Saleh

Nai Azungumzia Tetesi Zake na Pacome Zouzoua Kupitia Global TV

Baada ya tetesi kusambaa kwa muda mrefu mitandaoni zikimhusisha mwanadada @officiall_nai na staa wa Yanga SC, Pacome Zouzoua, hatimaye mwenyewe ameamua kuvunja ukimya. Kupitia mahojiano ya mubashara na Global TV, Nai amefunguka na kuweka wazi ukweli kuhusu madai yanayoendelea kuzunguka mitandaoni, akieleza msimamo wake juu ya tetesi hizo zinazomhusisha na kiungo huyo wa Yanga. Mahojiano…

Read More

Simba SC vs Mtibwa Sugar NBC Premier League

Simba vs Mtibwa Sugar ni mchezo wa NBC Premier League unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Januari 18,2026. Uwanja wa Mej.Gen. Isamuhyo. Hii ni baada ya ligi kusimama kwa muda kutokana na mashindano ya AFCON ambayo yanaendelea nchini Morocco na Tanzania iliishia hatua ya 16 bora. Fainali inatarajiwa kuchezwa Jumapili, Januari 18,2026 itakuwa ni Senegal vs Morocco ambao…

Read More

Meridianbet Yashirikiana na Jamii, Wasaidia Wajawazito na Waliojifungua

Katika kipindi ambacho afya ya mama na mtoto imeendelea kuwa ajenda muhimu ya kijamii, Meridianbet imejitokeza kuchukua nafasi yake kama mdau anayetoa mchango wa moja kwa moja. Kupitia mpango wake wa kijamii unaoendelea, kampuni hiyo imekuwa ikiwafikia akina mama wajawazito na waliojifungua, ikilenga kuwapa unafuu katika kipindi chenye uhitaji. Msaada uliotolewa ulijikita katika vitu vinavyotumika…

Read More

Gallagher Ajiunga na Spurs – Uzoefu wa Ligi Kuu Kuimarisha Safu ya Kiungo

Tottenham Hotspur wamekamilisha usajili wa kiungo wa England, Conor Gallagher, kutoka Atlético Madrid kwa ada ya Pauni Milioni 34 (takriban Shilingi Bilioni 114 za Tanzania). Usajili huu unakuja huku Tottenham wakiwa sokoni kutafuta kiungo wa kati baada ya Rodrigo Bentancur kutarajiwa kukosa sehemu kubwa ya msimu kutokana na jeraha la misuli ya paja (hamstring). Gallagher,…

Read More