Aziz Ki Aondoka Wydad AC, Ajiunga Al Ittihad ya Libya
Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic Club ya Morocco, baada ya klabu hiyo ya Libya kufanikisha dili kubwa la uhamisho. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, Al Ittihad imelipa ada nono ili kunasa saini ya nyota huyo, jambo linaloashiria dhamira ya klabu hiyo kuimarisha kikosi chake kwa…