Brazil Yachapwa na Ufaransa 2-1 Licha ya Kadi Nyekundu Gillette Stadium, Marekani
Timu ya Taifa ya Brazil chini ya kocha Carlo Ancelotti imekubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Ufaransa katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopigwa kwenye dimba la Gillette Stadium, Marekani. Ufaransa ilianza kwa kasi ambapo nyota wake Kylian Mbappé aliifungia bao la kwanza dakika ya 32, kabla ya Hugo Ekitike kuongeza la pili dakika…