
ATLETICO NA BARCA KUWASHA MOTO LALIGA LEO, TUSUA MPUNGA HAPA
Alhamisi ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na LALIGA Atletico Madrid watakuwa ugenini kusaka ushindi ya CA Osasuna ambao walitoa sare mechi yao iliyopita. Atletico wao wametoka kutoa kipigo kizito mechi yao…