Saleh

Kitawaka Kesho Jumapili Manchester United vs Liverpool, Vita ya kufuzu Ligi ya Mabingwa

Manchester United vs Liverpool inatarajiwa kuwa moja ya mechi kubwa zaidi ya msimu, huku pande zote mbili zikiwania nafasi muhimu ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya. Manchester United wanahitaji pointi mbili pekee kuhakikisha wanamaliza katika nafasi ya juu inayowapa tiketi ya Ulaya. Kwa sasa wako nafasi ya tatu, wakiwa mbele ya wapinzani wao kwa pointi…

Read More

Fanya Bahati Yako Kuzaa Matunda: Bashiri na Drops & Wins ya Meridianbet

Mchezo kwa sasa umebadilika, na Meridianbet wameleta shangwe mpya kabisa kupitia Drops & Wins ya Pragmatic Play. Hii sio promosheni ya kawaida, ni nafasi kwa vijana wanaopenda burudani na changamoto kugeuza muda wao kuwa ushindi halisi. Unacheza, unafurahia, na hapohapo una nafasi ya kuondoka na mkwanja. Kuingia kwenye mchezo ni rahisi sana. Jisajili Meridianbet, nenda…

Read More

Tuzo za Man of the Match Muungano Cup

Muungano Cup 2026 imefika tamati huku rekodi zikiwa zimeandikwa kwa wachezaji na Klabu ya Simba SC kutwaa taji hilo. Hapa tumekuletea orodha ya wachezaji waliotwaa tuzo ya Man of the Match katika kila hatua namna hii: Hatua Mechi/Timu husika Mchezaji aliyechaguliwa Robo fainali Yanga SC vs Muembe Makumbi Shekhan Khamis (Yanga SC) Nusu fainali Yanga…

Read More

FIFA Yathibitisha Ushiriki wa Iran Kombe la Dunia 2026 Licha ya Mvutano wa Kisiasa

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni, (FIFA), Gianni Infantino amethitibitisha kuwa Iran itashiriki mashindano ya Kombe la Dunia 2026 inayotarajiwa kuanza Juni 11 hadi Julai 19, 2026 licha ya mvutano kijiografia na kisiasa baina ya Marekani, Israel na Iran. Akizungumza kwenye Mkutano wa 76 wa FIFA huko Vancouver mnamo Aprili 30, 2026, Infantino alisema bila…

Read More

Sancho Aanza Kuvutia Soko, Klabu Italia Yaingia Kwenye Mbio

Maslahi ya kumtaka mshambuliaji wa Manchester United, Jadon Sancho, yanaendelea kuongezeka huku klabu mbalimbali zikianza kuonyesha nia ya kumsajili kuelekea dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Kwa mujibu wa ripoti za Sky Sports, klabu moja kutoka Italia ambayo haijatajwa jina tayari imefanya mawasiliano ya awali kuulizia uwezekano wa kumsajili nyota huyo. Wakati huohuo, Borussia…

Read More

Simba SC yachekelea ubingwa wa Muungano Cup 2026

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kuna raha kubwa kupata ubingwa kwa kumfunga mpinzani ambaye ni msumbufu kwa muda mrefu. Aprili 29, 2026 Yanga SC 0-1 Simba SC katika mchezo wa fainali Muungano Cup, Uwanja wa New Amaan Complex huku mfungaji akiwa ni Seleman Mwalimu dakika ya 124…

Read More