya ugenini ubao uliposoma Rivers United 0-2 Yanga umewapa nguvu kusonga mbele. Mabao yote yalifungwa na Fiston Mayele akitumia pasi za Bakari Mwamnyeto. Katika mchezo wa leo Uwanja wa Mkapa wametoshana nguvu…
JURGEN Klopp Kocha Mkuu wa Liverpool ameshuhudia vijana wake wakivuja jasho dakika 90 mbele ya Spurs. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Anfield umesoma Liverpool 4-3 Spurs. Liverpool walianza kupachika bao dakika ya 3 kupitia kwa Curtin Jones kisha dakika ya 5 Luis Diaz alipiga msumari wa pili na Mohamed Salah dakika ya…
UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 0-0 Rivers United ikiwa ni mapumziko kwa sasa. Huu ni mchezo wa pili wa hatua ya robo fainali ambapo wawakilishi wa Tanzania wanapeperusha bendera. Kwenye kipindi cha kwanza dakika ya 24 mchezo ulisimama kwa muda kutokana na tatizo la mwanga katika eneo la kuchezea kuwa hafifu na walipolishughulikia…
MANCHESTER United inayonolewa na Kocha Mkuu, Ten Hag imesepa na pointi zote tatu muhimu dhidi ya Aston Villa. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Old Trafford ubao umesoma Manchester United 1-0 Aston Villa. Bao pekee la ushindi limefungwa na Bruno Fernandez dakika ya 39 kipindi cha kwanza na kuimaliza kazi mapema. United inafikisha pointi 63 nafasi…
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Rivers United Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya robo fainali,Uwanja wa Mkapa Djigui Diarra Dickson Job Kibwana Shomari Mwamnyeto Bakari Bacca Ibrahim Aucho Khalid Sure Boy Mudhathir Yahya Mayele Fiston Aziz Ki Mzize
BAADA ya kugotea hatua ya robo fainali msafara wa kikosi cha Simba umewasili salama Dar, leo Aprili 30,2023. Kikosi cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kilikuwa na kazi ya kuwavua ubingwa mabingwa watetezi Wydad Casablanca ila ngoma ikawa nzito kwao. Jumla ya penalti 4-3 zimewaondoa kwenye reli Simba baada ya matokeo ya jumla…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika mchezo wa ugenini wataumaliza kwa mpango mkubwa ili kazi ya kutinga hatua ya nusu fainali kimataifa. Yanga ilishuhudia ubao ukisoma Rivers United 0-2 Yanga katika hatua ya robo fainali ya kwanza na mchezo wa pili unatarajiwa kuchezwa Aprili 30,Uwanja wa Mkapa. Kwenye mchezo huo…
MWAMBA huyu hapa ndani ya kikosi cha Simba uhakika kikosi cha kwanza kutokana na uwezo wa kupandisha mashambulizi na ana uwezo wa kufunga. Mechi 21 dakika 1,866 mabao 2 pasi za mabao 6. Ikumbukwe kwamba alikosekana kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza dhidi ya Yanga. Tunakupitisha kwenye kazi zake ngumu ndani ya ligi msimu wa…
KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa watapata muda wa kuunda mpango kazi kwa ajili ya kupata matokeo kwenye mechi ijayo dhidi ya Simba. Timu hiyo inatarajiwa kumenyana na Simba mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation, Uwanja wa Nangwanda ambapo bingwa mtetezi ni Yanga. Yanga wao watacheza hatua…
UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa mechi tatu ambazo zimebaki wanahitaji matokeo ya ushindi kufanikisha malengo ya kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara. Timu hiyo ina pointi 26 imecheza mechi 27 kwenye msimamo ipo nafasi ya 14 vinara ni Yanga walio nafasi ya kwanza ikiwa na pointi 68. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema…
Muonekano wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
KIPA namba tatu wa Simba, Ally Salim ameingia kwenye mchakato wa kuwania tuzo ya mchezàji Bora wa mashabiki Kwa mwezi Aprili. Hiyo ni tuzo maalumu inayotolewa ndani ya Simba kwa udhamini wa Emirate Aluminium Profile. Ni mechi nne kakaa langoni Salim ambapo upepo unaoyesha kuwa anaweza kusepa nayo. Ni Jean Baleke na Kibu Dennis hawa…
BENCHI la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa sababu ya mtambo wao wa mabao Moses Phiri kujenga ushikaji na benchi ni kutokuwa fiti asilimia 100 baada ya kupata maumivu. Kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele wa Yanga ambaye ametupia mabao 16 kwenye ligi msimu huu wa 2022/23. Phiri katupia mabao 10 kibindoni kwenye ligi akiwa…
KAZI ya wawakilishi wa Tanzania Simba kwenye hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika imegotea mwisho dhidi ya Wydad Casablanca hatua ya roo fainali baada ya kuondolewa kwa jumla ya penalti 4-3. Matokeo ya jumla ni Wydad 1-1 Simba kwa kuwa kila timu ilishinda bao moja kwenye uwanja wa nyumbani hivyo Simba wanakazi ya kujipanga wakati…
MWENYEKITI wa Tawi la Yanga, Gerezani, Kariakoo, Hassan Sasama amesema kuwa mashabiki wa Yanga wajitokeze kwa wingi Uwanja wa Mkapa kulipa kisasi mbele ya Rivers United katika mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Rivers United. Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Rivers United ikiwa ni robo fainali ya pili wana faida…
HAITAKUWA mwisho mpaka ifike mwisho kwenye mashindano yote ambayo timu zinashiriki iwe ni kwenye ligi ama Kombe la Shirikisho. Ipo wazi kwamba bingwa mtetezi wa mataji yote ni Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Yanga wao watakutana na Singida Big Stars mchezo wa hatua ya nusu fainali na Azam FC watamenyana na Simba kweye…