Baada ya kukwama kutinga robo fainali, Simba SC yatoa tamko
UONGOZI wa Simba SC umewaomba mashabiki kutokata tamaa wala kuivunjia adabu timu hiyo mara baada ya matumaini ya kukata tiketi kutinga hatua ya robo fainali kuzimika Februari Mosi 2026. Sare ya kufungana magoli 2-2 de Tunis inainfanya Simba SC kukusanya pointi moja baada ya mechi nne ikiburuza mkia katika kundi D. Ahmed Ally, Meneja wa…