Yanga Yatwaa Taji la Mapinduzi Cup kwa Penalti Dhidi ya Azam FC
Klabu ya Young Africans SC (Yanga) imetwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi (Mapinduzi Cup) baada ya kuibuka mshindi dhidi ya Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5–4, kufuatia sare ya bila kufungana (0-0) katika muda wa kawaida na nyongeza wa mchezo wa fainali. Mchezo huo uliopigwa kwa ushindani mkubwa ulimalizika kwa matokeo ya 0-0 ndani…