Saleh

Zombie Apocalypse Kukupa Ramani Mpya ya Msisimko wa Kasino Mtandaoni

Meridianbet imeleta upepo mpya wa burudani kupitia kampeni ya Zombie Apocalypse, uzoefu unaovuka mipaka ya michezo ya kawaida ya kasino. Badala ya kuzunguka tu bahati, kampeni hii inawachukua wachezaji katika simulizi lenye mvuto, likiwaweka katikati ya dunia iliyojaa changamoto na fursa za kushangaza. Ni mwendelezo wa dhamira ya Meridianbet ya kuleta ubunifu unaobadilisha namna burudani…

Read More

Beki aliyetakiwa Simba SC ameanza kazi SBS

BEKI aliyekuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC ya Dar tayari ameanza kazi ndani ya Singida Black Stars ikiwa ni majukumu mapya. Anaitwa Abdalah Said maarufu kwa jina la Lanso beki aliyekuwa chaguo la kwanza katika kikosi cha KMC kinachotumia Uwanja wa KMC Complex kwa mechi za nyumbani. Lanso tayari ni mchezaji mpya ndani…

Read More

Azam FC vs Yanga SC, Dar Dabi NMB Mapinduzi Cup

WABABE wawili wanatarajiwa kukutana uwanjani kwenye msako wa bingwa mpya wa NMB Mapinduzi Cup, Januari 13,2026. Ni Azam FC vs Yanga SC hawa watakuwa na kazi kufika hitimisho la mashindano haya ambayo yalikuwa na ushindani mkubwa katika hatua za makundi, nusu fainali na sasa fainali. Yanga SC iliwaondoa Singida Black Stars na Azam FC iliwaonoda…

Read More

Rais Samia Ataka Mazingira Bora na Posho Zilizoboreshwa kwa Wachezaji wa Taifa

Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zote zinazohusika na michezo, kuhakikisha wachezaji wa Kitanzania wanaandaliwa katika mazingira bora ili waliwakilishe vyema taifa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanaboreshewa posho zao. Rais Samia amesimulia jinsi alivyopokea taarifa za wachezaji wa Taifa Stars kugoma kwenda Morocco kutokea nchini Misri kwa sababu ya kudai posho zao. Ameyasema hayo…

Read More