Saleh

CAF Yafuta Rasmi Michuano ya CHAN, Mabadiliko Makubwa Yatarajiwa Afrika

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi kufuta Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), hatua inayokuja kufuatia changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika maandalizi ya mashindano hayo. Tangazo hilo limetolewa na Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Morocco Jumamosi, Januari 17. Akizungumza mbele ya…

Read More

Nai Azungumzia Tetesi Zake na Pacome Zouzoua Kupitia Global TV

Baada ya tetesi kusambaa kwa muda mrefu mitandaoni zikimhusisha mwanadada @officiall_nai na staa wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hatimaye mwenyewe ameamua kuvunja ukimya. Kupitia mahojiano ya mubashara na Global TV, Nai amefunguka na kuweka wazi ukweli kuhusu madai yanayoendelea kuzunguka mitandaoni, akieleza msimamo wake juu ya tetesi hizo zinazomhusisha na kiungo huyo wa Yanga. Mahojiano…

Read More

Simba SC vs Mtibwa Sugar NBC Premier League

Simba vs Mtibwa Sugar ni mchezo wa NBC Premier League unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Januari 18,2026. Uwanja wa Mej.Gen. Isamuhyo. Hii ni baada ya ligi kusimama kwa muda kutokana na mashindano ya AFCON ambayo yanaendelea nchini Morocco na Tanzania iliishia hatua ya 16 bora. Fainali inatarajiwa kuchezwa Jumapili, Januari 18,2026 itakuwa ni Senegal vs Morocco ambao…

Read More