Saleh

FT: Simba SC 2-0 Yanga SC

Desemba 21,2025 kulikuwa na mchezo wa kirafiki wa Kariakoo Dabi Fans uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex, Dar. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba SC Fans 2-0 Yanga SC Fans, magoli yote yakifungwa kipindi cha kwanza. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Thobias Sébastien na Dr Mo haya yalidumu mpaka mwisho wa mchezo uliohudhiriwa na…

Read More

AFCON 2025 ratiba hii hapa

Hii hapa ratiba ya AFCON 2025, nchini Morocco ni leo Desemba 21,2025 kazi inaanza na tamati inatarajiwa kuwa Januari 18, 2026 Jumapili, Desemba 21, 2025 Morocco vs Comoros saa 4:00 usiku Jumatatu, Desemba 22,2025 Mali vs Zambia, saa 11:00 jioni Afrika Kusini vs Angola saa 2:00 usiku Misri vs Zimbabwe, saa 5:00 usiku Jumanne, Desemba…

Read More

Tottenham 1-2 Liverpool, Premier League funga 2025

WAKIWA ugenini katika mchezo wa Premier League wiki ya 17 ubao wa Uwanja wa Tottenham Hotspurs umesoma Tottenham 1-2 Liverpool. Magoli ya Hugo Ekitike dakika ya 66 na Isak dakika ya 56 yalikuwa na ya ushindi kwa Liverpool. Richarlison alipachika goli pekee kwa Tottenham dakika ya 83. Mchezo huo Tottenham walionyeshwa kadi nyekundu wachezaji wawili…

Read More

Marioo – OLUWA (Official Music Video)

Msanii maarufu wa Bongo Flava, Marioo, amerejea tena kwenye ramani ya muziki kwa kuachia wimbo wake mpya “OLUWA”, kazi inayobeba ujumbe mzito wa shukrani, imani na kutambua mkono wa Mungu katika safari ya maisha. Katika OLUWA, Marioo anaonekana kuachana kwa muda na midundo ya mapenzi na burudani ya kawaida, na badala yake kuingia kwenye eneo…

Read More

Slotopia Yaiteka Meridianbet, Sasa Ni Wakati Wa Burudani Mpya

Bingwa wa michezo ya ubashiri nchini, Meridianbet wamezidi kufanya maajabu kwa kuwakutanisha wapenzi wa kasino mtandaoni na burudani ya kiwango cha juu, sasa wamewaletea jambo jipya linalokuweka katikati ya mchezo. Slotopia, mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino mtandaoni, ameingia rasmi kwenye jukwaa la Meridianbet. Ndani ya Slotopia, kila mzunguko unaoushiriki una nafasi ya kushangaza….

Read More